Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Matusi na uchawi nguzo ya masikiniWanasiasa na unafiki ni pichu na kalio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matusi na uchawi nguzo ya masikiniWanasiasa na unafiki ni pichu na kalio
siasa unafiki mwingiWanasiasa na unafiki ni pichu na kalio
Wamo wadanganyifu wenye ushawishiHuyu chiba ni kigeugeu. Si aliwahi kusema Nyerere alikuwa mdanganyfu aliyezoea vya kuchinja?
Hivi ulielewa ile mada ?Huyu Lissu kitendo chake cha kutetea Acacia sina imani naye tena.
Hilo huwa linan8fikirisha sana mpaka nafikia kusema kuwa kuna nguvu za giza zinatumika, si buere. Maana kuna mengine yapo wazi kabisa lakini utashangaa watu wanavyojitoa ufahamu na kuteteaUnafiki wao mkubwa sana ..ajabu wafuasi wao kila wanapobadilika wapo nao...nyumbu Wana tabu sana
Anawaonea huruma nyumbuUnamuonea wivu Lissu au Lowassa ?
Jamaa mwezi ukiwa kona anaweza kuropoka chochoteHuyu chiba ni kigeugeu. Si aliwahi kusema Nyerere alikuwa mdanganyfu aliyezoea vya kuchinja?
Kwani kuna siku huwa siyo mtulivu? Matusi ya leja leja!alionekana Kuwa mtulivu
Unaandika likuijialo kichwani.Hata ukiandika "nimelia mno kwa kifo chako" inatosha.Nje ya mada kidogo .. kwenye kile kitabu wanasaini na kuandika kitu gani?
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu leo amefika msibani nyumbani kwa hayati Lowasa na kusaini Kitabu cha Maombolezo
Lisu akiwa na Walinzi wake alionekana Kuwa mtulivu na mwenye huzuni moyoni
Rip Edward Lowasa
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu
Mlale Unono
Upendo wa kweli..Lowassa na mke wake walikwenda kumuona Lissu alipokuwa amelazwa Nairobi.
Alifanya utafiti wapi huyo mropokaji???? Atuonyeshe utafiti wake. Huyu si ndio alisema Lowassa ni Fisadi pale mwembe Yanga. Au amesahau tena.
Tundu Lissu amefika kwenye Msiba wa Lowassa kuhani na kuwapa pole Wafiwa , ambapo amemmwagia sifa Lowassa na kuzungumza kwamba baada ya Nyerere Lowassa ndiye Mwanasiasa aliyefuatia kwa Ushawishi .
Amedai kwamba wanasiasa wengi waliokufa na hawa waliopo walipata umaarufu baada ya kuwa Marais , lakini bado hawakumzidi Lowassa ambaye hakuwahi kuwa Rais na hata huo Uwaziri mkuu wake ulikuwa wa miaka miwili tu .
Tundu Lissu amesema pamoja na kuhudhuria msiba wa Lowassa lakini amekuja pia kumfariji Mama Regina Lowassa ambaye alikuwa Mwalimu wake miaka 41 iliyopita alipokuwa Kidato cha kwanza .
View attachment 2902251
nimeipenda hii picha jinsi mzee👆 mwenye hekima aliyevaa kibagalashia anavyomsikiliza Lisu nukta kwa nukta
kwa umakini wa hali ya juu,akiwa kaweka mikono nyuma😁