Lissu kuhusu mustakabali wako CDM, jifunze Kwa JK kuliko kufuata ya Lowwassa.

Ni kweli bila Mbowe Lisu angepata wapi chama cha kumpa ubunge na umaarufu,hao watu wakae chini watulie na washauriwe kushambulia sufuria iliyokupikia chakula ni makosa makubwa.
Mbowe pia aliyafanya hayo chini ya mwamvuli imara uitwao CHADEMA.

Nje ya CHADEMA, Mbowe na Lissu ni watu WADOGO tena wanapita.

Muhimu chama kipite salama katika Uchaguzi huu.
 
Hakuna mahali Lissu amesema akishindwa atahama kwenda chama kingine.
Hata Msigwa alisema hivyo hivyo hatohama baada ya kukata rufaa,

Lissu pia ameanza Yale Yale kwamba Kuna viashiria vya kuibiwa kura.

Ndipo ushauri unaenda kwake, afumbue macho yote yawe wazi aone sawasawa.
 
Shida sio TAL kuhama au kubaki shida ni wananchi maana washaelewa michezo ya vyama vya upinzani nchini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…