Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazungu wanasemaMjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Kassim Majaliwa akiendelea kupita sehemu mbalimbali kuwanadi wabunge na madiwani wa CCM .
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA naye ana haki ya kuwanadi wabunge na madiwani wa CHADEMA.
Ulinzi mbona anapewa hadi nyumbani au ofisini kama mgombea. Hivyo hata atakapofanya shughuli zingine za chama bado hadhi ya ugombea urais IPO palepale.Vipi kuhusu haki stahiki anazopewa na dola akiwa kama mgombea urais (mfano ulinzi ), je ataendelea kupewa akianza kupiga kampeni kama m/mwenyekiti?
Kama jibu ni hapana. Itakuwaje kuhusu usalama wake?
Kweli hakuna kitu kichwani na amezungukwa na wanaoogopa kumwambia kweli, yeye alikuwa busy na kutumia rasilimali kununua wapigiwa kura badala ya wapiga kura.Mgombea wetu wa CCM ndiyo maana alikazana Sana kununua wabunge wa chadema kuepuka sekeseke la kampeni.
Kumbe afya ni mgogoro!
Tuko nyuma yako MH. TAL, tumia fursa yoyote itakayopatikana kuwapelekea tetemeko 'mabwana wale'. Ni dhaahiri kuwa hali zao ni mbaya, wameelemewa na karibia pumzi zinakata. UMEWASHIKA PABAYA, USIWALEGEZEE. Mwenyezi Mungu akulinde na Shari zao.Wakuu heshima sana,
Sheria Number 5 ya mwaka 1992 viongozi ngazi ya kitaifa wa fursa ya kuwanadi wagombea Ubunge & Udiwani nchi nzima.
Kwakuwa Tume ya Uchaguzi imemzuia Lissu kufanya kampeni kwa siku saba, Lissu atatumia nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti Taifa kuwanadi wagombea Ubunge na Udiwani.
Ukijua hili wenzako wanajua kule
Ngongo safarini Zanzibar Kibanda maiti.
Na hawana msaada wowote kwakwe so ni pata potea.Mgombea wetu wa CCM ndiyo maana alikazana Sana kununua wabunge wa chadema kuepuka sekeseke la kampeni.
Kumbe afya ni mgogoro!
Hii nchi ni ya kwetu sio yako Robert.Lissu anaendelea na kampeni kama kawaidaView attachment 1588444View attachment 1588445
Kabla ya uchaguzi pato lililotokana na mauzo ya bundle lilikuwaje?Ni ukweli uliowazi kuwa kutokana na vyombo vingi vya Habari kutokua huru kuonyesha mikutano ya Lissu ya kampeni Wananchi wengi mitandao imekua Njia ya kupata hbr ya Sera za Upinzani. Hivyo hamasa ya Lissu kuwa nje ya Kampeni itafanya biashara ya vifurushi kushuka. Nashauri kwa kuwa serikali itakosa kodi na kwa kuwa pia anaonekana Hana kosa alilovunja, basi wamuache tu Mheshimiwa Lissu aendelee na kampeni kwa kuwa hata serikali yenyewe itkusanya kodi. TANZANIA NI YETU SOTE TUIJENGE KWA PAMOJA!mwachieni MH.Lissu aendelee na kampeni ili pia nchi ipate kodi...!!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Ni ukweli uliowazi kuwa kutokana na vyombo vingi vya Habari kutokua huru kuonyesha mikutano ya Lissu ya kampeni Wananchi wengi mitandao imekua Njia ya kupata hbr ya Sera za Upinzani. Hivyo hamasa ya Lissu kuwa nje ya Kampeni itafanya biashara ya vifurushi kushuka. Nashauri kwa kuwa serikali itakosa kodi na kwa kuwa pia anaonekana Hana kosa alilovunja, basi wamuache tu Mheshimiwa Lissu aendelee na kampeni kwa kuwa hata serikali yenyewe itkusanya kodi. TANZANIA NI YETU SOTE TUIJENGE KWA PAMOJA!mwachieni MH.Lissu aendelee na kampeni ili pia nchi ipate kodi...!!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app