Lissu endelea kamatia hapo hapo nimeanza kusikia makelele yao ni wazi sasa sindano zinaingia na wapenda mabadiliko wote tumwongezee mwenyekiti nguvu

Lissu endelea kamatia hapo hapo nimeanza kusikia makelele yao ni wazi sasa sindano zinaingia na wapenda mabadiliko wote tumwongezee mwenyekiti nguvu

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Watu wasiopenda mabadiliko na hasa kutoka CCM wameanza kuamka usingizini na wengine kuingiwa na hofu ya hatma yao baada ya hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Wengine wanalalamika kama wehu et "Lissu asitutishe"! Hii ni dadili nzuri sana kwamba wameanza kuona mwisho wao ukiwa karibu zaidi sasa.

Mwenyekiti tupo nyuma yako na tunaomba uendelee na moto huo huo hadi kieleweke.
 
Kazi ya Lissu ni ndogo sana saivi.

Kwanza akutane na Viongozi wa Dini aanze na TEC then KKKT then amalize na Sheikh Ponda

Pili ni hotuba tu za kuwatoa matongotongo Watumishi wa Umma na wa Vyombo vya dola ( Vyombo vya ulinzi na usalama)

Alafu anamalizia vikao na wahisadi na wafadhili.

Ni kupiga misumali mwanzo mwisho hadi Lumumba waseme poo. Tumechelewa sana na CCM wakiendekezwa nchi hii tusahau KATIBA MPYA na Mabadiliko ya Kweli ambayo yatatuhakikishia maendeleo ya kweli.
 
Watu wasiopenda mabadiliko na hasa kutoka CCM wameanza kuamka usingizini na wengine kuingiwa na hofu ya hatma yao baada ya hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Wengine wanalalamika kama wehu et "Lissu asitutishe"! Hii ni dadili nzuri sana kwamba wameanza kuona mwisho wao ukiwa karibu zaidi sasa.

Mwenyekiti tupo nyuma yako na tunaomba uendelee na moto huo huo hadi kieleweke.
Kabisa ashikirie hapo hapo.
 
Watu wasiopenda mabadiliko na hasa kutoka CCM wameanza kuamka usingizini na wengine kuingiwa na hofu ya hatma yao baada ya hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Wengine wanalalamika kama wehu et "Lissu asitutishe"! Hii ni dadili nzuri sana kwamba wameanza kuona mwisho wao ukiwa karibu zaidi sasa.

Mwenyekiti tupo nyuma yako na tunaomba uendelee na moto huo huo hadi kieleweke.
Lissu anajua mpaka anakera jamani , mh heche balaa lake sio la nchi hii.

Mh Heche anasema kama gharama ya kwenda mbinguni ikawa sh elfu 20000, watanzania wengi wasinge toboa na ni kweli, Wasira naomba ajibu hili kama yupo na ubavu.

Nchi inaanza kuchangamuka dadeki
 
Watu wasiopenda mabadiliko na hasa kutoka CCM wameanza kuamka usingizini na wengine kuingiwa na hofu ya hatma yao baada ya hotuba ya mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Wengine wanalalamika kama wehu et "Lissu asitutishe"! Hii ni dadili nzuri sana kwamba wameanza kuona mwisho wao ukiwa karibu zaidi sasa.

Mwenyekiti tupo nyuma yako na tunaomba uendelee na moto huo huo hadi kieleweke.
Nimelisikia lile barmaid la UWT linabwata kama limekunywa maji ya chooni
 
Kazi ya Lissu ni ndogo sana saivi.

Kwanza akutane na Viongozi wa Dini aanze na TEC then KKKT then amalize na Sheikh Ponda

Pili ni hotuba tu za kuwatoa matongotongo Watumishi wa Umma na wa Vyombo vya dola ( Vyombo vya ulinzi na usalama)

Alafu anamalizia vikao na wahisadi na wafadhili.

Ni kupiga misumali mwanzo mwisho hadi Lumumba waseme poo. Tumechelewa sana na CCM wakiendekezwa nchi hii tusahau KATIBA MPYA na Mabadiliko ya Kweli ambayo yatatuhakikishia maendeleo ya kweli.
Mkuu copy hili andiko paste kwa mdude Niangalie huko X kisha mtag Heche, Lissu NK.
 
Mtaaaala mgumu huo sjawahi kuona watoto wadgo wanasoma vitu vigumu san
Kudadeki ..nimeangalia kitabu Cha English form 1... Ndugu yangu mambo ni mengi.. Kuna maneno ya phonology , semantics mpaka morphology
 
Kazi ya Lissu ni ndogo sana saivi.

Kwanza akutane na Viongozi wa Dini aanze na TEC then KKKT then amalize na Sheikh Ponda

Pili ni hotuba tu za kuwatoa matongotongo Watumishi wa Umma na wa Vyombo vya dola ( Vyombo vya ulinzi na usalama)

Alafu anamalizia vikao na wahisadi na wafadhili.

Ni kupiga misumali mwanzo mwisho hadi Lumumba waseme poo. Tumechelewa sana na CCM wakiendekezwa nchi hii tusahau KATIBA MPYA na Mabadiliko ya Kweli ambayo yatatuhakikishia maendeleo ya kweli.
Pia siyo vibaya Lissu kuonana na vyombo vya dola wakamwelewa mindset yake.Kuna ubaya gani kuonana na CDF au IGP jaji Mkuu Mwana sheria Mkuu nk. asiwe mbali na vyombo hivi ku share nao concerns in privacy
 
Pia siyo vibaya Lissu kuonana na vyombo vya dola wakamwelewa mindset yake.Kuna ubaya gani kuonana na CDF au IGP jaji Mkuu Mwana sheria Mkuu nk. asiwe mbali na vyombo hivi ku share nao concerns in privacy
Atafika tu huko huyu ndiye aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu nq Watz wengi.
 
Pia siyo vibaya Lissu kuonana na vyombo vya dola wakamwelewa mindset yake.Kuna ubaya gani kuonana na CDF au IGP jaji Mkuu Mwana sheria Mkuu nk. asiwe mbali na vyombo hivi ku share nao concerns in privacy
Ooh yes, good idea 👍. Hasa IGP na CDF even though naona response yao itakuwa ni ndogo.
 
Back
Top Bottom