ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa nini auwawe? Baada ya Tiba Kwa nini alikuwa anamlilia Samia kuhusu usalama wake?.Eti Leo anamtukana.Alikwenda kutibiwa si mlitaka kumuua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini auwawe? Baada ya Tiba Kwa nini alikuwa anamlilia Samia kuhusu usalama wake?.Eti Leo anamtukana.Alikwenda kutibiwa si mlitaka kumuua
Kwani naandika kwa niaba ya ukoo hapa?Basi usitumie Jina ha huo ukoo wako maana Ukoo wa Mwashambwa unaaibika Jamii forums.
Yangu ni hayo tuu.
Anakula maisha,makelele yote ilikuwa njaaMwabukusi saizi ametulia kwenye gari aliyopewa na serikali
HajitambuiKwa nini auwawe? Baada ya Tiba Kwa nini alikuwa anamlilia Samia kuhusu usalama wake?.Eti Leo anamtukana.
Unauliza Tiba ya nini kwa mtu ulietaka kumuua? wauaji ni wa kufungwa jela sio kujibiwaKwa nini auwawe? Baada ya Tiba Kwa nini alikuwa anamlilia Samia kuhusu usalama wake?.Eti Leo anamtukana.
Mezani atakuja tu atake asitake. Kama hataki basi akubali kukosa kila kitu katika yoote ayatakayoNapinga mazungumzo yoyote na ccm, na ni vema tusishirikiane nao kwa lolote ikiwemo hata misiba yao
Jitoe tuu ufahamu.Kwank saizi wauwaji wameenda wapi? Kwa nini hawajamuua?Unauliza Tiba ya nini kwa mtu ulietaka kumuua? wauaji ni wa kufungwa jela sio kujibiwa
Wauaji mnajitambua sio?Kwani naandika kwa niaba ya ukoo hapa?
Wauaji wanajulikana mguseni tena kama hamtapigwa vikwazo na kunyimwa pesa na wazunguJitoe tuu ufahamu.Kwank saizi wauwaji wameenda wapi? Kwa nini hawajamuua?
Kwani naandika kwa niaba ya ukoo hapa?
Ndiyo last week alijipeleka Dodoma bila mwaliko aliabika kweli hata nauli ya kurudi Mbozi alisaidiwa tulishamwambia CCM ina wenyewe na yeye si mmoja wao na wenye CCM yao hawana makelele mitandaoni wanajipakulia minyama kimya kimya tu.Ukihema CCM, ukila ni CCM, ukiugua ni CCM,.............................
Ona Sasa huna akiliWauaji wanajulikana mguseni tena kama hamtapigwa vikwazo na kunyimwa pesa na wazungu
Huwezi ukaelewa hoja zangu kama akili yako ni ndogo.Ndio nakuambia usitumie jina la huo Ukoo.
Hakika unaaibika huo ukoo Huku JF ,fikiria tena
Wewe komaa na mama achana na Lissu sasa 😀😀😀Wazungumzie nini? Mama yupo kazini anaendelea kutekeleza ilani ya uchaguzi ambayo ndio mkataba na wananchi
Kunywa soda nitumie lipa namba nilipieNapinga mazungumzo yoyote na ccm, na ni vema tusishirikiane nao kwa lolote ikiwemo hata misiba yao
Acha uzushi dogo 😀😀Ndiyo last week alijipeleka Dodoma bila mwaliko aliabika kweli hata nauli ya kurudi Mbozi alisaidiwa tulishamwambia CCM ina wenyewe na yeye si mmoja wao na wenye CCM yao hawana makelele mitandaoni wanajipakulia minyama kimya kimya tu.
CCM ni imara zaidi ya jana na juzi.Naona kishindo cha Lissu kinaanza kusababisha homa huko kambini Dodoma na Lumumba!