Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.