Uchaguzi 2020 Lissu hili la Vyama vya Ushirika umedanganywa na sisi umetudanganya

Uchaguzi 2020 Lissu hili la Vyama vya Ushirika umedanganywa na sisi umetudanganya

Lisu ni mweupe kabisa kuhusu mambo ya uchumi!

Uchumi siyo MIGA jamani
Nilimpa Challenges mbili za kufafanua namna gani atashughulikia mambo mazito kwenye 'serikali yake ya kufikirika' kwa nyakati hizi za ulimwengu ambayo ni 1. Uchumi imara wa Nchi, na 2. Usalama (katika nyanja zote) wa Nchi.
===
Mpaka sasa hajatoa ufafanuzi huo, na hata wafuasi wake 'kindakindaki' hapa JF nao wameuchuna...hawataki 'kumrushia taulo' Ni Yeye.
 
Nilimpa Challenges mbili za kufafanua namna gani atashughulikia mambo mazito kwenye 'serikali yake ya kufikirika' kwa nyakati hizi za ulimwengu ambayo ni 1. Uchumi imara wa Nchi, na 2. Usalama (katika nyanja zote) wa Nchi.
===
Mpaka sasa hajatoa ufafanuzi huo, na hata wafuasi wake 'kindakindaki' hapa JF nao wameuchuna...hawataki 'kumrushia taulo' Ni Yeye.
Kama hilo la usalama naona anategemea Wakenya! Maana anawaabudu kweli
 
Wacha upumbavu wako mwamba! Unaijua ginnery ya Nsagali wewe? Inanunua makalio ya shangazi yako? Unamfahamu Simon Kisenha na ginnery zake pale Maswa na Malampaka? Vipi kuhusu Kigwangala? Wote hao ni wanaccm sacha ujinga kabisa!
We mshenzi sana, Nsagali alishaacha hiyo biashara kafungua mgodi wa dhahabu ushirombo, simon group alivyonunua uda akaachana na biashara pasua kichwa ya pamba, kigwangala alifungua shule ya nursing alishaacha mambo ya pamba siku nyingi, yaani munaongelea mambo ya stimulus package ya akina GAKI ya kizamani mnoo, kishimba alihamia Zimbabwe, Mushi wa Kasamwa Ginery alihamia Sudan, leo Lissu ndio anakurupuka mshamba tu, kilasiku kusimanga biashara za watu mbona hazungumzii biashara za wachagga wanaomuweka mjini?
 
aliyewakopa wakulima pamba yao ni Ester Bulaya na wapambe wake uzuri wameshamstukia hapati tena ubunge na watendaji wake wa vijiji washatimuliwa, kiwanda gani kilichokufa?

kwa taarifa yako viwanda vyote vya mwanza vinafanyakazi chini ya JPM, anaongelea mambo ya kikwete. Halafu huyu jamaa kujadili biashara za watu akome, eti alipewa tenda mtoto wa dada yake, yaani kila kitu mtoto wa dada yake, hivi huyo dada yake jpm anawatoto wangapi kila mtu mtoto wa dada yake. Hata kipindi cha JK kila jengo jipya mjini la Rizwan. hawa jamaa sijui watoto wa Ibilisi? waongo kweli.
Kama hujui viwanda vilivyokufa Mwanza basi hujui kila kitu hata hayo ya mtoto wa dada huwezi kujua.
Unajua tenda za kujenga huo uwanja zilitangazwa wapi? Don't be cheap simamia haki na sheria.
Unaikua mikataba ya ununuzi wa ndege wewe watu hasa mtoto wa dada ndio wakala wamepiga pasu na mabeberu.
 
Hili jamaa limetuona hamnazo kabisa, yaani ananiambia nimepigika halafu ananiomba nimchangie saaasa kati yangu na yeye nani kapigika?
Wewe hakuna haja ya kutafuta uhamnazo wako maana uko wazi mno ww ni HAMNAZO.
 
Km hujui viwanda vilivyokufa Mwanza basi hujui kila kitu hata hayo ya mtoto wa dada huwezi kujua.......
Unajua tenda za kujenga huo uwanja zilitangazwa wapi? Don't be cheap simamia haki na sheria......
Unaikua mikataba ya ununuzi wa ndege wewe watu hasa mtoto wa dada ndio wakala wamepiga pasu na mabeberu..
Tangazo la tenda liliwekwa humu na member wa JF anaitwa barafu, google italiona mjinga wewe
 
aliyewakopa wakulima pamba yao ni Ester Bulaya na wapambe wake uzuri wameshamstukia hapati tena ubunge na watendaji wake wa vijiji washatimuliwa, kiwanda gani kilichokufa?

kwa taarifa yako viwanda vyote vya mwanza vinafanyakazi chini ya JPM, anaongelea mambo ya kikwete. Halafu huyu jamaa kujadili biashara za watu akome, eti alipewa tenda mtoto wa dada yake, yaani kila kitu mtoto wa dada yake, hivi huyo dada yake jpm anawatoto wangapi kila mtu mtoto wa dada yake. Hata kipindi cha JK kila jengo jipya mjini la Rizwan. hawa jamaa sijui watoto wa Ibilisi? waongo kweli.
Chama cha mbogamboga,wanachama pamoja na wewe ni mababa na mamama ya uongo.
Prof.Muhongo na Prof.Baregu enzi zao darasani
2020_09_02_12.11.20.jpg
2020_09_02_12.11.38.jpg
 
Muwe mnatembelea na wakulima muache uongo wa kwenye keyboard hujui kitu uwe unadanganya wasiojuwa ukweli kuhusu kilimo cha pamba kilivyouliwa na awamu hii ya tano wakulima wamekata tamaa ata ya kulima pamba kwa kucheleweshewa kulipwa fedha zao
 
Wacha upumbavu wako mwamba! Unaijua ginnery ya Nsagali wewe? Inanunua makalio ya shangazi yako? Unamfahamu Simon Kisenha na ginnery zake pale Maswa na Malampaka? Vipi kuhusu Kigwangala? Wote hao ni wanaccm sacha ujinga kabisa!
Mkuu,hawa misukule ni kuiacha kama ilivyo. Hao ni mashetani,hayataki Watanzania wapate mtetezi wa kweli atakayehakikisha kila jasho lao linalotoka miilini mwao,linawanufaisha.
 
eddy Je Misungwi Ester bulaya alikuwa mbuge wetu maana mimi niko kijiji cha mapilinga tulikopwa pamba ata msimu huu walipotaka kutukopa tumegoma kuuza pamba yetu kwa kukopwa na kushushwa bei kutoka 1100 mpaka 810 kwa msimu huu
 
eddy Je Misungwi Ester bulaya alikuwa mbuge wetu maana mimi niko kijiji cha mapilinga tulikopwa pamba ata msimu huu walipotaka kutukopa tumegoma kuuza pamba yetu kwa kukopwa na kushushwa bei kutoka 1100 mpaka 810 kwa msimu huu
Si panna mnayo uzeni cash, kwani uongozi wa Kijiji chenu Ni wa chama gani?
 
aliyewakopa wakulima pamba yao ni Ester Bulaya na wapambe wake uzuri wameshamstukia hapati tena ubunge na watendaji wake wa vijiji washatimuliwa, kiwanda gani kilichokufa?

kwa taarifa yako viwanda vyote vya mwanza vinafanyakazi chini ya JPM, anaongelea mambo ya kikwete. Halafu huyu jamaa kujadili biashara za watu akome, eti alipewa tenda mtoto wa dada yake, yaani kila kitu mtoto wa dada yake, hivi huyo dada yake jpm anawatoto wangapi kila mtu mtoto wa dada yake. Hata kipindi cha JK kila jengo jipya mjini la Rizwan. hawa jamaa sijui watoto wa Ibilisi? waongo kweli.
Ukitaka kuwakomesha watolee mkataba wa zabuni. Pia registration kuonyesha kama Mkandarasi sio mtoto wa dada.
 
Muwe mnatembelea na wakulima muache uongo wa kwenye keyboard hujui kitu uwe unadanganya wasiojuwa ukweli kuhusu kilimo cha pamba kilivyouliwa na awamu hii ya tano wakulima wamekata tamaa ata ya kulima pamba kwa kucheleweshewa kulipwa fedha zao
Mwaka juzi walikopwa, mwaka huu wamecheleweshewa tu Ila waliuza cash, changamoto ilijitokeza baada ya wanunuzi kudai hawanaga hela huwa wanakopa bank, bank nao wakasema Hawa wachuuzi huweka shamans pamba hivyo bila pamba bank hawatoi pesa ndio serikali ikaweka gvt guarantee pesa ukatoka musimu ujao utaratibu uko vizuri kabisa
 
Mwaka juzi walikopwa, mwaka huu wamecheleweshewa tu Ila waliuza cash, changamoto ilijitokeza baada ya wanunuzi kudai hawanaga hela huwa wanakopa bank, bank nao wakasema Hawa wachuuzi huweka shamans pamba hivyo bila pamba bank hawatoi pesa ndio serikali ikaweka gvt guarantee pesa ukatoka musimu ujao utaratibu uko vizuri kabisa
Ahsante sasa kwa kuanza kuwa mkweli ungesema toka mwanzo hivyo nisingekubishia maana niko karibu na wakulima wa pamba najuwa kila kitu kuhusu pamba
 
Back
Top Bottom