ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Hahahahaha ! Sasa kama iko vile bandugu inakuwaje sasa bangine eti banapewa maprosoo ??!Kwa Tanzania wapiga kura hawana jibu.wenye majibu ya ushindi ni Tume ya uchaguzi,polisi na Tiss fullstop
Mbowe supporter !Your instinct inakuongoza vipi?
Iko vile bandugu !Kama ni threat na aka be eliminated by any means mbona wengine radical kuliko yeye wataibuka na kuwa threat mara tatu. Daima upinzani huwa upo tu
Tuhuma za rushwa zinaweza kumuhusu yeyote yule. Anayetuhumiwa kuchafuliwa na tuhuma za rushwa, anaweza kwenda mahakanani akitaka. Ulifikiri tuhuma za rushwa zinachagua mtoto wa fulani au cheo?!Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Kwanza anatupigia kelele tu na hizo herufi kubwaHerufi kubwa za Nini? Kaeni sawa dawa iingie vizuri
Mkuu acha vitisho ,nani hatakufa, binadm wote mbele za Mungu ni takataka tu , bila kujali we ni nani katika mamlaka ya kidunia , wote ni mavumbi ila njia ya kwenda mavumbini zinatofautiana.Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Yes ni tishio but maybe si sana but ni threat. Why? Because of one thing alone, si muumini wa siasa za ki father, siasa za kukaa meza moja na wale wale wanao watesa na kuwapoteza tena una make nao deals?Sidhani kama wewe ni tishio kubwa kasi hicho, sidhani aslani! common sense negates that ! Ana njia nyingi za kuku silence, si kupitia Wenje na Abdul!
Kwa maoni yangu kama anakuona ni threat, a big threat, atatumia all arsenal at her disposal to silence you! siyo mtoto wake! siyo Wenje.........
Angekuwa hana umuhimu kwenye chama, hata nafasi ya umakamu asingepewa, probably mainge msikia kabisa. Kuna kitu chadema wanapata from him is why ni ngumu kumtoa humo, they cant fire himAnataka kujipa umuhimu ambao hana.
By the way Rais alishasema ustaarabu ukiwashinda Machadema sheria zile zile zilizotumika by then Bado zipo so huyo Kibaraka wa Wazungu asijipe umuhimu ambao hana wakati anaweza kushughulikiwa na hana Cha kufanya.
Juzi tuu ametoka kulalama,asimchague Rais linapokuja suala la Kampeni zao na akukbuke ni Samia huyo huyo alimtoa Ubelgiji akitaka amrudishe huko anaweza hata Sasa.
Nenda kwa ras Simba mkuu...Embu sahihisha wewe, ungeandikaje hapo?🤭
SAWA ANGALAU NAJARIBU.Ila kidhungu unakipenda chanyewe hakikupendi.
what are you trying to establish?Mkuu acha vitisho ,nani hatakufa, binadm wote mbele za Mungu ni takataka tu , bila kujali we ni nani katika mamlaka ya kidunia , wote ni mavumbi ila njia ya kwenda mavumbini zinatofautiana.
Sikia hakuna mwanadam aishie ,ataishi milele ni swala la mda tu , acheni jitwika utukufu wa Mungu ,acheni tishia watu kwa vingereza uchwara , tunza hii
Mi la 7B.SAWA ANGALAU NAJARIBU.
sasa wewe mjuzi basi niandikie sentensi hii kwa kizungu: Ingelikuwa si mdomo mchafu wa Lisu dhidi ya wenzake, Chadema ingelishinda uchaguzi wa 2025
Hatari sana.Naona umeandika SAILESINGI YUUU BAI BULAIBINGI YUUUU. kwani msamiati kwenye kimatumbi umeisha?
Ulikuwa unauliza swali kwa Lissu sio?(kama ndio hio alama ya mwisho sio sahihi).Angalia hii phrase pia "much of a" haiko sawa kiongozinirekebisheje, nisaidie....
FINE MMEPIGA KELELE/MMEPZA SAUTI TO PUT IS A SOFT LANGUAGE KULE MARIA SPACES NA CLUBS (SIJUI MNAZIITAJE) FOR YEARS ....KUNA IMPACT GANI ZIMELETA?Yes ni tishio but maybe si sana but ni threat. Why? Because of one thing alone, si muumini wa siasa za ki father, siasa za kukaa meza moja na wale wale wanao watesa na kuwapoteza tena una make nao deals?
From his approach, upinzan unatakiwa uwe aggressive, wild enough instead of kuendelea na mtindo uliopo ambao haukipeleki chama mahali zaidi ya kuzungukia pale pale