Uchaguzi 2020 Lissu aweza kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani

Uchaguzi 2020 Lissu aweza kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani

Mbona Chadema ni waoga sana nyie ?

Serkali ingemtaka huyo lissu hata Tanzania asingekanyaga

Huyo hakatwi tunasubiri tumfundishe October 28 kuwa usaliti kwa Nchi ni laana

Nenda kenya uulize uhuru kenyata alivyomfanyia yule Mwanasheria uchwara anayefanana tabia na lissu
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Wataingizwa mkenge Kama walivyouingia mtego wa TBC?

Maana TBC kwa kuwajua hulka zao, walifanya makusudi kabisa kukata kata matangazo. Kumbe TBC walifanya hivyo ili kujipa uhalali wa kutotangaza mikutano ya Chadema kwa kigezo kuwa wakifukuzwa.
 
Hapana tutamuacha ahukumiwe na Wananchi Oct.28th ,2020.

Baada ya hapo mahakama itaendelea na Majukumu yake kwa zile kesi ambazo zilikuwa pending sababu ya kampeni.
 
Sasa huu ni utabiri au ndo kanuni za tume zinavyosema? Mwanafunzi akimigomea mkuu wake wa shule unadhani nini kinafuta na kusimamishwa masomo huku kama atakaidi ni kuitisha bodi/kamati ya shule ili kufuta na kumtimulia mbali,

ÑB.naombea sana huyu jamaa akaidi ili makubwa yamkute
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.

Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.

Haya ni mawazo yangu tu.
Utaratibu gani wa Kisheria unao iwajibisha nec kama hawafuati na kuziishi Sheria za nec??
Wajuzi nijuzeni!
 
Kumwondoa lissu kwa uhuni huo ...basi hilo litakuwa ndiyo mwisho wa uchaguzi..

Or rather...!!

Magu ataapishwa ila ataambiwa na mataifa kwamba within 2 years atengeneze Tume huru, aitishe uchaguzi mpya...NA YEYE ASISHIRIKI.

Je CCM wanataka fedheha hii??
 
Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.

Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.

Haya ni mawazo yangu tu.
Hata wao wanajua kwamba NEC nitume ya CCM 'they have to dance to their tune "
 
Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.

Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.

Haya ni mawazo yangu tu.
CHADEMA ya 2015 siyo hii ya 2020.
 
Back
Top Bottom