Pre GE2025 Lissu kugombea urais 2025 ni kutwanga maji kwenye kinu na kuwanyima haki Watanzania wapenda mabadiliko

Pre GE2025 Lissu kugombea urais 2025 ni kutwanga maji kwenye kinu na kuwanyima haki Watanzania wapenda mabadiliko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
 
Nadhani alipata ulemavu na sidhani kama mlemavu ataweza majukumu ya rais kama kukagua magwaride etc

Bora agombee yule DJ zero brain aliepigwa na kuanguka kwa ulevi kule Dom akiwa na mchepuko Joyce akasingizia majambawazi!!
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenhe mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.


Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisaiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi
Kamanda Ushachoka
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenhe mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.


Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisaiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi
Gombea wewe basi ulete mabadiliko.
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Kwa nini na wewe usigombee? Kwani umenyimwa?
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Anawanyimaje haki? Kwani unalazimishwa kumchagua?
 
Ni kweli kabisa, hatuwezi kuwapa CDM nchi waifanyie majaribio
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Kuna kitu kinaitwa "conscience" au kiswahili tuite "utashi"; hili nilisoma muda mrefu sana nilipokuwa mdogo, lakini hadi leo nakumbuka. Kwenye katekisimu ya mafunzo ya kikatoliki lazima ufunzwe hii. Catechism. Mnyama na binadamu au Mbwa na binadamu wanatofautiana nini? Sikujua kabisa mie nilifikiri ati Mbwa hana akili binadamu anazo. Sister yule aliuliza tukashindwa wote mwishowe akatoa jibu. Akasema "Conscience", akamaliza kwa kutafsiri kuwa ni utashi. Binadamu anajua anavyofanya kosa, mbwa hajui kosa. Simba au mnyama yoyote yule.

Kusema uongo au kufanya propaganda kuna wakati fulani hata moyo unakuuma, moyo unakusuta kudanganya, lakini wewe hadi unaandika fikiria ulivyoumiza moyo wako kwa kukusuta. Huna utashi, wewe ni kama mnyama kama hujisuti kuandika maneno kama hayo. Na hapa JF ni wengi mno.
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Sasa huyu lisu kusema yeye ndie mgombea uraisi mwaka kesho. Kwani kwenye chadema wamesha fanya mchakato wa kumpata mgombe uraisi kwa chama chao? Na kama ni ndio, jeee kwenye chama chake alichuana na nani mpaka ataibuka kidedea na kuwa mgombea wa uraisi kwa tiketi ya chadema?
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Kama hajafanya hivyo atapataje pesa za wafadhli?

Hivi bado hamjastuka tu kuwa hizo ndiyo biashara zao?

Kina Lissu wanajuwa Tanzania ni Republic, siyo demokrasia, kwa hiyo wanafahamu kabisa kuwa Rais anajulikana ni nani, iliyobaki kwanini wasile pesa?
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Unachekesha dogo Sasa unamlaumu lisu badala ya walioleta hayo matatizo

Dogo nenda kapiime afya ya akili yako
 
Toa mapendekezo kwa mtazamo wako unadhani chadema wamsimamishe nani ambaye unadhani anahoja na mpambananaji wa kuwa rais?
 
Duuh!
Nadhani alipata ulemavu na sidhani kama mlemavu ataweza majukumu ya rais kama kukagua magwaride etc

Bora agombee yule DJ zero brain aliepigwa na kuanguka kwa ulevi kule Dom akiwa na mchepuko Joyce akasingizia majambawazi!!
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Mkuu kama na huyu una mponda hivyo, basi nawe unawalakini.
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Kwani wewe umekatazwa? Au hauko serious?

Nilijua humtaki tu Mbowe kule CHADEMA kumbe humtaki kila mtu CHADEMA.
 
Back
Top Bottom