Lissu kuhojiwa na kituo cha Star Tv usiku wa leo Februari 12, 2024

Lissu kuhojiwa na kituo cha Star Tv usiku wa leo Februari 12, 2024

CCM ni genge la kigaidi linalotumia mabavu ya vyombo vya dola kuendelea kutawala
 
Sawa. Mwalike lakini usimhoji "maswali kutoka juu".
Mimi ni an independent freelance journalist, situmwi na mtu yoyote!. Hata hili swali
View: https://youtu.be/Ta0URHvUlko?si=EsNhlCaIFN9yyxoE kuna majinga fulani yalidhani nimetumwa na chama fulani cha upinzani, yakaanza kunishughulikia kwa kisingizio ni amri kutoka juu!, Huko juu nilipanda nikakuta hakuna amri yoyote kutoka juu!.

Lissu nitamhoji mimi mwenyewe tuu, ni saizi yangu kabisa!, kwanza ni bwana mdogo wangu school mate sekondari, kisha ni mwanasheria mwenzangu, hivyo nammudu sana tuu!.

P.
 
Mkuu Tipau, tpaul, sio nimepata kipindi kwao kwasababu ya ukada, kipindi ni changu na nalipia airtime. Fungu likishiba pia kitaruka ITV, TBC na Azam TV.
P
Sawa mkuu. Bila shaka wewe utakuwa unanufaika kupitia matangazo (probably). Au umepata wafadhili mkuu? Hebu kwanza tuelewane vizuri. Unalipiaje kipindi ambacho hakikulipi?

Wamiliki wa TV (CCM) walipaswa wakulipe wewe kwa kuwaongezea thamani kwa walaji (viewers) na pia kuwaongezea thamani ya matangazo. Au mmemalizana kikada?
 
Sawa mkuu. Bila shaka wewe utakuwa unanufaika kupitia matangazo (probably). Au umepata wafadhili mkuu? Hebu kwanza tuelewane vizuri. Unalipiaje kipindi ambacho hakikulipi?

Wamiliki wa TV (CCM) walipaswa wakulipe wewe kwa kuwaongezea thamani kwa walaji (viewers) na pia kuwaongezea thamani ya matangazo. Au mmemalizana kikada?
It's true, kwa nchi za wenzetu, TV TV Station zao wanalipa vizuri sana for talents, hata DSTV pia wanalipia talents, lakini kwa TV zetu, wewe unaepeleka kipindi ndio unawalipa TV station kulipia airtime.

Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, nina shughuli nyingine ya kuendesha maisha yangu, huu uandishi wa habari na utangazaji, najitolea tuu just for the love of it.

Karibu mitaa hii Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV
P
 
Kwa mujibu wa mtangazaji wa Star TV Aloyce Nyanda wiki iliyopita, usiku huu saa tatu na nusu kwenye kipindi anachokiendesha kiitwacho Agenda, atafanya mahojiono na Tundu Lissu.

Iwapo hakutakuwa na mabadiliko ya ratiba hiyo, ama maagizo toka juu, tunategemea Lissu awe mubashara kwenye kipindi hicho. Tunatarajia kusikia mengi toka kwake.
Mi nawapongeza hawa vijana wawili wanaoendesha kipindi cha The Big Agenda
Wamejipambanua kama wanahabari makini👏🏽
 
It's true, kwa nchi za wenzetu, TV TV Station zao wanalipa vizuri sana for talents, hata DSTV pia wanalipia talents, lakini kwa TV zetu, wewe unaepeleka kipindi ndio unawalipa TV station kulipia airtime.

Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, nina shughuli nyingine ya kuendesha maisha yangu, huu uandishi wa habari na utangazaji, najitolea tuu just for the love of it.

Karibu mitaa hii Je, Una Kipaji cha Utangazaji? Jinsi ya Kujiajiri Utayarishaji na Utangazaji Vipindi Vyako vya TV
P
Mkuu sasa wewe unajitolea fedha na muda just for the love of the profession? Hii ngumu kumeza aisee. There must be some earnings you are getting now or expecting to get in future. Sijawahi kusikia aina ya kujitolea kama hii ya kwako.
 
Mkuu sasa wewe unajitolea fedha na muda just for the love of the profession? Hii ngumu kumeza aisee. There must be some earnings you are getting now or expecting to get in future. Sijawahi kusikia aina ya kujitolea kama hii ya kwako.
Mimi ni philanthropist, nimesema na narudia tena na tena, ninayo shughuli ninayofanya kuendesha maisha yangu, uandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea na utangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, nafanya bure kwa mapenzi tuu, na kwa kuongezea mimi sio mtangazaji tuu au mwandishi wa habari tuu, bali mimi pia ni wakili wa kujitegemea nako nafanya bure!.
View: https://youtu.be/b67jqx0GWd8?si=6w9qs07ErGS2RIFX

Watu wema humu duniani, tupo, hata siku ukisikia na mimi nime... ujue nimekwenda straight...
P
 
Back
Top Bottom