Utaratibu gani wa Kisheria unao iwajibisha nec kama hawafuati na kuziishi Sheria za nec??Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.
Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.
Haya ni mawazo yangu tu.
Hata wao wanajua kwamba NEC nitume ya CCM 'they have to dance to their tune "Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.
Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.
Haya ni mawazo yangu tu.
CHADEMA ya 2015 siyo hii ya 2020.Ikitokea mheshimiwa lissu kuendelea kunadi hata wagombea ubunge na udiwani, kitakachofuata ni kwamba NEC watamuondoa kwenye orodha ya wagombea urais Mheshimiwa Lissu, na wakishamuondoa, kwa hasira Chadema kitaazimia kususia uchaguzi, kikisusia, lengo la watu Fulani litakua limetimia Kama serikali za mitaa.
Ndicho kinacholengwa. Kama hamuamini subirini au itatafutwa sababu nyingine ya kumuengua kwenye wagombea upresidar.
Haya ni mawazo yangu tu.