Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Kwa kweli nilikuwa najiuliza kwa nini lissu apelekwe ubelgiji badala ya nchi nyingine mahiri kwa utabibu wa binadamu, kumbe ni mbinu nyingine ya kwenda jumuia ya ulaya kwa mgongo wa matibabu?
Hao wabelgiji si ndio walimuua Patrice Lumumba wa Congo kwa kumyeyusha na acid au?
Poor politics za cdm hadi mnatukera wapiga kura.
Punguza povu mbona hujamlalamikia Aliesababisha LISU kupigwa Chuma?
 
mTanzania anaeweza kumshangilia mtu aliye ulaya aau ndani ya nchi lakini anajaribu kuifedhehesha nchi yake na kuitafutia mabaya ni wa kuogopwa sana na yamkini kumtenga mbali na nchi yetu.angekua ni raia wa Korea angejuta.waTanzania wenye kuelewa tuwe makini sana na watu kama hawa,adui anaetaka kuiondoa amani ya nchi anaweza kutumia hata wananchi wenyewe wenye uroho wa pesa kuichafua nchi yao na kuahidiwa makazi huko ughaibuni,ilimladi tu watu wafanye biashara zao.mtu unaenda kubwabwaja maneno ya mji wako kwa jirani au nyumba ya saba toka kwako unalalamikia familia yako badala ya kukaa ndani mwenu msemezane mpaka muelewane,mtu gani wa namna hii fedhuri.
Wewe mpuuzi hebu niambie ingekuwaje kama ungekuwa wewe ndio umepigwa Chuma kama LISU ungeongea huu Upumbavu wako? tangu mwezi wa 9 Mwaka jana nani kakamatwa Jinga kabisa nyie
 
I wish sasa akiwa huko ulaya atapata exposure ya kutosha kuhusu mambo mbalimbali ya kimataifa.

Ili nchi ifikie kiwango cha kutajwa kama mahali ambapo si salama kuishi kuna vipimo vyake vilivyowekwa kimataifa. Tanzania hatukaribii kabisa hata kwa viwango vile vya kushawishi jumuiya hizo.

Tufanye kazi jamani, mkitegemea eti hao viongozi watakuwa na jipya kwa hayo Lissu atakayowaambia mtasubiri sana. Hata kule Myamar kuna mauwaji yanaendelea tena ya kutisha, lkn mpaka sasa umoja wa Mataifa unasua sua kuhusu hatua za kuchukua. Hapa kwetu ni kitu gani kimefanyika cha kuwashawishi hao ndugu kutuwekea vikwazo.

It is a wastage of time.
Huko kuna Maslah gani hadi Mzungu apeleke nguvu zake
 
Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Kama huna uwezo wa kuumba mtu pia ujue huna uwezo wa kutoa uhai wa mtu mpaka Mungu aridhie
 
Mzee mizani unayotumia ni IPI? Hivi kati ya mtu anayeua watu na anayesema kuna mtu anayeua watu, yupi anadhalilisha nchi. Wacheni hizi fikra nyepesi
We kweli unadhani huyo haelewi? Jamaa yupo kazini na ananufaika na udhalimu unaondelea Tz, mpuuzi bure
 
Kwa hiyo nchi ni bora kuliko roho ya mtu? Kwamba mtu auawe kwa vile nchi imesemwa? Mbona nchi ipo miaka yote? Isemwe isisemwe! Nafikiri roho ya mtu ni bora kuliko nchi
Ndio,yapo mambo wakati mwingne inabidi yafanyike kw masirahi ya nchi.
 
Uchunguzi huru ndio mambo yote hayo mengine ni kelele tu za 'walamba miguu ya mfalme'.

Hii nchi ni omba omba toka dunia iumbwe, leo ndio ijitegemee! Ikitokea hivyo basi hata vichuchu vya kuku pia vitajitegemea.
 
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Hayo maongezi yao ni muhimu sana ila tatizo litakuja kwa sizonje, sidhani kama ataelewa kwake itakua kama movie
 
jack_son: Kwani hujui tupo chini ya koloni la Chama Cha Makinikia. Eti,unauliza kwani tupo chini ya koloni lipi? Yaani mpaka sasa hujui? Wewe hupo Tanzania nadhani. Watanzania wana chuki ya kufa mtu kwa hili zee lako. Uliona umma ulivyowaka kwa Lowassa kumsifia tu zee lako? Nadhani kwa mwitikio ule hasi zee litakuwa limepata ujumbe wa namna gani watanzania tunamwona. Hafai hata uongozi wa nyumba kumi.
 
Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
Si kila mara nchi za Magharibi zimekuwa zikiwasiliana na serikali tu. Mfano, bila shaka umeshasikia baadhi ya serikali za nchi zinazoendelea zikilalamikia nchi za Magharibi kufadhili vikundi vya waasi
 
Back
Top Bottom