Uchaguzi 2020 Lissu, kuna kila dalili wenye CHADEMA yao hawakutaki ugombee urais, kama vipi twen'zetu ACT Wazalendo

Huyu jamaa nulkua namkubali humu Jf kwa nyuzi zake nikiwa najiaminisha kua ni mwanamabadiliko na mwanamapinduzi kindakindaki kumbe ni mnafiki mchumia tumbo asir na kitu kichwani.

Nakuongeza kwenye IGNORE LIST. 🚮🚮🚮🚮
 
Huyu jamaa nulkua namkubali humu Jf kwa nyuzi zake nikiwa najiaminisha kua ni mwanamabadiliko na mwanamapinduzi kindakindaki kumbe ni mnafiki mchumia tumbo asir na kitu kichwani.

Nakuongeza kwenye IGNORE LIST. 🚮🚮🚮🚮
Mkuu, hivi ndo inavyotakiwa iwe, uwe mwanachama Sawa lakini likitokea la kukosoa unakosoa tu ikizingatiwa hivi Vyama sio Baba mzazi au mama mzazi, ni Binadamu na lolote linaweza kutokea
 
Hivi nimeelewa kweli kuwa Lissu anaweza kuchallange JPM? Haahahahh
Porojo (Lissu) vs Uhalisia (JPM)
 
Unafikiri ata akija ACT watampa ridhaa, mtu wa Kariba ya TL haendani na siasa ya upinzani walionayo ACT.
Aina ya politics alionayo BM inacop kabisa na chama la wana.
kama atajiunga ACT ni kuja kumuongezea nguvu mgombea mtule na usajili wake utakua na tija pasi na shaka.
 
Daah, Chadema wanatuziba tusione waendako, Kwa jinsi wanavyokwenda, ajuaye ni M/kiti na wachache Sana humo, yaani wanamwekea kauzibe Tl, ni makosa makubwa watayajutia,
 
Sio siri namchukia mbowe mpk basi yaani siku mbowe akitoka uenyekiti au akifa ntakuja chadema kwa amani ila saizi siwezi maana mbowe nafanya chama kisiendelee
 
Sio siri namchukia mbowe mpk basi yaani siku mbowe akitoka uenyekiti au akifa ntakuja chadema kwa amani ila saizi siwezi maana mbowe nafanya chama kisiendelee

Fikiri juu ya maombi yako, shimo unalowachimbia wengine waweza kudumbukia mwenyewe... si ajabu hata humjui hakujui!
 
Mbona kimya kinazidi? Isije kuwa ndio kweli!!

Halafu hivi Chadema huwa kunakatibu mwenezi kweli? Bora yeye angechangamsha genge, kuliko huyu katibu mkuu

Katibu mkuu anatakiwa awe kichwa ngumu kama kina Tundu Lisu, kina Heche na kina Wenje,

Na pia hili swala la Lisu kuchukua Fomu ya Uraisi, kungelikuwa na Ka agenda Ka chinichini ambako kangekuwa kanamporomo Lisu huko vijiweni,

Sasa huu ukimya, mitandaoni kimya! Sijui kweli Kuna agenda ya Siri ya kutokumhitaji huyu Lisu ndani ya Chadema!
 
😂
Kuna Membe atakuwa ACT na Mbowe au Lisu watakuwa Chadema!

Je kuhusu kuungana itakuwaje masikin!!!! Sijui Nani itabidi ampishe mwenzake,

Maana Membe hata akuwa Chadema ukweli ni kwamba hawezi kuwa mtu wa kumchalenji Magu hata kidogo, angalau Lisu, lkn sasa Membe anataka Uraisi Kwa nguvu mwaka huu, atakubali kumpisha Mwenzake wa Chadema ili kuleta huo muungano wa hivi vyama?

Uchu wa madaraka buana!!!
 

Hatua ya sasa ni ya wanachama wanajiona wanaweza kutia nia ya kugombea.Lissu katumia haki yake kufanya hivyo kama wanachama wengine walivyofanya.Hadithi ya kujiaminisha imetoka wapi?Kila mgombea ana matumaini kuwa atachaguliwa kulingana na sifa anazoona anazo.Ulitegemea mgombea asiyejiamini ndo aende?Kama hujiamini kwa nini ugombee sasa?Tafsiri unayopata nadhani ni hisia zako zaidi kwa sababu unaamini pengine anafaa.Sidhani kama unadhani hafai ungeweza kuanzisha uzi kujadili imani yake kwenye mchakato ndani ya chama.
 

Mkuu are you serious. Soma tena. Ongeza kunywa maji then Rudia
 

Huwa sielewi. Wanaweza kumkmata. How. Lissu Ana kesi ya miaka kadhaa. Sasa kwanini unazungumzia issue as if ataonewA.
 
Reactions: SMU

So wangetaka kumuua wangeshindwa kumfuata alipo. Are you serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…