Nafikiri hayo mashaka yako juu uwepo wa Lissu Chadema na hisia kuwa anaweza kusajili chama chake ameyatolea maelezo ya kutosha kabisa.Lissu yupo sana Chadema na uwezekano wa yeye kwenda CCM hilo ni jambo gumu kwake.Lissu ndiye mgombea wa Chadema nafasi ya Urais 2025 na ni Makamu Mwenyekiti Taifa ajaye.Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa cdm kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya cdm.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa cdm ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
Mtajijua wenyewe huko!Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
View attachment 3080239
Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
View attachment 3080239
Kiherehere gani sasa kimekuleta hapa?Mtajijua wenyewe huko!
Mwenyekiti tena? Anazungumzia pesa chafu na sio Mwenyekiti, tubakie kwenye mada kuu!Anachokisema Tundu Lisu huku ukizingatia yuko nafasi 3 za juu, huo ni ushahidi kuwa mwenyekiti wa cdm ni tatizo. Ni muda sahihi wa mwenyekiti wa cdm kukaa pembeni na kuruhusu uongozi mwingine. Inaelekea kwenye vikao vya ndani mwenyekiti amegoma kutii mabadaliko huku akilazimisha business as usual. Mbowe atambue wakati ukuta.
Sijakosea nilichoandika boss. Tatizo la hizo fedha chafu ni mwenyekiti.Mwenyekiti tena? Anazungumzia pesa chafu na sio Mwenyekiti, tubakie kwenye mada kuu!
chama kina madeni makubwa kupindukia, na mkopeshaji mkuu ni muandamizi chamani, na chama kinaendeshwa kwa mkopo, kwahivyo ni Lazima awe na hofu 🐒Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
View attachment 3080239
Umesahau zile bilioni 3 karibu na uchaguzi na zilizozuiwa na UTAWALA wa awamu ya 5?!!Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
View attachment 3080239
[emoji1787][emoji1787]Anachokisema Tundu Lisu huku ukizingatia yuko nafasi 3 za juu, huo ni ushahidi kuwa mwenyekiti wa cdm ni tatizo. Ni muda sahihi wa mwenyekiti wa cdm kukaa pembeni na kuruhusu uongozi mwingine. Inaelekea kwenye vikao vya ndani mwenyekiti amegoma kutii mabadaliko huku akilazimisha business as usual. Mbowe atambue wakati ukuta.
Kumbe...chama kina madeni makubwa kupindukia, na mkopeshaji mkuu ni muandamizi chamani, na chama kinaendeshwa kwa mkopo, kwahivyo ni Lazima awe na hofu [emoji205]
ruzuku inaenda moja kwa moja kwenye akaunti ya mkopeshaji ingawa hata robo ya marejesho ya kila wakati haifikii 🐒Kumbe...
Mkuu unasema hiki chama kinaendeshwa kwa madeni...ni vipi kuhusu mgawanyo wao wa ruzuku ?!!!
Akili imeanza kurudi!Nimemsikikiza vizuri sana makamu mwenyekiti wa Chadema kwa makini sana kupitia kituo komoja cha habari jana.
Anasema anahofu kuwa fedha haramu zinaweza kuingizwa ndani ya Chadema.
Lissu ni makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye yupo ktk top 3 ya viongozi wakuu wa chama.
Inakuwaje awe na mashaka wakati na yeye ni mmoja wa waongoza chama?
Binafsi naanza kuwa na mashaka sana na uwepo wake ndani ya cdm na hizi comedy zinazoendelea Kati yake na Msigwa.
Ukweli huwa ni mchungu sana lkn Wana cdm wenzangu huyu Lissu ni suala la muda tu tutasikia amehamia CCM au ameanzisha chama chake.
Tuombe uzima ili tuyashuhudie yajayo.
View attachment 3080239
Nakubaliana na mawazo yako mkuu kumbuka hata mimi kama mwana chadema tena hai ninapata mashaka makubwa mzeeNafikiri hayo mashaka yako juu uwepo wa Lissu Chadema na hisia kuwa anaweza kusajili chama chake ameyatolea maelezo ya kutosha kabisa.Lissu yupo sana Chadema na uwezekano wa yeye kwenda CCM hilo ni jambo gumu kwake.Lissu ndiye mgombea wa Chadema nafasi ya Urais 2025 na ni Makamu Mwenyekiti Taifa ajaye.
Kwani ilikwenda wapi???Akili imeanza kurudi!
Nasikia China wanadai madeni kibao pale lumumba na kawaida ya mchina ukishindwa kulipa anachukua mali zakoruzuku inaenda moja kwa moja kwenye akaunti ya mkopeshaji ingawa hata robo ya marejesho ya kila wakati haifikii 🐒
hali ni mbaya sana