Ole jaminati
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 242
- 223
Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi kwa katiba hii bora ccm wajitangaze washindi kuliko kutumia kodi zetu na kuongeza deni la taifaHIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:
HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.
HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.
Kauli ya wengi ni kauli Mungu.
Aluta continua!