Lissu atuhumu wabunge kuhongwa, waandishi walipewa 6m na DP World

Balile Tangu nilipomuona mama kila sentensi anamtaja nikajua hawezi kuwa Tena Huru kabisaa kwahili wamehongwa wengi BALILE KINA KITENGE NK ila wanauza nchi kwa vipande 30 vya Fedha hawataweza kuishi kwa Amani Balile tulikuamini sanaa Rushwa Rushwa Rushwa tupuu watu wamesafirishwa kama magunia na wengine wamerudi Tena Leo ili wazidi kutudanganya

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ehh Mungu baba, nakushukuru kwa ajili ya maisha ya TL, hakika huyu ni shujaa alielindwa Kwa ajili yetu wa TZ, alafu hawa wote waliotuuza kwa Waarabu, si utende jema na wao wakaimbishe Malaika wa Shetani huko kuzimu tu, tunaomba utuamulie kesi baba🙏🙏🙏
 
😳😳😳Umetokea wapi??
 
Suala la bandari zote za Tanganyika kupewa DPW mwarabu ni aibu sana sana, hasa kwa wabunge wote waliopitishwa kwa mchongo na mwendazake. Maneno yao, matendo ya, mienendo yao, maongezi yao, hata na mavazi yao yanawasuta. Historia mbaya itakuwa juu yao, nao wataenda zao kama mwendazake.
Pia kuna mashaki maandazi na njaa kali, kwani wakati watu wanaongelea issues nzito, wengine wanachikulia poa, wanamzodoa Pasco, hivi nyie mna vichwa au bilinganya?
Mjue kwenye issues hizi za maslahi kwa Taifa (Tanganyika) huwa tunaungana na kuweka kando tofauti za kichama na kiitikadi.
Amka wee Mtanganyika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…