Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ohooooooo !!!Kiza kinene; Majaliwa tayari keshaunguza picha huko
Mungu amejibu maombi yenu hata kabla hamjaombaTunachochea maombi ccm wapoteane
Mungu amejibu maombi yenu hata kabla hamjaomba
Wizi wa kura ukifuatwa na mauaji, kufungwa, kuteswa, na ukatili wote unaoweza kuuwaza kutoka polisi, jeshi, mahakama, BUNGE, tume ya uchaguzi, magereza, mgambo, CCM weyewe maana ni wauaji, THINK OF ANY ATROCITIES THAT CAN BE DONE AGAINST CHADEMA , AND THEN YOU WILL BE RIGHTView attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Lissu ni ShujaaWizi wa kura ukifuatwa na mauaji, kufungwa, kuteswa, na ukatili wote unaoweza kuuwaza kutoka polisi, jeshi, mahakama, BUNGE, tume ya uchaguzi, magereza, mgambo, CCM weyewe maana ni wauaji, THINK OF ANY ATROCITIES THAT CAN BE DONE AGAINST CHADEMA , AND THEN YOU WILL BE RIGHT
Dark daysView attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Amina CCM WAKO TIYARI KWA LOLOTE ILA SI KUACHIA MADARAKAMungu amejibu maombi yenu hata kabla hamjaomba
Kumbe Uchaguzi mtashiriki? Nawakumbusha tuu Lisu kwao ni Ubelgiji.View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Lengo liwe ni moja tu, kuiangusha CCM, hayo mengineyo hayana umuhimu wowote kwa sasa.View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Siyo CCM hawa; usiwape 'credit' isiyo wastahili.Wizi wa kura ukifuatwa na mauaji, kufungwa, kuteswa, na ukatili wote unaoweza kuuwaza kutoka polisi, jeshi, mahakama, BUNGE, tume ya uchaguzi, magereza, mgambo, CCM weyewe maana ni wauaji, THINK OF ANY ATROCITIES THAT CAN BE DONE AGAINST CHADEMA , AND THEN YOU WILL BE RIGHT
Chama kina miaka 21!Ukimya wa Chadema haujawahi kuwa wa kibwege