Pre GE2025 Lissu awasili Mlimani City akiwa ndani ya gari yake aliyopigwa nayo risasi Dodoma na watu wasiojulikana, tena ikiwa bado na matundu yake ya risasi

Pre GE2025 Lissu awasili Mlimani City akiwa ndani ya gari yake aliyopigwa nayo risasi Dodoma na watu wasiojulikana, tena ikiwa bado na matundu yake ya risasi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Anatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti

Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu

Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi

Image ya chama ndio kila kitu
Kwa hiyo ulitaka madudu ya mbowe yasisemwe? Huu ujinga wa kufichiana maovu mpo nao huko ccm tu
 
Anatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti

Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu

Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi

Image ya chama ndio kila kitu
Kura za huruma zikoje/zina rangi gani?
 
Siundi picha wale waliompiga risasi wanajisikiaje wakimuona na hilo gari leo.
 
Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Kumbe wahuni ndo mashabiki wa Lisu, angalia video hii watu wanaopiga kelele LISU LISU na waliotulia utajua lisu anaenda kupigwa chini na hao waloketi kimya wenye busara zao.
Ukiangalia hata wanaosukuma gari la LISU wote ni wale wenye mihemuko- WANAOJUA KUTUKANA
 

Attachments

  • Katika hali isiyo ya kawaida hapa katika ukumbi wa Mlimani City kwenye mkutano mkuu wa Chama c...mp4
    4.9 MB
Hayo ni MATUNDU YA RISASI.

Hili ndio gari alilotumia kuenda kurejeshea FOMU ya kugombea Nafasi ya MWENYEKITI.

Hili ndio gari analitumia leo siku ya UCHAGUZI wa nafasi ya MWENYEKITI.

Hili gari ndio litamrudisha NYUMBANI kama mshindi wa NAFASI YA MWENYEKITI.

Gari inaendelea kuwa sehemu ya HISTORIA kwenye maisha ya TAL.

Kila lakheri.🙇🏾‍♂️🤝
 

Attachments

  • 8F899953-55B7-4B72-A90A-4F5BA5F68576.jpeg
    8F899953-55B7-4B72-A90A-4F5BA5F68576.jpeg
    79.6 KB · Views: 3
SIKILI
Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH. Kitendo cha Lissu kuingia Mlimani City akiwa ndani ya gari aliyopigwa nayo risasi, tena ikiwa bado na matundu ya risasi, kumeibua hamasa kubwa kutoka kwa wafuasi wake.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
LEMA ATAKIMBILIA KANADA SIKU MBILI ZIJAZO
 

Attachments

  • Umeme umekatika ghafla wakati Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, akitoa neno lake la s...mp4
    4.7 MB
Kampeni za huyu mwanaume zimeanza mapema mno. Tena za kisanyansi na hali ya juu. Hta kumshitak huwez. Mpk gari linawambia wananchi nani mzalendo wa taifa na risasi zinapiga mhuri anayefaa kuwaobgoza wanachadema na Tz kwa ujumla
 
Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.

Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?

Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH. Kitendo cha Lissu kuingia Mlimani City akiwa ndani ya gari aliyopigwa nayo risasi, tena ikiwa bado na matundu ya risasi, kumeibua hamasa kubwa kutoka kwa wafuasi wake.

Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Rais hajavaa Bullet Proof?
 
Anatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti

Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu

Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi

Image ya chama ndio kila kitu
Ni gari yake wewe wivu unautoa wapi?
 
Back
Top Bottom