Ole jaminati
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 242
- 223
Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi kwa katiba hii bora ccm wajitangaze washindi kuliko kutumia kodi zetu na kuongeza deni la taifaHIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:
HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.
HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.
Kauli ya wengi ni kauli Mungu.
Aluta continua!
Mbarali juzi chadema hawakushiriki, uchaguzi haukuwepo?
Hatuwezi kwenda kwenye uchaguzi kwa katiba hii bora ccm wajitangaze washindi kuliko kutumia kodi zetu na kuongeza deni la taifa
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:
HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.
HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.
Kauli ya wengi ni kauli Mungu.
Aluta continua!
Kila msimu wa uchaguzi huwa yanasemwa haya haya lakini nchi hii haijawahi kukosa uchaguzi!
Hawa watakula virungu hadi wasagau walikotoka, na bahati nzuri au mbaya hakuna mwenye muda wa hayo maandamano labda kama watakuwa wenyewe waliyoyaanda na wake/waume zao!
Hawa watakula virungu hadi wasagau walikotoka, na bahati nzuri au mbaya hakuna mwenye muda wa hayo maandamano labda kama watakuwa wenyewe waliyoyaanda na wake/waume zao!
Vikosi vimesha jiandaa kukabili kila aina ya Upumbavu!
Hata Kenya na nchi nyingi tu za Kiafrika zina katiba mpya lakini maendeleo ni sifuri bara zima la Africa!
Sema Cdm haitoshiriki LAKINI uchaguzi utakuwepo kivyovyote