Lissu kama una lengo la kweli la kushinda Urais 2025, basi njia hii hapa...

Mkuu unaposema kuwa Lisu ndio mpinzani wa kweli kwenye hii nchi unamaanisha nini? Ebu tuangalie kati ya maneno yako na ya kwake mwenyewe. I mean kabla na baada ya ujio wa Lowasa Chadema ili tujirizishe kama kweli Lisu ni mkweli au ndo wale wale wanaopambania matumbo yao.





 
Jitu linawapanga wakurugenzi halafu linawapiga biti olewako umtangaze mpinzani kashinda uone utakavyonyolewa nywele za sehemu zote za mwili kwa msumeno halafu useme kuna uchaguzi hapo

Kuweni serious kidogo , upinzani tz ulipitia kipindi kigumu sn chini ya nduli
 
😂😂😂 Mm sio mwanaccm wala sina chama na sio watu wote wanaoipinga chadema au chama flan bc ni wanachama wa chama flani. Mm naona ni sawa viongozi wakifanya ujinga washitakiwe
 
Hz zote propaganda za mtoa post point hapa kinachotakiwa ni tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya huo ndo mwisho wa ccm
 
Hz zote propaganda za mtoa post point hapa kinachotakiwa ni tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya huo ndo mwisho wa ccm
Mbowe, Zito, Lisu na wabunge wengine zaidi ya 100 wa upinzani washawahi kushinda ubunge kwa zaidi ya miaka 10 kupitia tume hiyo hiyo mnayojaribu kuikataa. Hii inashangaza sana aisee!
 

Watanzania gani mkuu
 
1. kesi zinazomsubiri mahakamani ata-deal nazo vipi?

2. jamaa waliotaka kumuua atajilinda vipi wasimdhuru tena?
Kwa hiyo kama Lissu anaogopa hayo awezi kuwa Rais wa Tanzania
 
Mr Dudumizi ,

..kwenye suala la vikwazo umemtupia TL lawama asizostahili.

..kama nchi hii itawekewa vikwazo basi itakuwa ni kwasababu ya udhalimu na ukatili wa serikali ya CCM.

..nakumbuka 2016 tulifutiwa misaada ya mpango wa Millenium Challenge ya Marekani kwasababu serikali ya CCM iliharibu uchaguzi wa Znz.

..msaada huo ulifutwa bila kiongozi au mwanaharakati yeyote wa upinzani kuwaomba Wamarekani wachukue hatua hizo.

..Siyo kweli kwamba nchi wahisani zinasubiri wapinzani wakaishtakie CCM na serikali zake ili Tz iwekee vikwazo.

..Pia, ukali wa vikwazo na muda wake utategemea na mienendo ya serikali ya CCM na siyo mashinikizo ya wapinzani kwa wahisani.

..Zaidi, vipo vikwazo maalum / "TARGETED SANCTIONS" ambavyo huelekezwa kwa watu au taasisi maalum serikalini ili kupunguza uwezekano wa wananchi wa kawaida kuathirika na vikwazo.
 
tz hakuna chama Cha upinzani wa dhati. Ila Kuna vyama vya wasakatonge.
 
Chadema mlisema nchi inatakiwa impate dikteta ili isonge mbele, akaja Magufuli mkasema amezidi [emoji23][emoji23][emoji23] Bila shaka huyu mama ndio size yenu
Kwahiyo kuuwa, kupiga risasi watu,kuwapa watu kesi zisizozakweli ndio uongozi bora?

Kwani magufuli nchi ameifikisha waapi kimaendeleo?

Mlimpangia miaka mingi ya uongozi lakini Mungu akawapangulia na leo hii ameshaoza.
 
Ataomba ulinzi serikalini, na serikali itamlinda bila wasi wasi. Kuhusu ishu ya case hayo ni mambo ya mahakama, kama kesi inayomkabili haina ushahidi basi atashinda tu wala haina haja ya kuukwepa mkono wa sheria.
Ulinzi ameomba kabla ya shambulio lá kutakakumuua na baada na serikali hakuna walichpfanya kiifupi nikwamba ccm na serikali yake ndio waliotakakumuua ndio maaana hakuna chochote kilichofanya na serikali baada ya tukio hilo.
 
CCM inaweza kushindwa hata na mgombea huru/binafsi kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…