Lissu, do you think you are that much of a threat to Samia regime/Government to the extent of silencing you by bribing you, tena kupitia Abdul!

Lissu, do you think you are that much of a threat to Samia regime/Government to the extent of silencing you by bribing you, tena kupitia Abdul!

Kama ni threat na aka be eliminated by any means mbona wengine radical kuliko yeye wataibuka na kuwa threat mara tatu. Daima upinzani huwa upo tu
Iko vile bandugu !
You can Never eliminate ideas 👏👏🙌👍
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Tuhuma za rushwa zinaweza kumuhusu yeyote yule. Anayetuhumiwa kuchafuliwa na tuhuma za rushwa, anaweza kwenda mahakanani akitaka. Ulifikiri tuhuma za rushwa zinachagua mtoto wa fulani au cheo?!
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Mkuu acha vitisho ,nani hatakufa, binadm wote mbele za Mungu ni takataka tu , bila kujali we ni nani katika mamlaka ya kidunia , wote ni mavumbi ila njia ya kwenda mavumbini zinatofautiana.

Sikia hakuna mwanadam aishie ,ataishi milele ni swala la mda tu , acheni jitwika utukufu wa Mungu ,acheni tishia watu kwa vingereza uchwara , tunza hii
 
Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!

Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Yes ni tishio but maybe si sana but ni threat. Why? Because of one thing alone, si muumini wa siasa za ki father, siasa za kukaa meza moja na wale wale wanao watesa na kuwapoteza tena una make nao deals?
From his approach, upinzan unatakiwa uwe aggressive, wild enough instead of kuendelea na mtindo uliopo ambao haukipeleki chama mahali zaidi ya kuzungukia pale pale
 
Anataka kujipa umuhimu ambao hana.

By the way Rais alishasema ustaarabu ukiwashinda Machadema sheria zile zile zilizotumika by then Bado zipo so huyo Kibaraka wa Wazungu asijipe umuhimu ambao hana wakati anaweza kushughulikiwa na hana Cha kufanya.

Juzi tuu ametoka kulalama,asimchague Rais linapokuja suala la Kampeni zao na akukbuke ni Samia huyo huyo alimtoa Ubelgiji akitaka amrudishe huko anaweza hata Sasa.
Angekuwa hana umuhimu kwenye chama, hata nafasi ya umakamu asingepewa, probably mainge msikia kabisa. Kuna kitu chadema wanapata from him is why ni ngumu kumtoa humo, they cant fire him
 
Ila kidhungu unakipenda chanyewe hakikupendi.
SAWA ANGALAU NAJARIBU.
sasa wewe mjuzi basi niandikie sentensi hii kwa kizungu: Ingelikuwa si mdomo mchafu wa Lisu dhidi ya wenzake, Chadema ingelishinda uchaguzi wa 2025
 
Mkuu acha vitisho ,nani hatakufa, binadm wote mbele za Mungu ni takataka tu , bila kujali we ni nani katika mamlaka ya kidunia , wote ni mavumbi ila njia ya kwenda mavumbini zinatofautiana.

Sikia hakuna mwanadam aishie ,ataishi milele ni swala la mda tu , acheni jitwika utukufu wa Mungu ,acheni tishia watu kwa vingereza uchwara , tunza hii
what are you trying to establish?
 
SAWA ANGALAU NAJARIBU.
sasa wewe mjuzi basi niandikie sentensi hii kwa kizungu: Ingelikuwa si mdomo mchafu wa Lisu dhidi ya wenzake, Chadema ingelishinda uchaguzi wa 2025
Mi la 7B.
 
Naona umeandika SAILESINGI YUUU BAI BULAIBINGI YUUUU. kwani msamiati kwenye kimatumbi umeisha?
 
Yes ni tishio but maybe si sana but ni threat. Why? Because of one thing alone, si muumini wa siasa za ki father, siasa za kukaa meza moja na wale wale wanao watesa na kuwapoteza tena una make nao deals?
From his approach, upinzan unatakiwa uwe aggressive, wild enough instead of kuendelea na mtindo uliopo ambao haukipeleki chama mahali zaidi ya kuzungukia pale pale
FINE MMEPIGA KELELE/MMEPZA SAUTI TO PUT IS A SOFT LANGUAGE KULE MARIA SPACES NA CLUBS (SIJUI MNAZIITAJE) FOR YEARS ....KUNA IMPACT GANI ZIMELETA?
Ungeliniambia tunakwenda msituni, maandamano kama kwa Husna ningelikuelewa, lakini kelele za mitandaoni kwa madikiteita haziwatishi.......
 
Back
Top Bottom