Uhakika gani?Tundu Lissu ziku zote huwa anatoa taarifa zenye uhakika sina shaka katika hili makinikia alishashauri lakini watu walimuita kibaraka leo hii kweli tunashitakiwa
Ana audience yake ya kuwalisha ujinga na kuamini kila anachosema.Zina uzito wa kilo 400, Kwa noti za 100$, ila kama ni madafu contena inajaa
Jambo kama hilo kwa hindi Magufuli alivyokuwa anachukiwa na watu serkalini lazima habari ingevuja tu! Hata Samia alisema hela za Prebargan ziko China na lengo ilikuwa kumchafua Magufuli lakini mpaka leo bawana majibu!Huenda zilikuwa ni za kazi maalum ya usalama wa Taifa
Mashenzi kama wewe ndio mlikuwa mnaejiita Wazalendo na kukomoa wengine Kwa sababu mlikuwa kwenye Neema.Ana audience yake ya kuwalisha ujinga na kuamini kila anachosema.
Nikwambie hawa watu waliomchukia Magufuli pamoja na Wazungu angekuwa na fedha iwe ndani au nje ya nchi lazima wangemtangaza kuharibu legazi yake!Ushahidi?
Mimi naweza kusema nimekuta 1bn USD nyumbani kwako.
Magufuli ana mali gani ndani na nje ta nchi? Familia yake inaiishije ni kama Riz one?
Mfalme wa kwenu tu mimi natoka kanda ya ziwa sikubaliani na weweLissu anajimaliza kisiasa na kuiua Chadema
hajui nini aseme wapi na nini asiseme wapi.
Muambieni Lissu JPM ndio mfalme wa Kanda ya ziwa.
Kwani mnaposemaga upigaji umerudi Huwa mnaweka ushahidi? Nyie ni matapeli na majizi mnastahili kuchinjwa kama nguruwe.Ushahidi?
Mimi naweza kusema nimekuta 1bn USD nyumbani kwako.
Magufuli ana mali gani ndani na nje ta nchi? Familia yake inaiishije ni kama Riz one?
Lissu namuona anafanana sana na JPM, wanapigania wanachokiamini. Lakini huwa wakati mwingine hawatakafari madhara yake kwa umoja wa Watanzania.Lissu anajimaliza kisiasa na kuiua Chadema
hajui nini aseme wapi na nini asiseme wapi.
Muambieni Lissu JPM ndio mfalme wa Kanda ya ziwa.
Fedha za ndani kwake wanamtangaza watajuaje? Nje huko aliiweka China na Russia Kwa matatili wenzieNikwambie hawa watu waliomchukia Magufuli pamoja na Wazungu angekuwa na fedha iwe ndani au nje ya nchi lazima wangemtangaza kuharibu legazi yake!
Kwaiyo ni sawa dikteta mmagufuli kuwa na kiasi hiko!? kweli ww tahilaHaijalishi
Sasa Cha ajabu ni kipi wakati Mwendazake alijenga hekalu kwao Chato expensive kuliko Rais yeyote? Kukaza pesa kwenye chumba ambacho kina handaki Kuna ajabu hapo?Uzito wa kiasi hiko Cha Fedha Kwa noti za dola mia ni kilo 400, au gunia 4 za mahindi au mcheke
Exactly,tutawatia adabu kkenge HawaThubutu! Hayo ni maneno ya kijiweni na wapumbavu kama wewe ndiyo mnakariri. Nimesema Magufili ameondoka na utakiona cha moto uchaguzi wa 2025 ukipita. Sasa hivi mnapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa ili 2025 msilete longolongo.
Inashangaza, ukiangalia familia ya JPM ipo simple sana, hawababaiki na vyeo, teuzi, madaraka, pesa.Nikwambie hawa watu waliomchukia Magufuli pamoja na Wazungu angekuwa na fedha iwe ndani au nje ya nchi lazima wangemtangaza kuharibu legazi yake!
Dah, Bora Samia muhadilifuSio pesa tu na zahabu kilo 27kg zilikutwa ndani ya handaki nyumbani ya huyu fisadi alie juficha kwenye picha ya uzalendo, kumbe jizi.
Mashenzi kama wewe ndio mlikuwa mnaejiita Wazalendo na kukomoa wengine Kwa sababu mlikuwa kwenye Neema.
Hii Nchi bila kuwafyeka mapanga watu dizaini ya nyie wanafiki haiwezi kusogea