Pre GE2025 Lissu kugombea urais 2025 ni kutwanga maji kwenye kinu na kuwanyima haki Watanzania wapenda mabadiliko

Pre GE2025 Lissu kugombea urais 2025 ni kutwanga maji kwenye kinu na kuwanyima haki Watanzania wapenda mabadiliko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Mnashiriki vipi uchaguzi bila Katiba Mpya yenye kuweka kanuni na taratibu za kuwapata wajumbe wa Tume ya Taifa Uchaguzi??
Au mnafikiri hiyo Tume aliyoiteua Rais ni Tume huru?
 
Nadhani alipata ulemavu na sidhani kama mlemavu ataweza majukumu ya rais kama kukagua magwaride etc

Bora agombee yule DJ zero brain aliepigwa na kuanguka kwa ulevi kule Dom akiwa na mchepuko Joyce akasingizia majambawazi!!
Comment zinanivunja mbavu😀😀😀😀😀😀
 
Mwaka 2020 alizurura na kundi kubwa na mlinzi mwenye mishale kama anaenda kuwinda swala. Hakuna cha maana alichokisema kwa Watanganyika zaidi ya kuwa na jazba ya kupigwa masasi

Tanganyika inahitaji mabadiliko sio drama za kisiasa. Ufisadi umetamalaki, upendeleo, na ubwela.

Taifa hili linahitaji mtu ambae yupo serious kuwakomboa Watanzania. Sio mtu wa drama za kisiasa. Kama Lissu akigombea basi tutakuwa tumebugi.
Wasi wasi wenu nini?
 
Back
Top Bottom