Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na akaishia kushindaVibes za kama Trump alivoingia na gari la taka kwenye kampeni
Kwa hiyo ulitaka madudu ya mbowe yasisemwe? Huu ujinga wa kufichiana maovu mpo nao huko ccm tuAnatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti
Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu
Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi
Image ya chama ndio kila kitu
Kura za huruma zikoje/zina rangi gani?Anatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti
Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu
Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi
Image ya chama ndio kila kitu
mobile makumbushoIla Lissu bana kakosa hela ya garage miaka yote hiyo?
Kumbe wahuni ndo mashabiki wa Lisu, angalia video hii watu wanaopiga kelele LISU LISU na waliotulia utajua lisu anaenda kupigwa chini na hao waloketi kimya wenye busara zao.Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
LEMA ATAKIMBILIA KANADA SIKU MBILI ZIJAZOMgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH. Kitendo cha Lissu kuingia Mlimani City akiwa ndani ya gari aliyopigwa nayo risasi, tena ikiwa bado na matundu ya risasi, kumeibua hamasa kubwa kutoka kwa wafuasi wake.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
... OVERDOING THINGS!Surprises never ends, this guy always amazes me!😛😛😛
Rais hajavaa Bullet Proof?Mgombea wa Uenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, amewasili Mlimani City akiwa ndani ya gari alilopigiwa risasi na watu wasiojulikana mjiji Dodoma mwaka 2017 likiwa bado na alama za risasi katika ubavu wa kushoto ambao alikaa wakati akishambuliwa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa chama hicho.
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu?
Lissu amewasili katika viwanja vya ukumbi huo saa 10:15 asubuhi, akiwa ndani ya gari jeusi la Land Cruiser lenye namba za usajili T216 DHH. Kitendo cha Lissu kuingia Mlimani City akiwa ndani ya gari aliyopigwa nayo risasi, tena ikiwa bado na matundu ya risasi, kumeibua hamasa kubwa kutoka kwa wafuasi wake.
Kupata matukio ya nyuma kuhusu watu wasiyojulikana ingia hapa: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Ni gari yake wewe wivu unautoa wapi?Anatafuta kura za huruma kama ambavyo alifanya akigombea umakamu mwenyekiti
Anasaka kura za huruma wakati hana huruma na mwenyekiti wake Mbowe anamponda anaponda hadi Chadema na kukivua nguo na kukichafua kionekane rushwa tupu
Hana huruma kuchafua image ya chama halafu yeye anataka huruma za wapiga kura
Hayuko sahihi
Image ya chama ndio kila kitu