Lissu kuhusu mustakabali wako CDM, jifunze Kwa JK kuliko kufuata ya Lowwassa.

Lissu kuhusu mustakabali wako CDM, jifunze Kwa JK kuliko kufuata ya Lowwassa.

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow!!

Kuna wajinga humu wanakudanganya kuwa Eti ikitokea umeshindwa uenyekiti Kwa namna yoyote Ile kwamba ukiondoka CHADEMA utasomba umati wa wanachama wengi na kukiua CHADEMA!

Hii Si Kweli, ni kujillisha upepo, wewe ni mtu mmoja, CHADEMA ni Taasisi.

Ni vyema ukajifunza Kwa Jakaya Kikwete aliyekataliwa akiwa ni maarufu na kijana kumzidi Benjamin Mkapa, angechukua uamuzi wa kuhama chama, asingefikia ndoto zake za kuwa Rais wa Nchi.

Kamwe usichukue mkondo wa Lowwassa ,aliaminishwa kuwa akihama, ataiua CCM, Hilo halikutokea, na hakuweza kuwa Rais, angevumilia, angekuwa Rais hata Kwa miaka miwili tu baada ya Magufuli.

Ushauri Kwa Lissu: Matokeo yoyote kutokana na mchakato wa uchaguzi yapokee, ukishinda hewalaaaa, ukishindwa Kaa tulia subiri wakati wako ufike.

Ushauri Kwa Mbowe: Bado una muda wa kujiondoa kwenye kinyanganyiro Ili ukabidhi chama kwa Heshima.

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni!!
 
Homa ya Uchaguzi inawachukua vibaya, mngesikia ushauri niliowapa Juin 2024 wa kusogezwa mbele uchaguzi wa mkt Hadi baada ya 2025, msingekuwa hapa.
 
Hellow!!

Kuna wajinga humu wanakudanganya kuwa Eti ikitokea umeshindwa uenyekiti Kwa namna yoyote Ile kwamba ukiondoka CHADEMA utasomba umati wa wanachama wengi na kukiua CHADEMA!

Hii Si Kweli, ni kujillisha upepo, wewe ni mtu mmoja, CHADEMA ni Taasisi.

Ni vyema ukajifunza Kwa Jakaya Kikwete aliyekataliwa akiwa ni maarufu na kijana kumzidi Benjamin Mkapa, angechukua uamuzi wa kuhama chama, asingefikia ndoto zake za kuwa Rais wa Nchi.

Kamwe usichukue mkondo wa Lowwassa ,aliaminishwa kuwa akihama, ataiua CCM, Hilo halikutokea, na hakuweza kuwa Rais, angevumilia, angekuwa Rais hata Kwa miaka miwili tu baada ya Magufuli.

Ushauri: Matokeo yoyote kutokana na mchakato wa uchaguzi yapokee, ukishinda hewalaaaa, ukishindwa Kaa tulia subiri wakati wako ufike.

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni!!
Yeye mwenyewe kasema hata akishindwa atabaki kuhusu kuondoka ni mawazo tu ya watu. Ila ukweli sidhani kama anaweza kuendelea kubaki
 
Yeye mwenyewe kasema hata akishindwa atabaki kuhusu kuondoka ni mawazo tu ya watu. Ila ukweli sidhani kama anaweza kuendelea kubaki
Aache kusikiza miluzi ya maadui, atapotea,

ACT ni sawa tu na CCM,

Abaki humo humo.
 
Aache kusikiza miluzi ya maadui, atapotea,

ACT ni sawa tu na CCM,

Abaki humo humo.
Akishindwa hawezi kubaki mkuu atakuwa amezungukwa na watu ambao hawamtaki. Ama akae pembeni kama Slaa tu maana ACT sioni kama akipata maisha mazuri ya kisiasa ACT na pia kwa harakati za Lissu Zitto sidhani kama atakubali maana anamzibia mirija toka kwa serikali.
 
Inapokuja kwa Mbowe kila siku mnataka watu wengine wawe kama JK. Kwa nini hamtaki Mbowe awe kama JK, katawala kwa miaka 10 kaondoka.

Hivyohivyo kipindi Zitto anataka kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, mlitaka Zitto awe kama JK.

Hadanganyiki mtu hapa, Lissu komaa, Mbowe hana jipya!
 
Inapokuja kwa Mbowe kila siku mnataka watu wengine wawe kama JK. Kwa nini hamtaki Mbowe awe kama JK, katawala kwa miaka 10 kaondoka.

Hivyohivyo kipindi Zitto anataka kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, mlitaka Zitto awe kama JK.

Hadanganyiki mtu hapa, Lissu komaa, Mbowe hana jipya!
Ndo nasemaje,

Nje ya CHADEMA, Lissu ni mtu wa kawaida, hawezi kufikia hata nusu ya umaarufu wa Mrema alipotoka CCM.

Nilichomshauri ndio uelekeo sahihi wa kufuata, ukizingatia Mimi Sina egemeo kwenye chama chochote Cha siasa.
 
Ndo nasemaje,

Nje ya CHADEMA, Lissu ni mtu wa kawaida, hawezi kufikia hata nusu ya umaarufu wa Mrema alipotoka CCM.

Nilichomshauri ndio uelekeo sahihi wa kufuata, ukizingatia Mimi Sina egemeo kwenye chama chochote Cha siasa.

Uzuri wa Lissu harakati anazofanya ni kwa ajili yetu sisi zaidi kuliko yeye binafsi. Akikosa fursa tunapoteza sisi zaidi kuliko yeye binafsi. Akina Mbowe wapo kwenye biashara ya diasa zaidi.
 
Hellow!!

Kuna wajinga humu wanakudanganya kuwa Eti ikitokea umeshindwa uenyekiti Kwa namna yoyote Ile kwamba ukiondoka CHADEMA utasomba umati wa wanachama wengi na kukiua CHADEMA!

Hii Si Kweli, ni kujillisha upepo, wewe ni mtu mmoja, CHADEMA ni Taasisi.

Ni vyema ukajifunza Kwa Jakaya Kikwete aliyekataliwa akiwa ni maarufu na kijana kumzidi Benjamin Mkapa, angechukua uamuzi wa kuhama chama, asingefikia ndoto zake za kuwa Rais wa Nchi.

Kamwe usichukue mkondo wa Lowwassa ,aliaminishwa kuwa akihama, ataiua CCM, Hilo halikutokea, na hakuweza kuwa Rais, angevumilia, angekuwa Rais hata Kwa miaka miwili tu baada ya Magufuli.

Ushauri: Matokeo yoyote kutokana na mchakato wa uchaguzi yapokee, ukishinda hewalaaaa, ukishindwa Kaa tulia subiri wakati wako ufike.

Mungu ibariki CHADEMA,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni!!
Atahama na wengine lakini siyo mimi
 
Akishindwa hawezi kubaki mkuu atakuwa amezungukwa na watu ambao hawamtaki. Ama akae pembeni kama Slaa tu maana ACT sioni kama akipata maisha mazuri ya kisiasa ACT na pia kwa harakati za Lissu Zitto sidhani kama atakubali maana anamzibia mirija toka kwa serikali.
Kubaki ndio uamuzi sahihi kufanya.

Kuondoka ni kurudi nyuma sana kisiasa Kwa mazingira ya sasa,

At least pangekuwwpo chama Cha upinzani wa Kweli kinachoendana na CHADEMA.

Na akirudi CCM hayupo atakayemfuata, hata kama Kweli alifanyiwa figisu,

Yu wapi Msigwa.

Lissu komaa humo humo, au ukistaafu chukua uelekeo wa Dr Slaa.
 
Inapokuja kwa Mbowe kila siku mnataka watu wengine wawe kama JK. Kwa nini hamtaki Mbowe awe kama JK, katawala kwa miaka 10 kaondoka.

Hivyohivyo kipindi Zitto anataka kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, mlitaka Zitto awe kama JK.

Hadanganyiki mtu hapa, Lissu komaa, Mbowe hana jipya!
Kumbuka pia, Rabbon sikubaliani na Mbowe kuendelea na uenyekiti CDM Kwakuwa amefail katika mengi,

Nazidi kumtegemea achukue uamuzi sahihi kujiondoa kwenye kinyanganyiro,

Lakini pia Lissu asijazwe upepo na kusikiza miluzi ya maadui akapotelea kusikijulikana kama Slaa, Mrema, Lipumba, Zitto, Lowwassa nk nk.
 
CHADEMA ilishakufa miaka 10 iliyopita na tukaizika limebakia jina tu.

Hakuna mtanzania yoyote mwenye akili timamu anayeifuatilia CHADEMA wala kujihusisha na CHADEMA. Wagonjwa wachache wa akili ambao dawa zao zimechelewa kufika hapa TANZANIA ndio wanaojihusisha na CHADEMA.

Upinzani wa kweli kwa hapa afrika mashariki upo KENYA tu hapa TANZANIA vyama vyote vya upinzani vimejaa mapandikizi ya CCM. Hata mbowe ni pandikizi la CCM.
 
CHADEMA ilishakufa miaka 10 iliyopita na tukaizika limebakia jina tu.

Hakuna mtanzania yoyote mwenye akili timamu anayeifuatilia CHADEMA wala kujihusisha na CHADEMA. Wagonjwa wachache wa akili ambao dawa zao zimechelewa kufika hapa TANZANIA ndio wanaojihusisha na CHADEMA.

Upinzani wa kweli kwa hapa afrika mashariki upo KENYA tu hapa TANZANIA vyama vyote vya upinzani vimejaa mapandikizi ya CCM. Hata mbowe ni pandikizi la CCM.
Way forward?
 
Inapokuja kwa Mbowe kila siku mnataka watu wengine wawe kama JK. Kwa nini hamtaki Mbowe awe kama JK, katawala kwa miaka 10 kaondoka.

Hivyohivyo kipindi Zitto anataka kugombea uenyekiti kumng'oa Mbowe, mlitaka Zitto awe kama JK.

Hadanganyiki mtu hapa, Lissu komaa, Mbowe hana jipya!
Kumbuka pia, Rabbon sikubaliani na Mbowe kuendelea na uenyekiti CDM Kwakuwa amefail katika mengi,

Nazidi kumtegemea achukue uamuzi sahihi kujiondoa kwenye kinyanganyiro,

Lakini pia Lissu asijazwe upepo na kusikiza miluzi ya maadui akapotelea kusikijulikana kama Slaa, Mrema, Lipumba, Zitto, Lowwassa nk nk
 
Ila kuna wepesi mkubwa sana wa baadhi ya watanzania kudanganywa kirahisi,na usahaulifu ni mtaji mkubwa wa chama kubwa,pengine kwa ajili ya lile likibatari linalozungushwa nchi nzima na hawajui maana yake.Wamesahau mambo ya bandari,mambo ya uchafuzi wa serikali na mitaa.Wanapambana na mtu ambaye amekuwa chanzo kudai mabadiliko ya kweli na haki tangu ujana wake.Wamesahau kuna madini yanatakiwa kuchimbwa kwenye Mbuga.Haijulikani hiyo rushwa ni sh ngapi alipoewa mwenyekiti wa chama kisicho na madaraka nchini.Ukitaka kula na mjinga mwache apambane na mifupa wewe kula nyama!!.Tujifunze kutafakari kabla jambo lolote
 
Ila kuna wepesi mkubwa sana wa baadhi ya watanzania kudanganywa kirahisi,na usahaulifu ni mtaji mkubwa wa chama kubwa,pengine kwa ajili ya lile likibatari linalozungushwa nchi nzima na hawajui maana yake.Wamesahau mambo ya bandari,mambo ya uchafuzi wa serikali na mitaa.Wanapambana na mtu ambaye amekuwa chanzo kudai mabadiliko ya kweli na haki tangu ujana wake.Wamesahau kuna madini yanatakiwa kuchimbwa kwenye Mbuga.Haijulikani hiyo rushwa ni sh ngapi alipoewa mwenyekiti wa chama kisicho na madaraka nchini.Ukitaka kula na mjinga mwache apambane na mifupa wewe kula nyama!!.Tujifunze kutafakari kabla jambo lolote
Hakuna anayedharau mchango , uzalendo wa Lissu Nchi hii,
 
Hakuna anayesharau mchango , uzalendo wa Lissu Nchi hii,
Ni kweli bila Mbowe Lisu angepata wapi chama cha kumpa ubunge na umaarufu,hao watu wakae chini watulie na washauriwe kushambulia sufuria iliyokupikia chakula ni makosa makubwa.
 
Back
Top Bottom