ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Robo 3 wako kaburini,hujui unachoongeaWanatakiwa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Robo 3 wako kaburini,hujui unachoongeaWanatakiwa sana.
Kwa hiyo mumepata nini hasa?Sasa si ndio ameshinda hata wiki bado haraka ya nini? au umechanganyikiwa
Kweli wewe dogo ni chizi kabisa.Unabisha au unataka nieleze hata ulivyopata nauli ya kurudi kwenu?
Lissu kupona risasi 36 ni kielelezo tosha kuwa Yeye ni mpango wa Mungu katika kuwakomboa WatanzaniaRobo 3 wako kaburini,hujui unachoongea
Sawa ngoja tumsubirieLissu kupona risasi 36 ni kielelezo tosha kuwa Yeye ni mpango wa Mungu katika kuwakomboa Watanzania
Tume iliyopo ni huru kabisa na yenye uwezo wa kutenda haki...Ccm wanaweza kuamua wenyewe kwasababu serikali ni yao, na asilimia 90% ya wabunge ni Ccm.
..kusema kwamba kuunda Tume Huru ya uchaguzi kunahitaji Ccm na Chadema kukaa mezani ni ulaghai.
Ulihusika na risasi za kumuuwa lisu Sasa unakuja na maneno tu. Mchukie MUNGU aliyemuumba na kuulinda uhai wake pale mlipotaka kumuuwa akamponya na Ile mirisasi yenu Kama mnapiga mnyamaVitajifuta vyenyewe.
Tunasubiri kukabidhiwa ofisi kwanza ndio kazi ianze , ofisi inataratibu zake sio kijiwe hikiKwa hiyo mumepata nini hasa?
Unabisha hukuliwa mtungo na masela ndiyo wakajichanga kukurudisha kwenu,sema nini kilikutoa bawasiri?Kweli wewe dogo ni chizi kabisa.
Mlipompiga risasi. Then what?Then what?
Tume iliyopo ni huru kabisa na yenye uwezo wa kutenda haki.
Wewe ni miongoni mwa vijana wasio na MCHANGO kwa jamii. Mmeibemenda Katiba yenu. Tutailinda Chadema mpaka KUFA.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna uwezekano kuna watu au kikundi cha watu au Wafuasi wa lissu wakawa na matumaini na matarajio makubwa sana na lissu kwamba anaweza badilisha au lazimisha kufanyika kwa jambo lolote lile analotaka au wanalolitaka wao kwa nguvu au mabavu au kwa shinikizo.
Nipende tu kuwaambieni ukweli mchungu kuwa iwe leo au kesho au kesho kutwa Lissu hana ubavu wala uwezo wala nguvu wala maamuzi ya kufanya jambo lolote lile kubwa liwe la kimfumo au kisheria au kisera pasipo kwanza kukaa kwenye meza ya mazungumzo na CCM na serikali yake.
Ili jambo lolote lifanyike ni sharti CCM iridhie na kukubali. Kwa sababu CCM ndio chama kilichojitawala ndani ya Bunge na kwingine kote kwenye ngazi za uwakilishi.
Kwa hiyo unaposema unataka mabadiliko ya aina yoyote ile iwe ni kisheria au kisera .maana yake unapaswa kujenga hoja na kuridhiana na CCM na serikali yake ambayo ndio yenye wabunge wengi ndani ya Bunge letu.
Mbali na hapo ni kuwa lissu ataishia kupiga makelele yake mpaka achoke na Mwisho wa siku hakuna kitakachobadilika hata kwa herufi moja au tarakimu moja.
Akija kibabe basi CCM tutamkabili na kupambana naye katika namna hiyo hiyo atakayo kuja nayo. Akija kiungwana tutampokea kwa namna hiyo hiyo na kukaa naye mezani kumsikiliza. Akija kwa Shari na chuki basi awe tayari kupata majibu ya aina hiyohiyo.
Hii ni kwa kuwa CCM ndio chama kilichopewa ridhaa na watanzania ya kuwaongoza.Muongozo wa CCM ilikuwa ni ilani yetu ambayo ndio tuliyoinadi kwa wananchi. kwa hiyo kilichopo kwenye ilani yetu ndicho tunachokitekeleza. Kama wewe mwingine una jambo lako basi subiri uchaguzi na nenda kwa wananchi uombe kura zikitosha ndio utekelezage hicho unachokitaka wewe.
Lakini kwa sasa kwa kuwa sisi ndio wenye serikali hivyo huna budi kuja mezani na hoja zenye mashiko ili nasi tukupe hoja zetu juu ya kipi kinawezekana kwa wakati huu na kipi hakiwezekani kwa sasa na kingoje muda fulani au wakati. Mkataba wetu na wananchi ni Ilani ambayo ilichaguliwa na wananchi. tuulizwe na kushinikizwa kutekeleza kilicho kwenye ilani yetu .
Ila kile ambacho hakipo kwenye ilani yetu ni sharti kije kwa njia ya kufanya Mazungumzo na maridhiano. na katika mazungumzo na maridhiano ni lazima uelewe hutapata yoote unayoyahitaji. Bali yapo mengine utapata na mengine utapata kiasi na mengine itabidi usubiri wakati wake ufike.
Kwa hiyo lissu akijifanya kuongozwa na Mihemuko pasipo kutumia akili, busara ,hekima , utulivu, subira na uvumilivu. Basi atakosa yoote na hatakuwa na cha kutufanya wala kufanya wala kubadilisha kitu chochote kile ndani ya katiba au sheria zetu. Kwa hiyo ni lazima aje kwa nidhamu ,hekima na utayari wa kukaa mezani.
Lakini asije na majibu yake mfukoni au Misimamo. Majibu yatapatikana katika meza ya mazungumzo na kuwa na msimamo wa pamoja wa namna ya kusonga mbele kwa pamoja kama Taifa .
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ni huru. kinachowaangusha upinzani siyo tume bali ni udhaifu wa vyama vyenu na kukosa sera na ajenda zenye kugusa Maisha ya watu...Tume iliyopo sio huru.
..Na Ccm inao uwezo wa kurekebisha mapungufu hayo.
Yaani Lissu akajadiri demokrasia na wafu kama kina wasira? Au wapuuzi kama kina chimbi, au wajinga kama kina Makonda.Ndugu zangu Watanzania,
Kuna uwezekano kuna watu au kikundi cha watu au Wafuasi wa lissu wakawa na matumaini na matarajio makubwa sana na lissu kwamba anaweza badilisha au lazimisha kufanyika kwa jambo lolote lile analotaka au wanalolitaka wao kwa nguvu au mabavu au kwa shinikizo.
Nipende tu kuwaambieni ukweli mchungu kuwa iwe leo au kesho au kesho kutwa Lissu hana ubavu wala uwezo wala nguvu wala maamuzi ya kufanya jambo lolote lile kubwa liwe la kimfumo au kisheria au kisera pasipo kwanza kukaa kwenye meza ya mazungumzo na CCM na serikali yake.
Ili jambo lolote lifanyike ni sharti CCM iridhie na kukubali. Kwa sababu CCM ndio chama kilichojitawala ndani ya Bunge na kwingine kote kwenye ngazi za uwakilishi.
Kwa hiyo unaposema unataka mabadiliko ya aina yoyote ile iwe ni kisheria au kisera .maana yake unapaswa kujenga hoja na kuridhiana na CCM na serikali yake ambayo ndio yenye wabunge wengi ndani ya Bunge letu.
Mbali na hapo ni kuwa lissu ataishia kupiga makelele yake mpaka achoke na Mwisho wa siku hakuna kitakachobadilika hata kwa herufi moja au tarakimu moja.
Akija kibabe basi CCM tutamkabili na kupambana naye katika namna hiyo hiyo atakayo kuja nayo. Akija kiungwana tutampokea kwa namna hiyo hiyo na kukaa naye mezani kumsikiliza. Akija kwa Shari na chuki basi awe tayari kupata majibu ya aina hiyohiyo.
Hii ni kwa kuwa CCM ndio chama kilichopewa ridhaa na watanzania ya kuwaongoza.Muongozo wa CCM ilikuwa ni ilani yetu ambayo ndio tuliyoinadi kwa wananchi. kwa hiyo kilichopo kwenye ilani yetu ndicho tunachokitekeleza. Kama wewe mwingine una jambo lako basi subiri uchaguzi na nenda kwa wananchi uombe kura zikitosha ndio utekelezage hicho unachokitaka wewe.
Lakini kwa sasa kwa kuwa sisi ndio wenye serikali hivyo huna budi kuja mezani na hoja zenye mashiko ili nasi tukupe hoja zetu juu ya kipi kinawezekana kwa wakati huu na kipi hakiwezekani kwa sasa na kingoje muda fulani au wakati. Mkataba wetu na wananchi ni Ilani ambayo ilichaguliwa na wananchi. tuulizwe na kushinikizwa kutekeleza kilicho kwenye ilani yetu .
Ila kile ambacho hakipo kwenye ilani yetu ni sharti kije kwa njia ya kufanya Mazungumzo na maridhiano. na katika mazungumzo na maridhiano ni lazima uelewe hutapata yoote unayoyahitaji. Bali yapo mengine utapata na mengine utapata kiasi na mengine itabidi usubiri wakati wake ufike.
Kwa hiyo lissu akijifanya kuongozwa na Mihemuko pasipo kutumia akili, busara ,hekima , utulivu, subira na uvumilivu. Basi atakosa yoote na hatakuwa na cha kutufanya wala kufanya wala kubadilisha kitu chochote kile ndani ya katiba au sheria zetu. Kwa hiyo ni lazima aje kwa nidhamu ,hekima na utayari wa kukaa mezani.
Lakini asije na majibu yake mfukoni au Misimamo. Majibu yatapatikana katika meza ya mazungumzo na kuwa na msimamo wa pamoja wa namna ya kusonga mbele kwa pamoja kama Taifa .
CCM ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuu.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wewe nakusamehe tu maana najua huna akili TimamuUnabisha hukuliwa mtungo na masela ndiyo wakajichanga kukurudisha kwenu,sema nini kilikutoa bawasiri?
Hujitambui wewe uliyekosa adabu.Yaani Lissu akajadiri demokrasia na wafu kama kina wasira? Au wapuuzi kama kina chimbi, au wajinga kama kina Makonda.
Sema kimejipa ridhaa. Ila utakubaliana na mimi km una akili timamu na hauna mahaba niue na ccccccmCCM ndio chama kilichopewa ridhaa ya kuongoza Taifa letu. Hiki ndio chama kilichobeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania. CCM ndio Tanzania na Tanzania ndio CCM. Huwezi kuitenganisha CCM na Taifa hili. Uhai ,utulivu usalama,amani na ustawi wa Taifa hili unategemea kwa kiasi kikubwa uwepo wa CCM Madarakani.
Najua bado unaugulia maumivu jamaa walikuwa wanapiga katafunua dadeq.Wewe nakusamehe tu maana najua huna akili Timamu
Wasira yule ni wa kurudishwa hifadhi ya Gombe akale matunda pori ndiyo maisha yake.Yaani Lissu akajadiri demokrasia na wafu kama kina wasira? Au wapuuzi kama kina chimbi, au wajinga kama kina Makonda.