Unless you want to quote me out of the context, I've appropriately used that word to suit my desired intention.You know nothing about RETRIBUTION, siku ukijua alichofanya mpaka akatwangwa risasi ndo utapata akili ya kuwa huyo jamaa sio shujaa kama mnavyodhani.Endeleeni kumpa kichwa mitandaoni.
.....Uhuru wa uchumi ndiyo kila kituJamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Wwe hujielewi kama makufuliAmini amini nakuambia, mwanaume anaye shindwa kumfikisha mkewe kilele cha raha anaiweka ndoa matatizoni, lakini mwanamke anaye amua kutangaza udhaifu huu mtaani anaua ndoa asubuhi SAA tatu.
Tundu Lissu ni aibu ya taifa hili.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
Kwa akili hiz hamuwezi kuiongoza Tanzania tunayoitaka ya mafanikio kwa kila sekta.
Rejea post # 6
Sisi huku wasiojulikana, wasiokamatika, wanatumia AK47 kushambulia wapinzani wao wa kisiasa. Hakuna wa kuwakemea, marais na wazee wa chama wanamuogopa. Tukaseme wapi ndugu yangu, kwenye mtungi? Au tujilipue kama al qaidaakili ya mwaafrika haitakuja badilika, yani sisi siku zote tuonaona mzungu ndio solution. Kwakweli Donald trump hakukosea.
Kama sio yeye kwa nini anaogopa wachunguzi huru?Nani alitoa Amri? ?? Una ushahidi?
Ee bwana, wasiojulikana, Bashite anakutamani, shauriyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Masirahi = masilahiKm ni lazima mtu mmoja afe kw masirahi ya taifa,!!hakuna shida.hata kwenye kulitangaza kanisa kuna watu ilibidi wafe kw masirahi ya kanisa,hata mtume mohamed,kuna wakati alitumia nguvu ktk kueneza neno la morah
Kikao gani cha Chadema kilikutana kumpa idhini hiyo?Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Ubarikiwe sana .Mzee mizani unayotumia ni IPI? Hivi kati ya mtu anayeua watu na anayesema kuna mtu anayeua watu, yupi anadhalilisha nchi. Wacheni hizi fikra nyepesi
Kamkataa ndio maana akamponya, really shithole brain
Alafu watanzania watakuwa kwenye halo gani?Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania