Lissu, Heche, Wenje, Garubindi, Bulaya, Mdee etl KARIBUNI CCM TUTAWAPOKEA - KAZI ZIPO NYINGI

Lissu, Heche, Wenje, Garubindi, Bulaya, Mdee etl KARIBUNI CCM TUTAWAPOKEA - KAZI ZIPO NYINGI

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Si lisu wala covid 19 watatoka CDM.
kwanza lisu hawawezi kumkubali ccm maana na huko atawanyuka, covid 19 ndo sasa wanarudi rasmi cdm
 
Unayosema ni kweli hao ni Wanasiasa wazuri, isipokuwa ili kujiunga CCM unatakiwa kuziacha akili zako huko ulikotoka, hapo unapewa akili nyingine kabisa za kupongeza na kusifu tu na sio vinginevyo.
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Kwahiyo ccm ndiko watakako thaminiwa. Ccm imeshindwa kuthamini wanachi wano iweka madarakani na wanao wapa hela za kuhongana ndio wathamini mtu walie mnununuwa kwa hela za wizi?
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Nakubaliana na wwe hakuna mtu anayeupenda CCM kama hatafuti cheo na pesa hasa utakiri wa dhulma.


Lakini amini usiamini Sasa dunia ipo karibu kuingia kwenye vita kuu kati ya
WEMA NA UOVU,haki na dhulma .
.Shoka likekwisha kuwekwa shinani ma kila mtu usio zaa matunda utakatwa na kutupwa motoni .

Hakuna tena Raha na amani kwa watu waovu.


Amani ya Tanzania sio ya CCM hii bali ya Ile CCM ya Nyerere ya kulinda Uhuru na Tasilimali za umlma hasa ardhi
Kama Msigwa ameenda CCM kuchuma mali muda sio mrefu atapata hasara kubwa sana.

Ubepari Kenya unaanguka kwa sababu ya dhulma na wanasiasa kujilimbikizia mali bila kiasi.

Gen Z wataziharibu zote na hakuna mwanasiasa atabakiwa na mali mana zile vurugu hazita isha mpaka waovu walie kilio kinacholingana na wanyonge waliodhulumiwa kwa miaka mingi. Ndivyo hukumu ya haki ilivyo.

Tanzania CCM ya wizi wa kura na mali za umma isipobadikika na kusimamia haki
 
HAO WADADA WAWILI KAMWE HAWAWEZI KWENDA CCM HAO NI CHADEMA PURE LABDA USEME WELCOME LUHAGA MPINA TU CHADEMA ILA POLITICS IS A DIRTY GAME MUULIZE MTU YOYOTE ALIYESOMA POLITICAL SCIENCE ATAKWAMBIA MCHEZO WA KUCHEZEA WATU AKILI TU
 
Kama mimi sitapiga kura mwaka huu au mwaka ujao atakayepita apite tu niendelee kutafuta ela mjini na hiyo ndio principle yangu endelevu sipigi kura anaepita apite tu na huo ndio uamuzi wangu tangu 2015
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Ww mtoa Uzi unavyosema mtawapa Kazi.wewe umepewa iyo kazi uchawa tu
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Mdee ni suala la muda,tyr ni mwanachama wenu.Kiukweli kuna watu wanamshukuru Mbowe kimoyomoyo 😂
 
Wakuu,
  • Faraja iko CCM,
  • Tumaini liko CCM,
  • Matarajio yako CCM, na
  • Uhakika upo CCM.

Acheni chuki binafsi, hao waliotajwa na wengine wasiotajwa sababu ya muda wakubali yaishe. CDM ya sasa siyo ile ya akina Bob Makani, Ndesamboro

Ni genge, kundi, sawa na March 23
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
Lengo ni nini hasa?

Anyway, sounds like a banana republic. CCM inaahidi kugawia watu kazi za serikali kama Kivutio cha kuhama chama?
 
Watanzania,
SALAAM!

Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.

Hawa wanafaa kuja kusaidia maeneo mengi ya mikataba ya kimataifa (Lissu na Mdee); Uchumi, na utunzi wa sera Rafiki kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu. Watu hao ni bright sana lkn huko walikopitia sioni kama ni sehemu sahihi kwao. WAJE CCM kazi ndani ya chama ni nyingi sana tutawatumia, kazi serikalini ni nyingi sana tutawapa, kazi ktk taasisi za taifa na kimataifa ni nyingi tutawadhamini.

Siasa siyo uadui!
CCM ndio mnashindwa hata kuandika neno dhahiri mnaandika dhahili?, halafu kwenye fomu za wagombea ndio mnaonekana hamkosei isipokuwa wapinzani
 
Back
Top Bottom