Pre GE2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

Pre GE2025 Lissu jitokeze ukanushe habari za Msigwa kugharamia Press ya kutangaza nia, vinginevyo umekwisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa kusoma trend ,nashawishika kuamnini ameratibiwa kuandaa press na mtu au watu wa upande ule
 
Kwamba press inahitaji shingapi ambazo Lissu hawezi kuwa nazo

Yaani kuwaambia waandishi wa habari njooni natangaza Nia ya kugombea nayo Lissu anahitaji pesa kutoka kwa msigwa?

Harusi yangu tu Mimi nilifanya mlimani city Mimi Nina pesa kuliko Lissu?

Yaani ukumbi wa million 10 unategemea Lissu akose milioni 10 ?

Pumbavu Sana watumwa wa mbowe nyie ndio kumbe mnakwamisha maendeleo ya hii nchi

CCM washawajua wanawachezea tu watakavyo
Chadema mnaparuana tu na kutoa mimavi

USSR
 
Wewe ni mjinga kumbe? Unawezaje kuniita mpumbavu au chawa wa Mbowe?
Kwa taarifa yako mtu mjinga ni kuwa mimi ni mtu ninaye Unga mkono mabadiliko ndani ya uongozi kidemokrasia hasa wakati huu.
Na sababu ya kumtaka ajibu uzushi huo ni kuwa sitaki Lissu wampoteze kwa sababu ya kufikiriwa kuwa ana uhusiano na Msigwa aliyekitukana Chama na akanyimwa kura pasipo ukweli wowote!
Sasa uchawa kwa Mbowe uko wapi hapo? Na pia Mbowe simpingi kwani kwa sasa ni mwenyekiti aliyechaguliwa na wana chadema hadi uchaguzi mwingine
Sasa Kama sio mjinga mbona unacheza mziki wa CCM

CCM wameleta iyo propaganda ili kudhoofisha harakati hata mtu ambaye Hana D mbili lazima ataelewa tu

Ndio maana nimekushangaa kuunganisha tukio la Dr Slaa na Lissu aisee umenishangaza Sana Chakaza

Kumbuka CCM wapo kazini kueneza propaganda na lazima watamtumia tu mtu wao Msigwa

Kama Lissu angelikuwa anataka pesa ya ccm kwani lazima apitie kwa Msigwa?

Si anaenda tu kwa Samia anamwambia nipe pesa nikutetee!!
 
Hili sio jambo kubwa mkuu, bali ni uzushi mkubwa. Yaani Msigwa angekuwa na hela ya kumpa Lisu aitishe press conference angebebeshwa mabango ya Samia kama bwege? Msigwa ana nogwa na Mbowe, akiona jambo lolote linalomkwaza Mbowe anadandia ili kujipunguzia stress. Cha muhimu ifahamike muda wa Mbowe kuwa mwenyekiti wa cdm, ni suala la kukubaliana na hitaji la wakati.
Well said, Msigwa anaweza kuwa kachomekea hili kwa faida zake kisiasa na kumkera Mbowe. Lakini ni baya kwa sisi tunaotaka mabadiliko ya kikatiba yaende vizuri kwani naamini zaidi ya nusu ya wapiga kura wako neutral hivyo wanasubiri sera zitakazo mwagwa sasa uzushi kama huu kuwa Msigwa kamsaidia kufanya lolote ndani ya chama utaharibu image yake kwa wale wasio na access na ukweli.
Kuna watu wanashindwa uchaguzi kwa sababu tuu uongo dhidi yao haukukanushwa.
 
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
Hakuna kitu Kama icho huo ni uzushi
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Jee ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
Lissu amewashika pabaya? atakanusha vingapi?
Yaaani mkiguswa tu uenyekiti mnapaniki, Ayatolla safari hii anang'ooka.
 
Well said, Msigwa anaweza kuwa kachomekea hili kwa faida zake kisiasa na kumkera Mbowe. Lakini ni baya kwa sisi tunaotaka mabadiliko ya kikatiba yaende vizuri kwani naamini zaidi ya nusu ya wapiga kura wako neutral hivyo wanasubiri sera zitakazo mwagwa sasa uzushi kama huu kuwa Msigwa kamsaidia kufanya lolote ndani ya chama utaharibu image yake kwa wale wasio na access na ukweli.
Kuna watu wanashindwa uchaguzi kwa sababu tuu uongo dhidi yao haukukanushwa.
Mkuu kila siku Mbowe tunaambiwa kalamba asali, lakini hukuwahi kumtaka ajitokeze kujibu hizo tuhuma. Hivyo ni vyema kutotaka kwa Lisu kujibu kila uzushi utakaoletwa kwenye mitandao.
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Jee ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!
jambo la kwanza,
hoja za msigwa dhidi ya Chadema ni za msingi sana, chama kinapaswa kumjibu.

jambo la pili,
Msigwa akabiliwe kisiasa. Full stop.

jambo la mwisho ila sio kwa umuhimu, siasa ni sayansi ya mipango na sio makelele na mdomo

msigwa ni mtengeneza mapito tu ya ukombozi 🐒
 
jambo la kwanza,
hoja za msigwa dhidi ya Chadema ni za msingi sana, chama kinapaswa kumjibu.

jambo la pili,
Msigwa akabiliwe kisiasa. Full stop.

jambo la mwisho ila sio kwa umuhimu, siasa ni sayansi ya mipango na sio makelele na mdomo

msigwa ni mtengeneza mapito tu ya ukombozi 🐒
Hoja hapa Lissu ajibu pesa za press kazipata wapi?? kama kachamgiwa na wanachama aonyeshe uthibitisho maana yeye ni mwanasheria, tunaanzia hapo kwanza.
 
Kajinga kalikoandika hii post.
Better tundu Lisu kuliko Mbowe,
Kwa akili safi kikanuni, Kisheria na maadili, Tundu lisu angekuwa Mwenyekiti wa chama enzi za 2015, Marehemu Lowassa asingepeperusha bendera ya chama aishie kukifukia kabisa,
Badala yake Dr. Slaa angekipeperusha kikakae mawinguni.
Tundu Lissu ni wazi ndio mwenyekiti ajaye.
 
Kwa kweli CHADEMA tuachane na siasa chafu, Tusifanye kugombea uenyekiti ni jambo kubwa sana kiasi kwamba tuanze kuokoteza maneno ya kumchafua mtu. Msigwa ana pesa gani ya kuandaa ukumbi kwa ajili ya Lissu?.
 
Hoja hapa Lissu ajibu pesa za press kazipata wapi?? kama kachamgiwa na wanachama aonyeshe uthibitisho maana yeye ni mwanasheria, tunaanzia hapo kwanza.
Masuala ya pesa za chadema anaehusika ni mtu moja tu.

Masuala mengini binafsi, kwa mfano hili la press conference ya lisu ya kutangaza azma yake ya kugombea uenyekiti wa chadema Taifa,

aliulizwa swali na muandishi wa habari juu ya wapi amapata fedha ya kuwaita wanachana wengi namna ile waliohudhuria ile ile press conference na pia alipata wapi fedha za kuwalipa media houses.

And,
the gentleman was very clear, kwamba waliohudhuria ile press conference, marafiki zake na wadau wengine wa siasa huenda ni pamoja na huyo msigwa ndiyo waliofikisha jambo hilo.

Ubaya ubwela uko wapi hapo gentleman, makosa yake ni nini ikiwa hata gari ya zaidi ya milioni mia moja alichangiwa na wadau na marafiki zake wa kisiasa, wa nje na ndani ya chadema?

hata CCM walimchangia, ile haikua mbaya, hii ndiyo mbaya? au gubu tu gentleman?🐒
 
Hoja hapa Lissu ajibu pesa za press kazipata wapi?? kama kachamgiwa na wanachama aonyeshe uthibitisho maana yeye ni mwanasheria, tunaanzia hapo kwanza.

Acheni kimdhalirisha Lissu kana kwamba hawezi kuwa na pesa ya kulipia ukumbi. Akianza kampeni ya kutembelea mikoano mtaanza kuulizia ametoa wapi pesa za nauli.
 
Hakuna kitu Kama icho huo ni uzushi
Mkuu sijui mimi na wewe tunatofautiana wapi! Hata mie nasema ni uzushi na sio wa kuuacha usambae kisha uwe na nguvu ya kumkosesha Lissu uungwaji mkono.
Tafadhali sana sikilizeni mahojiano haya ya Yerricko Nyerere na Radio moja mtajua kwa nini nina hofu na kuacha hili kujibiwa! Kumbuka huyo ni mjumbe wa mkutano mkuu, jee wajumbe wangapi watakuwa wanaamini hivyo?
Sikiliza mpaka mwisho uelewe hofu yangu please!
 

Attachments

  • All_Video_Downloader_yerickonyerere_AQNU_GZUqGScsIzDt04FH_R4_UnRQqLDD2HpJ0Fk1hUkMVm-qqdz8eCujt...mp4
    27.2 MB
Ni ajabu sana watu niliokuwa nawaamini kukuta jambo kubwa kama hili mnalichukulia kwa udogo!
Kulipiwa, kuratibiwa na mipango mingine sio kuwa hawezi kuifanya mwenyewe Lissu, lakini why ajihusishe Msigwa? Hivi mkuu adui wa chama chako anakulipia hata mafuta ya gari kwa safari yako ya kichama laki tuu utasema ni sawa? Kwani hukuwa na laki ya mafuta? Kwa nini afanye hivyo na kwa nia gani?
Lissu kalipiwa kwa michango ya watu mbalimbali. Unajua kitu kinachoitwa Sauti ya watanzania? Nenda ClubHouse kama una simu. Fedha zote zilichangwa pale.
 
Mimi ni mmoja wa watu tusio amini kwenye uzushi wa mitandaoni. Lakini kwa hili nililosikia naona linahitaji ulitolee ufafanuzi wewe mwenyewe maana linaenda kukupoteza mazima katika siasa hadi ubaki nawe unatembezwa mitaani ukiwa unabeba picha za mwenyekiti wa CCM kama huyo Msigwa.

Je, ni kweli uliandaliwa ukumbi wa Mlimani city na Peter Msigwa na kulipiwa gharama zote?

Bado hatujasahau Dr Slaa alivyolipiwa gharama za hotel kufanya press yake na dola au Lipumba alivyo gharamiwa kuvuruga CUF kisha kupelekwa Rwanda kula Bata.

Hao wote mwisho wa heshima zao tumeuona ni back to Sq zero.

Nakuamini sana mimi na wanachadema wenzangu, lakini maneno haya yajibiwe yasije kupoteza imani yetu kwako.

Unao uhuru wa kufanya lolote kisiasa, lakini huna uhuru wa kutulazimisha kukuunga mkono chochote utakacho kufanya.

PEOPLES POWER!

Yaani kutangaza nia nako mpaka walipie. Msigwa kawa Don siku hizi kumbe.
 
Sielewi kwanini watu wanamsakama Lissu, kwani katiba ya CHADEMA hairuhusu mtu kugombea uenyekiti? Kwanini kila mtu mwenye jina akijitokeza kugombea uenyekiti CHADEMA inaonekana ni kosa? Ilikuwa hivi hivi kwa Marehemu Chacha Wangwe, ikaja kwa Zitto na sasa Lissu anakuwa mbaya. Hiki chama kipo serious kweli kinataka kuongoza watanzania?
 
Back
Top Bottom