Lissu: Huko mbele ni kugumu, lakini ni lazima twende

Lissu: Huko mbele ni kugumu, lakini ni lazima twende

Lengo liwe ni moja tu, kuiangusha CCM, hayo mengineyo hayana umuhimu wowote kwa sasa.

Dalili ni nzuri sana, hilo pekee ndilo liwe kichocheo cha kusonga mbele bila kujali "ugumu wala kukenuliana meno.
Uiangushe CCM bila kuwa na chama kingine chadema chini ya Mbowe haiwezi labda ikibadilisha mwenyekiti lakini siyo huyu
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Kugumu kwasababu Kuna Uchaguzi Mkuu na Chadema HAWATARAJII kupata kiti chochote cha ubunge. Ni hilo tu alilomaanisha.
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?

Hivi species kama Lissu Zilisoma vipi ILBORU? Yaani toka apigwe risasi amerudi kachanganyika na kuwa mtu wa hovyo. Aende hospital pengine zile risasi ziliaffect CNS.
 
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
eti wapi pagumu 🤣

sanaa imepata mahali yake kwa mwigizaji mkuu
 

Attachments

  • IMG_20210926_154439.jpg
    IMG_20210926_154439.jpg
    45.6 KB · Views: 1
View attachment 2832540

Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .

Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Ugumu ni kitendo cha CCM kuikwepa katiba mpya, upinzani ni lazima utumie nguvu zote kuilazimisha CCM nchi ipate katiba mpya, Tanzsnia ni yetu sote.
 
Back
Top Bottom