Lissu familia ameiacha Ulaya halafu anahamasisha maandamano ya Wanyonge?

Lissu familia ameiacha Ulaya halafu anahamasisha maandamano ya Wanyonge?

Tunajua Sukuma Gang mumeumia sana kuona Lissu yuko hai na mzilankende yuko motoni anapokea ujira wake. Na tunajua kuwa mnapanga kulipua mabomu kwenye mikutano yetu. Na mlivyo wapumbavu mnaona Chadema ni adui yenu ilhali adui yenu ni Msoga Gang.
Sasa wewe fala Lissu ana nini cha maana cha kufanya mtu aumie.yaani kuna majitu majinga sana hii nchi.huyo mtu wenu uchaguzi ukiisha anarudi kwao na muwe mnamfata huko kwao ulaya mbwa nyie
 
Hapo ni issue ya maadili,wewe hufajamu kitu.
Mke wa Lissu ni Mkerewe binti Wa Mzee Magabe.
Na sio huyo Mzungu asilani.
Acha kupotosha More Mugabe ni Mkurya na siyo Mkerewe.
 
Hili lazima tuliangalie kwa jicho la tatu!jana akiwa pale Temeke alitoa tamko..... kwamba,atawaomba watanzania na wanachama wa Chadema kuingia mtaani kuhakikisha katiba mpya inapatikana kabla ya Mwaka 2025.

Lakini wakati akisema hayo.

Lissu ametelemka uwanja wa Ndege wa "JNIA" Dar es Salaam, akiwasili bila kuandamana na familia yake!

Kwa maana kwamba amewaacha watoto wake,wakiendelea na mihula yao ya Masomo,huko Ulaya,
sambamba na mkewe ambae kimsingi ndie msimamizi wa familia.

Pia hata aliekuwa dereva wake,ambae walikimbia wote. Huenda anaendelea na kibarua chake huko huko,akaendelea kuwapeleka watoto shule na huduma zingine.

Hivyo,Lissu yuko hapa kimwoli,lakini kimawazo na kimaslahi..
Yeye yuko Ulaya!

Na ikitokea akahsmasisha vurugu,zikitokea kutodhibiyika Lissu yeye atatimkia tena Ubelgiji,akiwaacha mkiumia kama alivyokw8sha fanya hapo awali mwaka 2020,baada ya uchaguzi mkuu.

Lissu amekwisha lipwa stahiki zake zote,ikiwemo pia na gharama zake za matibabu
(hii ni kwa mujibu wa kauli za serikali, pamoja na Lissu mwenyewe).
Hata shavu lake linaashiria kwamba yuko kwenye neema.

Sasa anakuja kuwahamasisha watu walioko kwenye hizi dhiki za "Tozo",kwamba tatizo la dhiki zoote,litaondoka pale tu,watakapoamua kuingia mtaani kudai katiba mpya kwa kutumia ....People's Power [emoji367]....

Waumie wanyonge,wafe wanyonge,wapate vilema wanyonge....yaani Punda afe,ila Mzigo ufike!

Kisha siku ikitokea ndoto yake ikatimia...

Ndio familia yake ije nchini na kuendelea kulamba asali,baada ya kuwatumia wanyonge kwa utofahamu wao wa mambo!

Lissu na wanasiasa wengi wa kariba yao,hawana mapenzi ya dhati na watanzania wanyonge wa nchi hii.

Ndio maana yeye kwa ubinafsi wake,hufurahia pale mali za nchi hii kukamatwa nje ya nchi na kupelekea serikali kulipa mapesa mengi a
Ambayo kimsingi ni jasho la walipa kodi wa nchi hii,ambao ndio sisi wanyonge anaotudhihaki kila uchao!

Ni Lissu huyuhyu ambae huwa ni mtetezi wa wezi wa madini yetu toka Ulaya,akifikia hadi kutoa ushirikiano kwao kitupeleka "MIGA" ili watushinde na kulipwa fidia na kisha yeye apate ujira wske kwa mchango wake.

Pia atutolee udafanuzi kuhusu hii picha hapa.
Rais mtarajiwa wa Chadema,kwamba huyu mzungu ndie nani,na wakati haya yakiendelea....mkeo alikuwa wapi hapo airport???

View attachment 2496063
Hii ilikuwa juzi Huko Ubelgiji,muda mfupi kabla ya kuingia ndani ya ndege kuanza safari ya Tanzania.

Nimekuja na nimetoa nilichokiona.
Wale wa matusi pia karibuni...ika jiwe la gizani limerushwa!

Alamsikhi.
10101.
Aandamane yeye na madogo waliotoka chuo juzi juzi!!!!!
 
Mathayo 12: 46-50

Hivi huyo anayesimulia hapo ni Yesu? Soma vizuri

46 Wakati alipokuwa akizungumza na watu, mama yake na ndugu zake walisimama nje wakataka kuongea naye.

47 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuon gea na wewe.”

48 Lakini akamjibu yule mtu aliyemwambia, “Mama yangu ni nani, na ndugu zangu ni nani?
 
Hivi huyo anayesimulia hapo ni Yesu? Soma vizuri

46 Wakati alipokuwa akizungumza na watu, mama yake na ndugu zake walisimama nje wakataka kuongea naye.

47 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuon gea na wewe.”

48 Lakini akamjibu yule mtu aliyemwambia, “Mama yangu ni nani, na ndugu zangu ni nani?
Mbona umeishia katikati?
 
Mbona umeishia katikati?

Nimekuwekea hiyo uliyoweka wewe kuanzia Mathayo 46 to 50

46 Wakati alipokuwa akizungumza na watu, mama yake na ndugu zake walisimama nje wakataka kuongea naye.

47 Mtu mmoja akamwambia, “Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuon gea na wewe.”

48 Lakini akamjibu yule mtu aliyemwambia, “Mama yangu ni nani, na ndugu zangu ni nani?

49 Akinyoosha kidole chake kwa wanafunzi wake, alisema , “Hawa hapa ndio mama yangu na ndugu zangu

50 Kwa maana ye yote anayefanya mapenzi ya Baba yangu wa mbinguni, ndiye kaka, dada na mama yangu.”


Sasa tuambie huyo anayesimulia hapo ni Yesu ?
 
Wewe kwa uelewa wako mdogo uko sahihi, maana ndio upeo wako.

Ila tafakari kauli hizi. Kwamba "tunafanya mazungumzo ila tukishindana huko,tutakuja kwenu na tutakuja ili tuingie mtaani kuhakikisha tunawashinikiza watawala tuipate katiba mpya kabla ya 2025"
jamaa mjinga sana unaifuatilia familia ya lisu kuliko hata mumeo. alikushika viboko? muache lisu afanye siasa wewe endelea kuchunga huko usukumani
 
Wakati unaandika ujinga wako,bangi ilikuwa pembeni yako au Konyagi mabaki ya mwenyekiti?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]vijana wa lumumba ,akili huwa mnaziacha wapi?Pole sana voicer ipo siku UTASIKIKA TU NA WATAKUSIKIA...IPO SIKU NJAA ITAACHA MWILI,
 
Aliewakosesha ubunge kuanzia mwenyekiti mpaka katibu mkuu Chadema.
Hakika hamtakaa mumsahau Jembe Magufuli, mpakansingia kaburini kila mmoja kwa wakati wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]vipi hapo kaburini?je leo upepo unatoka kus au kasi?
 
Hili lazima tuliangalie kwa jicho la tatu!jana akiwa pale Temeke alitoa tamko. Kwamba, atawaomba Watanzania na wanachama wa Chadema kuingia mtaani kuhakikisha katiba mpya inapatikana kabla ya Mwaka 2025.

Lakini wakati akisema hayo.

Lissu ametelemka uwanja wa Ndege wa "JNIA" Dar es Salaam, akiwasili bila kuandamana na familia yake!

Kwa maana kwamba amewaacha watoto wake,wakiendelea na mihula yao ya Masomo,huko Ulaya,
sambamba na mkewe ambae kimsingi ndie msimamizi wa familia.

Pia hata aliekuwa dereva wake, ambae walikimbia wote. Huenda anaendelea na kibarua chake huko huko,akaendelea kuwapeleka watoto shule na huduma zingine.

Hivyo, Lissu yuko hapa kimwoli,lakini kimawazo na kimaslahi. Yeye yuko Ulaya!

Na ikitokea akahsmasisha vurugu,zikitokea kutodhibiyika Lissu yeye atatimkia tena Ubelgiji,akiwaacha mkiumia kama alivyokwisha fanya hapo awali mwaka 2020,baada ya uchaguzi mkuu.

Lissu amekwisha lipwa stahiki zake zote,ikiwemo pia na gharama zake za matibabu (hii ni kwa mujibu wa kauli za serikali, pamoja na Lissu mwenyewe). Hata shavu lake linaashiria kwamba yuko kwenye neema.

Sasa anakuja kuwahamasisha watu walioko kwenye hizi dhiki za "Tozo", kwamba tatizo la dhiki zoote,litaondoka pale tu,watakapoamua kuingia mtaani kudai katiba mpya kwa kutumia. People's Power [emoji367]

Waumie wanyonge, wafe wanyonge,wapate vilema wanyonge, yaani Punda afe, ila Mzigo ufike!

Kisha siku ikitokea ndoto yake ikatimia.

Ndio familia yake ije nchini na kuendelea kulamba asali,baada ya kuwatumia wanyonge kwa utofahamu wao wa mambo!

Lissu na wanasiasa wengi wa kariba yao,hawana mapenzi ya dhati na watanzania wanyonge wa nchi hii.

Ndio maana yeye kwa ubinafsi wake,hufurahia pale mali za nchi hii kukamatwa nje ya nchi na kupelekea serikali kulipa mapesa mengi ambayo kimsingi ni jasho la walipa kodi wa nchi hii, ambao ndio sisi wanyonge anaotudhihaki kila uchao!

Ni Lissu huyuhyu ambae huwa ni mtetezi wa wezi wa madini yetu toka Ulaya, akifikia hadi kutoa ushirikiano kwao kitupeleka "MIGA" ili watushinde na kulipwa fidia na kisha yeye apate ujira wske kwa mchango wake.

Pia atutolee udafanuzi kuhusu hii picha hapa. Rais mtarajiwa wa Chadema,kwamba huyu mzungu ndie nani,na wakati haya yakiendelea. Mkeo alikuwa wapi hapo airport?

View attachment 2496063
Hii ilikuwa juzi Huko Ubelgiji,muda mfupi kabla ya kuingia ndani ya ndege kuanza safari ya Tanzania.

Nimekuja na nimetoa nilichokiona. Wale wa matusi pia karibuni, ila jiwe la gizani limerushwa!

Alamsikhi.
10101.
Sasa huyu anamkazaje huyo mzungu na mavyuma yote yale aliyotuanyesha kule kijijini?🤣
 
Hili lazima tuliangalie kwa jicho la tatu!jana akiwa pale Temeke alitoa tamko. Kwamba, atawaomba Watanzania na wanachama wa Chadema kuingia mtaani kuhakikisha katiba mpya inapatikana kabla ya Mwaka 2025.

Lakini wakati akisema hayo.

Lissu ametelemka uwanja wa Ndege wa "JNIA" Dar es Salaam, akiwasili bila kuandamana na familia yake!

Kwa maana kwamba amewaacha watoto wake,wakiendelea na mihula yao ya Masomo,huko Ulaya,
sambamba na mkewe ambae kimsingi ndie msimamizi wa familia.

Pia hata aliekuwa dereva wake, ambae walikimbia wote. Huenda anaendelea na kibarua chake huko huko,akaendelea kuwapeleka watoto shule na huduma zingine.

Hivyo, Lissu yuko hapa kimwoli,lakini kimawazo na kimaslahi. Yeye yuko Ulaya!

Na ikitokea akahsmasisha vurugu,zikitokea kutodhibiyika Lissu yeye atatimkia tena Ubelgiji,akiwaacha mkiumia kama alivyokwisha fanya hapo awali mwaka 2020,baada ya uchaguzi mkuu.

Lissu amekwisha lipwa stahiki zake zote,ikiwemo pia na gharama zake za matibabu (hii ni kwa mujibu wa kauli za serikali, pamoja na Lissu mwenyewe). Hata shavu lake linaashiria kwamba yuko kwenye neema.

Sasa anakuja kuwahamasisha watu walioko kwenye hizi dhiki za "Tozo", kwamba tatizo la dhiki zoote,litaondoka pale tu,watakapoamua kuingia mtaani kudai katiba mpya kwa kutumia. People's Power [emoji367]

Waumie wanyonge, wafe wanyonge,wapate vilema wanyonge, yaani Punda afe, ila Mzigo ufike!

Kisha siku ikitokea ndoto yake ikatimia.

Ndio familia yake ije nchini na kuendelea kulamba asali,baada ya kuwatumia wanyonge kwa utofahamu wao wa mambo!

Lissu na wanasiasa wengi wa kariba yao,hawana mapenzi ya dhati na watanzania wanyonge wa nchi hii.

Ndio maana yeye kwa ubinafsi wake,hufurahia pale mali za nchi hii kukamatwa nje ya nchi na kupelekea serikali kulipa mapesa mengi ambayo kimsingi ni jasho la walipa kodi wa nchi hii, ambao ndio sisi wanyonge anaotudhihaki kila uchao!

Ni Lissu huyuhyu ambae huwa ni mtetezi wa wezi wa madini yetu toka Ulaya, akifikia hadi kutoa ushirikiano kwao kitupeleka "MIGA" ili watushinde na kulipwa fidia na kisha yeye apate ujira wske kwa mchango wake.

Pia atutolee udafanuzi kuhusu hii picha hapa. Rais mtarajiwa wa Chadema,kwamba huyu mzungu ndie nani,na wakati haya yakiendelea. Mkeo alikuwa wapi hapo airport?

View attachment 2496063
Hii ilikuwa juzi Huko Ubelgiji,muda mfupi kabla ya kuingia ndani ya ndege kuanza safari ya Tanzania.

Nimekuja na nimetoa nilichokiona. Wale wa matusi pia karibuni, ila jiwe la gizani limerushwa!

Alamsikhi.
10101.
Wewe ni mpuuzi sana! Takataka wewe!
 
Back
Top Bottom