babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kwao Ubelgiji,au ni mkimbizi Belgium?Kumbe Uchaguzi mtashiriki? Nawakumbusha tuu Lisu kwao ni Ubelgiji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao Ubelgiji,au ni mkimbizi Belgium?Kumbe Uchaguzi mtashiriki? Nawakumbusha tuu Lisu kwao ni Ubelgiji.
Mkuu shida ipo hapo👏Huko mbele ataenda mwenyewe
KivipiLissu ni Shujaa
Halafu hakuna ofisiChama kina miaka 21!
Kuwa mfanyabiashara sio dhambiMbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Uiangushe CCM bila kuwa na chama kingine chadema chini ya Mbowe haiwezi labda ikibadilisha mwenyekiti lakini siyo huyuLengo liwe ni moja tu, kuiangusha CCM, hayo mengineyo hayana umuhimu wowote kwa sasa.
Dalili ni nzuri sana, hilo pekee ndilo liwe kichocheo cha kusonga mbele bila kujali "ugumu wala kukenuliana meno.
Wewe umezuiwa kufanya biashara?Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Ni utapeli wa kijinga snMaridhiano bila maandishi ni ujinga. Lazima kuwe na document inayosema mnalidhiana nini na mnatokaje mlipo, sasa ccm hawataki maandishi, wala committmeny ya aina yoyote, huo ni ulaghai.
Kugumu kwasababu Kuna Uchaguzi Mkuu na Chadema HAWATARAJII kupata kiti chochote cha ubunge. Ni hilo tu alilomaanisha.View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Nchi ya wakulima na wafanayakazi mangii wewe umeitoa wapi hiyoMbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
chimbo la wapiNasikia nini?[emoji2]
Koyu keza mbochi[emoji16]
Mano likwelikwe
Usiongee sana inatosha
eti wapi pagumu 🤣View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Ugumu ni kitendo cha CCM kuikwepa katiba mpya, upinzani ni lazima utumie nguvu zote kuilazimisha CCM nchi ipate katiba mpya, Tanzsnia ni yetu sote.View attachment 2832540
Akizungumza kwenye mkutano wake wa hadhara huko Tabata , Tundu Lissu amewaambia wananchi wa Tanzania na wanachama wa Chadema kwamba , Nanukuu , "HUKO MBELE NI KUGUMU SANA LAKINI NI LAZIMA TWENDE , TUSIKUBALI KUKENULIWA MENO WALA KUCHEKEWA , NI LAZIMA TUFIKE" mwisho wa kunukuu .
Lissu amezungumza lugha ngumu bila kufafanua , unadhani huko mbele nini kitatokea ?
Alianza kabla ya Chadema kuanza, lile kundi lako limeanza kufanya biashara baada ya kupata madaraka.Mbowe ni mfanyabiashara
Nawakumbusha tu
Kabla ya Chadema alikuwa anafanya Biashara gani Binafsi?Alianza kabla ya Chadema kuanza, lile kundi lako limeanza kufanya biashara baada ya kupata madaraka.