Hellow!!
Kuna wajinga humu wanakudanganya kuwa Eti ikitokea umeshindwa uenyekiti Kwa namna yoyote Ile kwamba ukiondoka CHADEMA utasomba umati wa wanachama wengi na kukiua CHADEMA!
Hii Si Kweli, ni kujillisha upepo, wewe ni mtu mmoja, CHADEMA ni Taasisi.
Ni vyema ukajifunza Kwa Jakaya Kikwete aliyekataliwa akiwa ni maarufu na kijana kumzidi Benjamin Mkapa, angechukua uamuzi wa kuhama chama, asingefikia ndoto zake za kuwa Rais wa Nchi.
Kamwe usichukue mkondo wa Lowwassa ,aliaminishwa kuwa akihama, ataiua CCM, Hilo halikutokea, na hakuweza kuwa Rais, angevumilia, angekuwa Rais hata Kwa miaka miwili tu baada ya Magufuli.
Ushauri Kwa Lissu: Matokeo yoyote kutokana na mchakato wa uchaguzi yapokee, ukishinda hewalaaaa, ukishindwa Kaa tulia subiri wakati wako ufike.
Ushauri Kwa Mbowe: Bado una muda wa kujiondoa kwenye kinyanganyiro Ili ukabidhi chama kwa Heshima.
Mungu ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni!!
Kuna wajinga humu wanakudanganya kuwa Eti ikitokea umeshindwa uenyekiti Kwa namna yoyote Ile kwamba ukiondoka CHADEMA utasomba umati wa wanachama wengi na kukiua CHADEMA!
Hii Si Kweli, ni kujillisha upepo, wewe ni mtu mmoja, CHADEMA ni Taasisi.
Ni vyema ukajifunza Kwa Jakaya Kikwete aliyekataliwa akiwa ni maarufu na kijana kumzidi Benjamin Mkapa, angechukua uamuzi wa kuhama chama, asingefikia ndoto zake za kuwa Rais wa Nchi.
Kamwe usichukue mkondo wa Lowwassa ,aliaminishwa kuwa akihama, ataiua CCM, Hilo halikutokea, na hakuweza kuwa Rais, angevumilia, angekuwa Rais hata Kwa miaka miwili tu baada ya Magufuli.
Ushauri Kwa Lissu: Matokeo yoyote kutokana na mchakato wa uchaguzi yapokee, ukishinda hewalaaaa, ukishindwa Kaa tulia subiri wakati wako ufike.
Ushauri Kwa Mbowe: Bado una muda wa kujiondoa kwenye kinyanganyiro Ili ukabidhi chama kwa Heshima.
Mungu ibariki CHADEMA,
Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿
Karibuni!!