Tetesi: Lissu kukutana na viongozi waandamizi wa Ulaya

Mhe. Tundu Lissu anatarajia kukutana na viongozi waandamizi wa ulaya siku tatu zijazo, viongozi hao ni Waziri Mkuu wa Ubelgiji, Katibu Mkuu wa umoja wa ulaya pamoja na Spika wa bunge la ulaya.. NTAENDELEA KUWAJUZA
Huo mkutano umepata kibali cha Polisssm ????
 
N
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi huru...hili ni somo gumu sana kwa makarai
Ni nchi huru..
Lakini Nchi lazima iongozwe kwa kufuata Sheria Na taratibu ( na hasa Katiba) na sio kama huyu chi.zi anavyofanya..
Subirini Lissu awanyooshe Kimataifa.
 
Huyo Lisu hana athari yoyote kwa nchi kwani hata huko wanaelewa kipindi alichopitia ni kigumu hivyo dishi haliko sawa kwa sasa hivyo wanampuuza tu.
 
Kwani kukutana na hao waheshimiwa ndio kufanya Siasa ?
Mbona mshaanza kupata degedege wandugu
 
US watu wanapigwa risasi na vikundi vya kihalifu.
Tofautisha na kwenu Mjomba
 
Sijasema Mimi nitakua hai, Mimi na wewe tutakufa , Tanzania itabaki. Huyu mpuuzi anaidhalilisha Tz nje ya mipaka yake, aondolewe tu
Kaidhalikisha vp,mbona watoka povu Bi dada
 
Hivi nyie mnadhani kuna nchi ambayo mambo ni smooth tu kila kitu kinakwenda sawa? Kila nchi ina changamoto zake na solution siyo kujipendekeza ndekeza kwa wazungu. Kwanza hawana interest na hizo siasa zenu uchwara. Wanachoangalia wao ni uhusiano uliopo na wanapata nn kutokana na huo uhusiano. Hawana huruma ya aina hiyo kwa Lissu. Wao wana maslahi ya kudumu pekee..
 
Kama namuona vile atakavyotema points kwa ung'eng'e uliotulia hadi wazungu watakuna vichwa na kusema Nyerere amefufuka kupitia yeye
 
I wish sasa akiwa huko ulaya atapata exposure ya kutosha kuhusu mambo mbalimbali ya kimataifa.

Ili nchi ifikie kiwango cha kutajwa kama mahali ambapo si salama kuishi kuna vipimo vyake vilivyowekwa kimataifa. Tanzania hatukaribii kabisa hata kwa viwango vile vya kushawishi jumuiya hizo.

Tufanye kazi jamani, mkitegemea eti hao viongozi watakuwa na jipya kwa hayo Lissu atakayowaambia mtasubiri sana. Hata kule Myamar kuna mauwaji yanaendelea tena ya kutisha, lkn mpaka sasa umoja wa Mataifa unasua sua kuhusu hatua za kuchukua. Hapa kwetu ni kitu gani kimefanyika cha kuwashawishi hao ndugu kutuwekea vikwazo.

It is a wastage of time.
 
Hahaha mbona taarifa haijasema anakutananao kwasababu gani?! Labda wanataka kumjulia hali mgonjwa.
Mbona wawakilishi wa EU na hata balozi wa ubelgiji kawaacha Tanzania?! Mnaogopa nini mnaweza kuwafukuza hao EU humu nchini mkiona hawana msaada kwenu.
 
G'taxi nchi hii kuna wenye mawazo kama TL zaidi ya 6.0 m. Tufanyeje? T.L ni trumpet holder, nyuma yake wako Wengi. TUFANYEJE??
 
bora akawaneshe ni nmna gani tulivyo shitholes
 
Haupo kwenye kundi unalotaka kujitanabahisha nalo,"watanzania waelewa".
 
Hii nchi si ya kwako wewe; utakufa uiache. Kama mnafanya uovu lazima muambiwe tu. Sasa kama mnaona Lissu si chochote hilo joto la nini.
 
Juzi mlipigiwa kura ngapi vile?
 
Lazima watamuelewa Tu Tundu lissu ni uwepo wake hai ni mpango wa mungu !!
 
Mtazamo na mawazo ya kitumwa!
Tumbo lako limekutoa ufahamu!! Watu wanateseka wewe unasemaje ni mawazo ya utumwa?! Wewe ni mawazo ya mchumia tumbo. Tangu lini mamba aone uchungu kwa viumbe wengine wa majini..
 
Huyu nyapala wa barabara hutakuja kwenda ulaya anaongea nini huyo ki---la----za asiyeweza kujiongeza hata sentence 1? Yeye visasi ndio analojua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…