Lapdown
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 353
- 260
Bara la misaada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bara la misaada.
Kwa Lissu na ile Brain yake supermade na alivyo na kumbukumbu vzr akiweka hoja zake ni mpumbavu tu ndiye atashindwa kuelewa. Go go go Lissu.Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Kwel nimekaa nipo na m*maako hapaNaona unahangaika
Umekalia nini braza, tulie kiingie vizuri
Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Hakuna haja ya kumuondowa, Hakuna anayemusiliza anaonekana mjinga na kiingereza uchwala. Huu ndiyo mwisho wa siasa zake za kijinga za kubwakaSijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Mkuu kwa hiyo mlivyompiga Risasi si udhalilishaji.Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Yaani haya makapi yanasikitisha sanaUkombozi?kwani tuko chini ya koloni lipi ? Cheap politics
Aliyeshindwa siasa za ndani hadi anafanya udikteta uchwara wa kuteka Watanzania kuwatesa na kuwaua ni nani?
Anayedharau sheria za nchi, katiba, mahakama, Bunge ni nani?
Aliyekosa sera na kuamua kuwanunua wachumia tumbo kwa pesa na vyeo ili wajibu na chama cha wahuni ni nani?
Acha kukurupuka na kuandika upuuzi humu.
Kweli tupu!Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Itatusaidia nini?Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Atahakikisha jumuiya ya kimataifa inaitenga na kuisusa Tanzania
Wazungu wanamwelewa Lisu vizuri kuwa ni mpiga deal iwe kupitia madini au bombardier.Ataishia kubwata tu.Ndio maana kelele zote za kutaka tunyimwe misaada na kutengwa na jumuiya ya kimataifa wazungu hawajamsikiliza they know him kuwa mpiga deal ayejificha kwenye siasa na koti LA uraisi wa chama cha wana sheria.Angekuwa Slaa wangemsikiliza.Lakini Lisu hana credibilityTusubiri yatakayojiri
Mwabasheria hupimwa kwa kesi hebu tuambie kesi IPI ya maana kubwa ya kihistoria aliyowahi shinda?UCHUNGUZI HURU UMEBAINI KWAMBA MH TUNDU LISSU NDIYE MWANASHERIA BORA KABISA KUWAHI KUWEPO KWENYE ENEO LA MAZIWA MAKUU TANGU KUUMBWA KWA MBINGU NA ARDHI