Madeni yanayozungumziwa ni yale wenyeviti wa vijiji walioko jela kwa wizi wa pesa, wakulima lazima wapate pesa yao na hao majizi kutoka chadema nao wapate haki zao, hizi fedha ziliwekewa bima hivyo kuna utaratibu wa kupeleka madai ili kampuni ya bima iweze kulipaKatibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Bw. Gerald Kusaya amesema Serikali itahakikisha madeni yote ya Vyama vya Msingi vya ushirika, wakulima, ushuru wa Halmashauri na Vyama Vikuu vya Ushirika kwa zao la pamba ambayo bado hayajalipwa yanalipwa kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa mwaka 2020.
Kusaya ameyasema hayo Aprili 29, 2020 katika kikao alichofanya na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Mwanza na wanunuzi wa pamba ambacho kimefanyika Mjini Geita wakati akiwa katika ziara ya siku moja mkoani Mwanza.
Umekamatwa vibaya baada ya kuleta upotoshaji kwenye uzi wako huu. Watu wa Kanda ya ziwa wanakupa madini ya ufedhuli mnaoufanya. Baada ya kuabika naona unaanza kuhamisha magoli.Hiyo Ni mwaka huu, mwaka Jana vijiji vingi vilikuwa chini ya Hawa washenzi chadema
Sio fedha tu amchangie hata kuramchangie tu mkuu, huenda atashinda na tutakula bata.
NCU ni mwanza na KNCU ni kilimanjaro ni vyama viwili tofautiHivi ni NCU au KNCU
We mwamba nakwambia wewe ni mpumbavu! Unafikri hao wote unaowataja wamefunga ginnery zao? GAKI yupo anaendelea na pamba, tena umenikumbusha wengine nilikuwa nimewasahau.We mshenzi sana, Nsagali alishaacha hiyo biashara kafungua mgodi wa dhahabu ushirombo, simon group alivyonunua uda akaachana na biashara pasua kichwa ya pamba, kigwangala alifungua shule ya nursing alishaacha mambo ya pamba siku nyingi, yaani munaongelea mambo ya stimulus package ya akina GAKI ya kizamani mnoo, kishimba alihamia Zimbabwe, Mushi wa Kasamwa Ginery alihamia Sudan, leo Lissu ndio anakurupuka mshamba tu, kilasiku kusimanga biashara za watu mbona hazungumzii biashara za wachagga wanaomuweka mjini?