passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,828
- 3,922
Aiseee DSTv wanakera sana. Yaani chaneli imenadika video unavailable
Shida ipo wapi
Shida ipo wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo Ch. No. 389Aseee Dstv chaneli ya star Tv haionyeshi ni mimi kwangu tu au?
Shukrani mkuu nimeionaIpo Ch. No. 389
P
Technology haisahau.Wameshamchoka makonda kipindi kitaenda hewaniView attachment 2902010
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanaanza saa 3:30 baada ya Dira ya DuniaShukrani mkuu nimeiona
Bado kuna taarifa ya habari, mahojiano yanaanza sangapi mkuu pascal?
Nyundo ya mwakaWameshamchoka makonda kipindi kitaenda hewaniView attachment 2902010
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maongo haya
Kumetokea mabadiliko, leo wanapiga repeat ya last week's prog.Iwapo hakutakuwa na mabadiliko ya ratiba hiyo, ama maagizo toka juu, tunategemea Lissu awe mubashara kwenye kipindi hicho. Tunatarajia kusikia mengi toka kwake.
Tupatie na mrejesho mkuuKwa mujibu wa mtangazaji wa Star TV Aloyce Nyanda wiki iliyopita, usiku huu saa tatu na nusu kwenye kipindi anachokiendesha kiitwacho Agenda, atafanya mahojiono na Tundu Lissu.
Iwapo hakutakuwa na mabadiliko ya ratiba hiyo, ama maagizo toka juu, tunategemea Lissu awe mubashara kwenye kipindi hicho. Tunatarajia kusikia mengi toka kwake.