misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Damu changa ya ccm ikijitafakari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu changa ya ccm ikijitafakari
Kumchagua kuwa kiongozi ni laana
Mkuu uliniahidi bando kwenye mkesha wakusubiri matokeo
Noma sanaKile Chama Cha Matamasha ya Wasanii Tanzania?
Wenzao wamekesha nje ya Ukumbi wa Mlimani City huku wakiwa wamefika pale kwa kujugharamia, wapo nje usiku kucha, wananunuliana na kugawana vyakula vinywaji kidigo walivyo navyo.
Lakini wenyewe wamegharamiwa kwenda Dodoma kwa ajili kuhudhuria Mkutano wenye mambo wasiyoyajua, wakakesha Bar, Club na kumbi zote za starehe, wakinywa, wakila na kungonoka, halafu aliyewaita akajiteua, wakamstaafisha makamo, wenyewe wanabaki kushangilia tu.
Wazee kama hawa wana jipya gani katika nchi hii?
maoni yangu ni kwamba naona uoptoshaji na kudanganya wanachama wake umeanza rasmi chadema 🐒Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Ni ukweli, ccm ni chama Dola, chadema ni chama Cha kidemokrasiaHii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Matokeo ya uchaguzi October 2025 yatatuonesha nani mkubwa ,kunywa mtori nyama ziko chiniHii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Hapa mjadala utakuwa ni kuhusu mazishi na urith wa mali wizi.
Ni kweli, kabisa ,Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Angesema cdm ni bora kuliko ccm angekuwa sahihi. Lakini ukweli ni kuwa ccm ni kubwa kuliko cdm, japo sio kwa sababu ya ubora, bali sababu za kihistoria.Fikra mgando na kukurupuka!
Hivi yule Mama wa Kiingereza Jane Goodall bado yupo Tanzania?
Walioko Chadema wameingia kwa utashi si kwa kulazimika wapate kazi, chuo au biashara.Hii ndio kauli aliyoitoa mara baada ya kutangazwa Mshindi wa nafasi ya Uenyekiti wa Chadema
View attachment 3210116
Je unadhani kauli yake ina ukweli wowote?
hapa chini angalia wageni waalikwa wa Mikutano ya ccm na Chadema ili uongeze maarifa ya kujibu nilichouliza.
View attachment 3210123
Toa Maoni yako
Ukubwa uliozungumzwa siyo wa UmriAngesema cdm ni bora kuliko ccm angekuwa sahihi. Lakini ukweli ni kuwa ccm ni kubwa kuliko cdm, japo sio kwa sababu ya ubora, bali sababu za kihistoria.
Asante sanaHongera sana Erythrocyte
Tokea nikujue hapa JF hujawahi kubadilika
Sisi wengine tumetoka na sasa tunarudi maana tulishindwa kuvumilia baadhi ya mambo ndani ya chama ile wewe umesimama imara na makamanda wengine.
Hongera sana unabii wa Sheikh Yahaya unaenda kutimia
Unataka amfanyie utafiti huyu?Hivi yule Mama wa Kiingereza Jane Goodall bado yupo Tanzania?