mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,013
- 10,000
Yaani kila wakitega mtego unawanasa wenyeweHii habari si nzuri sana kwa bwana yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kila wakitega mtego unawanasa wenyeweHii habari si nzuri sana kwa bwana yule.
Daah huyu jamaa Lissu jamani waachane nae tu.Yaani kila wakitega mtego unawanasa wenyewe
Mkali kichizi yaaniLissu, TL , Mkali wa Game.
Lissu, Lissu, Lissu
Majaliwa ameuvua lini Uwaziri Mkuu? Maana kwa sasa anafanya kampeni kama "MJUMBE WA HALMASHAURI KUU", usitumie masaburi kutetea upuuzi. Puumbavu.Mpaka auvue na ugombea urais ndipo sheria itakuwa upande wake
NO akakarabatiwe kwanza kwanza ...mzee umri umekwenda sema uchu wamadaraka tuuIna maana mnataka na sisi maccm tusitishe kumpeleka mgombea wetu gereji ili aje abalance mahesabu maana hali itakuwa mbaya.
safi sana good number ya maCCM ni wa pumbavu na Mijinga tuuMajaliwa ameuvua lini Uwaziri Mkuu? Maana kwa sasa anafanya kampeni kama "MJUMBE WA HALMASHAURI KUU", usitumie masaburi kutetea upuuzi. Puumbavu.
Umri bado sanaNO akakarabatiwe kwanza kwanza ...mzee umri umekwenda sema uchu wamadaraka tuu
how old is he?? ujumuhishe na miaka yakufichaUmri bado sana
Ana 60+how old is he?? ujumuhishe na miaka yakuficha
hivi in civil service retirement ukiwa na miaka mingapi mkuu?Ana 60+
65 nadhanihivi in civil service retirement ukiwa na miaka mingapi mkuu?
oryt thanx mkuu65 nadhani
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC ijibu pia hoja hii ya Waziri Mkuu kutumia kofia ya Mjumbe Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kumfanyia kampeni mgombea wa Urais John Magufuli wa CCM pamoja na wabunge na madiwani :Wakuu heshima sana,
Sheria Number 5 ya mwaka 1992 viongozi ngazi ya kitaifa wa fursa ya kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani nchi nzima.
Kwakuwa Tume ya Uchaguzi imemzuia Lissu kufanya kampeni kwa siku saba,Lissu atatumia nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti Taifa kuwanadi wagombea Ubunge na Udiwani.
Ukijua hili wenzako wanajua kule
Ngongo safarini Zanzibar Kibanda maiti.
Atapewa ulinzi anaopewa bashiru uleuleVipi kuhusu haki stahiki anazopewa na dola akiwa kama mgombea urais (mfano ulinzi ), je ataendelea kupewa akianza kupiga kampeni kama m/mwenyekiti?
Kama jibu ni hapana. Itakuwaje kuhusu usalama wake?