Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Tujikumbushe: Kukutwa kwa bilioni 100 zimefichwa Chato kwa mwendazake

Daaah nimekumbuka hii ishu nikacheka sana[emoji23]

Kusema kweli hii nchi imepigwa sana mnakumbuka lile sakata la mwendazake kujifichia mapesa zaidi ya bilioni 100 za kitanzania nyumbani kwake Chato?

Naskia mrithi wake alishtuka balaa hiyo siku akaduwaa hakuamini macho yake kuwa kumbe jamaa alikua mpigaji

Tena pesa zenyewe zilikua ni dola za kimarekani (USD) huku akituaminisha kuwa mabeberu ni watu wabaya!!

Kitendo cha pesa kuwekwa kwenye majaba ndo kiliacha watu vinywa wazi!! Kwahesabu zile pesa zilikua ni zaidi ya bilioni 100 za kitanzania, hii ishu nakumbuka hata lissu aliwahi kuisema hii

Ila nawaambia hakuna awamu hela zinapigwa kama hii ya mama hii ndo komesha maana pesa zinaliwa kuanzia juu hadi chini....

Bora kipindi kile hela zilikua zinaliwa na mwendazake tu na wengine hamruhusiwi kula ila sasahivi ni circle nzima ya watawala kuanzia juu kule hadi ngazi za mashinani pesa zinaliwa vibaya mno na ukizingatia walishaambiwa wajipimie ndo ufisadi umetamalaki.

Pamoja na yote bado mwendazake alijitahidi kuisimamia pesa angalau watu waliogopa kudokoa mnakumbuka sakata la hatichafu aliwafukuza wakurugenzi watatu papo hapo?

Huyu mtu alikua na mazuri yake kuna kalegacy flan hivi kakuchukia wizi na uoga wa kudokoa alikatengeneza kwa wasaidizi wake na hii ilisaidia watu hawakujipimia sasahivi watu wanakula mpaka wanavimbiwa kila mradi hata kama ni kuwa kununua kikombe cha chai cha ofisini watu lazima wapige hapo 10%

Kwenye nidhamu ya kazi,utendaji na kusimamia fedha bado mwendazake ni bora kuliko Samia.Samia hakuna kitu anaweza kauli pekee alikemea ufisadi ni kutumia neno "stupid" tu...

By the way kila mchuma janga hula na wakwao tulimkosoa sana mwendazake watu walikula hadi shaba enzi zile na kupotea Mungu akajibu Maombi kaja Mama ambaye anajinadi ni mwanageuzi haya sasahivi uhuru upo vipi hali ipoje???Wafuasi wa hayati wanagonga cheers wakisema "kiko wapi??Si mlitaka uhuru nyie?".

Kuna muda mtu unashindwa kujua ushike wapi usishike wapi kwa jinsi nchi inavyopigwa kwasasa.....By the way R.I.P NGOSHA ulifanya part yako...
Acha uzwazwa wewe
 
Kwa kinga aliyonayo Rais kikatiba hakuna mwenye mamlaka ya kwenda kupekua nyumba yake, hizo 100B ni nani alienda kupekua?
 
Yaani awamu hii inaachaje kupiga hela, wakati waliokuwa wanashurutisha waonekane wazalendo walificha hela nyingi hivyo nyumbani? Ndio maana alikuwa anataka arudishwe akafie nyumbani Ili atoe muongozo wa kuficha hizo hela.
Lazima Ipige Cash Ndefu
 
Tujikumbushe: Kukutwa kwa bilioni 100 zimefichwa Chato kwa mwendazake

Daaah nimekumbuka hii ishu nikacheka sana[emoji23]

Kusema kweli hii nchi imepigwa sana mnakumbuka lile sakata la mwendazake kujifichia mapesa zaidi ya bilioni 100 za kitanzania nyumbani kwake Chato?

Naskia mrithi wake alishtuka balaa hiyo siku akaduwaa hakuamini macho yake kuwa kumbe jamaa alikua mpigaji

Tena pesa zenyewe zilikua ni dola za kimarekani (USD) huku akituaminisha kuwa mabeberu ni watu wabaya!!

Kitendo cha pesa kuwekwa kwenye majaba ndo kiliacha watu vinywa wazi!! Kwahesabu zile pesa zilikua ni zaidi ya bilioni 100 za kitanzania, hii ishu nakumbuka hata lissu aliwahi kuisema hii

Ila nawaambia hakuna awamu hela zinapigwa kama hii ya mama hii ndo komesha maana pesa zinaliwa kuanzia juu hadi chini....

Bora kipindi kile hela zilikua zinaliwa na mwendazake tu na wengine hamruhusiwi kula ila sasahivi ni circle nzima ya watawala kuanzia juu kule hadi ngazi za mashinani pesa zinaliwa vibaya mno na ukizingatia walishaambiwa wajipimie ndo ufisadi umetamalaki.

Pamoja na yote bado mwendazake alijitahidi kuisimamia pesa angalau watu waliogopa kudokoa mnakumbuka sakata la hatichafu aliwafukuza wakurugenzi watatu papo hapo?

Huyu mtu alikua na mazuri yake kuna kalegacy flan hivi kakuchukia wizi na uoga wa kudokoa alikatengeneza kwa wasaidizi wake na hii ilisaidia watu hawakujipimia sasahivi watu wanakula mpaka wanavimbiwa kila mradi hata kama ni kuwa kununua kikombe cha chai cha ofisini watu lazima wapige hapo 10%

Kwenye nidhamu ya kazi,utendaji na kusimamia fedha bado mwendazake ni bora kuliko Samia.Samia hakuna kitu anaweza kauli pekee alikemea ufisadi ni kutumia neno "stupid" tu...

By the way kila mchuma janga hula na wakwao tulimkosoa sana mwendazake watu walikula hadi shaba enzi zile na kupotea Mungu akajibu Maombi kaja Mama ambaye anajinadi ni mwanageuzi haya sasahivi uhuru upo vipi hali ipoje???Wafuasi wa hayati wanagonga cheers wakisema "kiko wapi??Si mlitaka uhuru nyie?".

Kuna muda mtu unashindwa kujua ushike wapi usishike wapi kwa jinsi nchi inavyopigwa kwasasa.....By the way R.I.P NGOSHA ulifanya part yako...
Watu tumeshaokota sana vichwa vya treni.
 
Tujikumbushe: Kukutwa kwa bilioni 100 zimefichwa Chato kwa mwendazake

Daaah nimekumbuka hii ishu nikacheka sana[emoji23]

Kusema kweli hii nchi imepigwa sana mnakumbuka lile sakata la mwendazake kujifichia mapesa zaidi ya bilioni 100 za kitanzania nyumbani kwake Chato?

Naskia mrithi wake alishtuka balaa hiyo siku akaduwaa hakuamini macho yake kuwa kumbe jamaa alikua mpigaji

Tena pesa zenyewe zilikua ni dola za kimarekani (USD) huku akituaminisha kuwa mabeberu ni watu wabaya!!

Kitendo cha pesa kuwekwa kwenye majaba ndo kiliacha watu vinywa wazi!! Kwahesabu zile pesa zilikua ni zaidi ya bilioni 100 za kitanzania, hii ishu nakumbuka hata lissu aliwahi kuisema hii

Ila nawaambia hakuna awamu hela zinapigwa kama hii ya mama hii ndo komesha maana pesa zinaliwa kuanzia juu hadi chini....

Bora kipindi kile hela zilikua zinaliwa na mwendazake tu na wengine hamruhusiwi kula ila sasahivi ni circle nzima ya watawala kuanzia juu kule hadi ngazi za mashinani pesa zinaliwa vibaya mno na ukizingatia walishaambiwa wajipimie ndo ufisadi umetamalaki.

Pamoja na yote bado mwendazake alijitahidi kuisimamia pesa angalau watu waliogopa kudokoa mnakumbuka sakata la hatichafu aliwafukuza wakurugenzi watatu papo hapo?

Huyu mtu alikua na mazuri yake kuna kalegacy flan hivi kakuchukia wizi na uoga wa kudokoa alikatengeneza kwa wasaidizi wake na hii ilisaidia watu hawakujipimia sasahivi watu wanakula mpaka wanavimbiwa kila mradi hata kama ni kuwa kununua kikombe cha chai cha ofisini watu lazima wapige hapo 10%

Kwenye nidhamu ya kazi,utendaji na kusimamia fedha bado mwendazake ni bora kuliko Samia.Samia hakuna kitu anaweza kauli pekee alikemea ufisadi ni kutumia neno "stupid" tu...

By the way kila mchuma janga hula na wakwao tulimkosoa sana mwendazake watu walikula hadi shaba enzi zile na kupotea Mungu akajibu Maombi kaja Mama ambaye anajinadi ni mwanageuzi haya sasahivi uhuru upo vipi hali ipoje???Wafuasi wa hayati wanagonga cheers wakisema "kiko wapi??Si mlitaka uhuru nyie?".

Kuna muda mtu unashindwa kujua ushike wapi usishike wapi kwa jinsi nchi inavyopigwa kwasasa.....By the way R.I.P NGOSHA ulifanya part yako...
Akili za kuambiwa unatakiwa uchanganye na zako. Billion 100 dogo unazifahamu?
 
Au ndio zile biswalo anyone anaonekana akiziweka kwenye begi jeusi? Mwenye ile picha aiweke humu
Dolari hizo hapo zinawekwa kwenye sanduku tayari kupelekwa chato.
img_3_1680413385526.jpg
 

Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
Duuuh kumbe hadi uzi ulishawahi kuja humu kuhusu hili
Maana ule uzi wangu kuna wajinga walinitukana wakidhan namsingizia
 

Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
Picha ya mabilioni yaliyofichwa ipo wapi?
 

Akiongea na wananchi wa Bugarama Halmashauri ya Geita Vijijini, Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lissu leo Jumamosi ya Agosti 5, 2023 amesema kuwa, aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John Magufuli baada ya kufariki kiasi cha Dola za Kimarekani Milioni 42 (zaidi ya Tsh. Bilioni 100), zilikutwa nyumbani kwake Chato.

Kiasi hicho cha fedha ni nyingi hasa ukilinganisha na mshahara wa Rais. Lissu aliyasema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara, wakati akiwasilisha mada ya uuzwaji na uwekezaji wa bandari.

Lengo la kuweka habari hii hapa ni mshtuko nilioupata.
UKIMWELEWA LISU AKILIYAKE ILIVYO UJUE TAYARI UCHIZI KAMA YEYE UNAKUANZA
 
Back
Top Bottom