Lissu kama una lengo la kweli la kushinda Urais 2025, basi njia hii hapa...


UTAKUWA NA MATATIZO YA AKILI, KAMA UNATAKA AU KUWAZA LISSU AJE KUWA RAIS TANZANIA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1
 
..hawakumaanisha "dikteta" anayedhulumu wapinzani.

..walimaanisha kiongozi mkali atakayewadhibiti wazembe na wabadhirifu waliokuwa serikalini.

..kwa bahati mbaya alipatikana dikteta mbadhirifu wa fedha za umma, na mkatili kwa vyama vya upinzani.
MPAKA UNAKUFA UTAKUWA UPANDE WA LOOSERS TU, KULAUMU TU, MPAKA UPATE KANSA YA VIDOLE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…