Lissu: Baada ya Nyerere aliyefuatia kwa ushawishi alikuwa Lowassa

Lissu: Baada ya Nyerere aliyefuatia kwa ushawishi alikuwa Lowassa

Unafiki wao mkubwa sana ..ajabu wafuasi wao kila wanapobadilika wapo nao...nyumbu Wana tabu sana
Unafiki uko wapi hapo.au akili zenu ndogo mnashindwa kutofautisha mambo.Lissu yuko sahihi,mfano mdogo ni shule za kata,isingekua ushawishi wa lowasa shule za kata zisingejengwa kwa kiwango hicho nchi nzima.labda kama umezaliwa juzi ndo utakua hujui jinsi alivyokua mstari wa mbele kuhamasisha jambo hilo.sasa hilo halihusiani na makando kando yake mengine.Tumia akili zako vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..Lissu ni nambari 1 au 2 kwa ushawishi ktk mwaka 2024.

..Zingatia kwamba Lissu hana msaada wa dola kama wengine unaoweza kuwashindanisha naye.
Labda mm sijui maana ya usha
Hivi kua na ushawishi ndio kua msafi.Ufisadi na ushawishi mbona ni mambo mawili tofauti.Muwe mnatumia akili zenu sawasawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa utakuwa na ushawishi VIP wakati ukiwa mwizi na fisadi.Nyerere hakuna sehemu waliyosema kuwa ni mwiz na fisadi. Kwa hiyo ana ushawishi. Sasa huyu mropokaji wenu, anasema leo Lowassa ni fisadi kesho Lowassa ana ushawishi. Huo ni upuuuz na ujinga wa mropokaji Lissu. Stay consistently with what you believe in.
 
Unafiki uko wapi hapo.au akili zenu ndogo mnashindwa kutofautisha mambo.Lissu yuko sahihi,mfano mdogo ni shule za kata,isingekua ushawishi wa lowasa shule za kata zisingejengwa kwa kiwango hicho nchi nzima.labda kama umezaliwa juzi ndo utakua hujui jinsi alivyokua mstari wa mbele kuhamasisha jambo hilo.sasa hilo halihusiani na makando kando yake mengine.Tumia akili zako vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lowassa alikuwa Rais Nchi hii mpaka ajenge shule za kata? Kikwete ndio aliejenga shule za kata maana ndio muidhinishaji asinge idhinisha hakuna shule ya kata ambayo ingejengwa
 
Labda mm sijui maana ya usha

Sasa utakuwa na ushawishi VIP wakati ukiwa mwizi na fisadi.Nyerere hakuna sehemu waliyosema kuwa ni mwiz na fisadi. Kwa hiyo ana ushawishi. Sasa huyu mropokaji wenu, anasema leo Lowassa ni fisadi kesho Lowassa ana ushawishi. Huo ni upuuuz na ujinga wa mropokaji Lissu. Stay consistently with what you believe in.

..nadhani wewe ndio una tatizo la uelewa.

..Lowassa alijenga mtandao mkubwa ndani na nje ya Ccm.

..mazingira hayo ndiyo yaliyofanya awe na ushawishi mkubwa ktk siasa za Tanzania.

..suala la maadili yake ni tofauti na suala la ushawishi aliokuwa nao.
 
..huyo Mzee mwenye kofia ni Bwana Mgeja rafiki mkubwa wa Lowassa ambaye alijitoa Ccm akiamini kwamba haki haikutendeka ktk uteuzi wa mgombea Urais kupitia Ccm 2015.
Nampa sofa zote Mgeja,huyu ndio loyal friend wa ukweli,unamtetea na kumlinda rafiki yako kwenye hali ngumu zote upo nae,hakumuogopa Jiwe wala nani.
 
Lowassa alikuwa Rais Nchi hii mpaka ajenge shule za kata? Kikwete ndio aliejenga shule za kata maana ndio muidhinishaji asinge idhinisha hakuna shule ya kata ambayo ingejengwa
Lioneni tahira lingine hili,kwa hiyo Kikwete alitoa hizo hela nyumbani kwake Msoga?
 
Back
Top Bottom