Huo mkutano umepata kibali cha Polisssm ????Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Ni nchi huru..Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Kwani kukutana na hao waheshimiwa ndio kufanya Siasa ?Kwa hiyo siasa za ndani zimewashinda mnategemea wazungu waiwekee vikwazo Tz na ninyi ndo mtokee hapo? Poor you..!Wazungu ni werevu na wana maslahi endelevu kwa nchi zao.Wale wanawasiliana na serikali kwa jambo lolote na usifikiri atakachotapila Lissu ndiyo kitakuwa final..thubutu..fanyeni kazi za kujiletea maendeleo na si kama fisi kusubiri mkono wa binadamu udondoke..
US watu wanapigwa risasi na vikundi vya kihalifu.Tanzania sio salama kuishi ukilinganisha na nchi gani? Mwanzo nilijisikia vibaya kwa uhuni alio fanyiwa na attempt ya kumuua iliyo shindwa, lakini huku anapo elekea siko. Huwezi kuwa unawaza kuisema nchi tena ugenini. Huko Ulaya au nchi zingine si kwamba hakuna madhaifu, lakini wakienda nje wanaeleza mazuri, madhaifu wanabanana humo kuyashughulikia. Hakuna nchi inaongoza kupigwa watu risasi hovyo kama US , lakini hutasikia CNN au vyombo vyao vingine vikitangaza hayo!!!! Tundu lissu ni janga, kama vipi aishie huko huko ahamie, huu ni uhaini, akirudi hapa atubu au amalizwe!!! Shabaash
Kaidhalikisha vp,mbona watoka povu Bi dadaSijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Matatatizo ya umbumbumbu mmepatwa na kihoro tayari. AK47 inawatokea puani. Tulieni siku tatu si nyingi nendeni shule mfute umbumbumbuMtazamo na mawazo ya kitumwa!
Haupo kwenye kundi unalotaka kujitanabahisha nalo,"watanzania waelewa".mTanzania anaeweza kumshangilia mtu aliye ulaya aau ndani ya nchi lakini anajaribu kuifedhehesha nchi yake na kuitafutia mabaya ni wa kuogopwa sana na yamkini kumtenga mbali na nchi yetu.angekua ni raia wa Korea angejuta.waTanzania wenye kuelewa tuwe makini sana na watu kama hawa,adui anaetaka kuiondoa amani ya nchi anaweza kutumia hata wananchi wenyewe wenye uroho wa pesa kuichafua nchi yao na kuahidiwa makazi huko ughaibuni,ilimladi tu watu wafanye biashara zao.mtu unaenda kubwabwaja maneno ya mji wako kwa jirani au nyumba ya saba toka kwako unalalamikia familia yako badala ya kukaa ndani mwenu msemezane mpaka muelewane,mtu gani wa namna hii fedhuri.
Hii nchi si ya kwako wewe; utakufa uiache. Kama mnafanya uovu lazima muambiwe tu. Sasa kama mnaona Lissu si chochote hilo joto la nini.Tanzania sio salama kuishi ukilinganisha na nchi gani? Mwanzo nilijisikia vibaya kwa uhuni alio fanyiwa na attempt ya kumuua iliyo shindwa, lakini huku anapo elekea siko. Huwezi kuwa unawaza kuisema nchi tena ugenini. Huko Ulaya au nchi zingine si kwamba hakuna madhaifu, lakini wakienda nje wanaeleza mazuri, madhaifu wanabanana humo kuyashughulikia. Hakuna nchi inaongoza kupigwa watu risasi hovyo kama US , lakini hutasikia CNN au vyombo vyao vingine vikitangaza hayo!!!! Tundu lissu ni janga, kama vipi aishie huko huko ahamie, huu ni uhaini, akirudi hapa atubu au amalizwe!!! Shabaash
Juzi mlipigiwa kura ngapi vile?Lisu alishasahaulika sasa hawa chagadema wanaleta huu uzi ili at least watu wamkumbuke kumjadili. EU hawana muda wa kuonana na Lisu atawasaidia nini?? EU sasa hivi wana mambo makubwa ya kujadili kama Brexit sio kuongea na hao waganga njaa wa ufipa ambao hata Diamond Platnumz kawashinda kwa kua na HQ nzuri ya WCB, wao na ruzuku ya more than 10 years bado wapo mtaani kwa mateja.2020 hawa hawatapata kura kabisa wabongo weshawashtukia wapigaji hawa.
Tumbo lako limekutoa ufahamu!! Watu wanateseka wewe unasemaje ni mawazo ya utumwa?! Wewe ni mawazo ya mchumia tumbo. Tangu lini mamba aone uchungu kwa viumbe wengine wa majini..Mtazamo na mawazo ya kitumwa!