Tumbo Tambarare
JF-Expert Member
- May 10, 2017
- 210
- 146
Hueleweki ww. Mohamedi ni nani na Sefu ni nani? Iwapo unamaanisha mkulu wa nchi..ninakutakia heri wewe na wenzako mnaopiga ramli za Lissu kuwaokoa kisiasa akiwa nje ya nchi. Kura za 2020 mtazipata kwa kukosoa utendaji wa serikali ya Jpm na siyo kwenda kujidhaalilisha kwa mabwana huko ulaya..