Lissu, Heche, Wenje, Garubindi, Bulaya, Mdee etl KARIBUNI CCM TUTAWAPOKEA - KAZI ZIPO NYINGI

Na picha yako kwenye ID utazani ngozi ya tako la mjaruo
 
Si lisu wala covid 19 watatoka CDM.
kwanza lisu hawawezi kumkubali ccm maana na huko atawanyuka, covid 19 ndo sasa wanarudi rasmi cdm
Kwanza hao COVID !( wanataka waelezwe michango yao ya kila mwezi kwenda chadomo imefanyiwa kazi zipi.

Isingekuwa kutazamwa kwa jicho la huruma na CCM sasa hivi Mbowe alikuwa kishawatemesha ubunge kaweka anaowataka yeye.

Hapo sasa!
 
Kwanza hao COVID !( wanataka waelezwe michango yao ya kila mwezi kwenda chadomo imefanyiwa kazi zipi.

Isingekuwa kutazamwa kwa jicho la huruma na CCM sasa hivi Mbowe alikuwa kishawatemesha ubunge kaweka anaowataka yeye.

Hapo sasa!
Tutawapokea!
 
Kwanza tuanze na kufundishana. Neno sahihi ni ''dhahiri'' na siyo ''nadhili''. Back kwenye topic. Mimi ni mmoja ya watanzania wengi sana wanasikitika na jinsi watanzania wengi wenye uwezo wanaachwa bila kutumika. hao uliwataja ni miongoni mwa wengi. Kama CCM ina lengo na nia nziri ya kuwatumia basi ibadishe katiba ya nchi ili waweze kutumika bila kufungwa na ukiritimba wa CCM. Wananchi wawe na uwezo wa kuwachagua popote wanapotaka bila kuingiliwa.
 
CHAMA CHA MAJAMBAZI basi na wanaokuja huko ni majambazi.
 
Kupewa vyeo vya bure na pesa za kuhongana illi kulinda himaya ya ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…