Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #61
Huo ndio ukweli wenyeweCCM Ndiyo Wana akili kuliko watanzania wote na tunatakiwa tufikiri wanavyotaka wao, umesahau tunaishi kwenye jamii ya kanyaga twende yaani jamii ya bora liende jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi