Utitiri wa mawakili ni kuonyesha msisitizo pia kupanbana na Amri toka juu kwa majaji ambao hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria bali wanafanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM.Zile kelele za Polisi wengi kutumika wakati wa kuwakamata kwenu ni matumizi ya nguvu pasipo ulazima, sasa huu utititri wa mawakili vp?
Sheria inasemaje kama mtu anatakiwa kuondoka mahakamani mara moja halafu akawa hataki kuondoka?mgonjwa hutibiwa kwa hiali zake wala halazimishwi na sheria za udaktari na miiko yao ipo wazi, lakini sheria za polisi haziruhusu polisi wa kiume kumgusa mwanamke tena kumfukuza mahakamani kumlazimisha apande gari wakati alikuwa na kazi zake mahakamani,
ndio maana mnataka kuunda bodi.Yeyote atakayepeleka kesi ya kipuuzi namna hii kwenye mahakama tukufu na wote watakaomtetea wafutiwe leseni ya uwakili na kunyang'anywa muhuri!
mahakamani kwa kesi za magufuli huwa hazupo huru , lakini huwa huru kwa kesi zingine ambazo hazina Amri toka juu.Uzuri mahakama zipo huru kufafanua na kusimamia sheria, tuvute subra
wewe baki na mawazi ya zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM huko hukoHayo ni mawazo yako tu.
Kwa hakimu / jaji mwenye taaluma na amekula kiapo ,anajitambua hafuati maagizo ya mtu zaidi ya kutekeleza matakwa ya sheria halali zikizowekwamahakamani kwa kesi za magufuli huwa hazupo huru , lakini huwa huru kwa kesi zingine ambazo hazina Amri toka juu.
Ivi huyo Polisi ataitoa wapi hiyo Bilioni moja.Ii naona inaitwa 20-29 uyu afisa akichomoa kweli ni tamko kutoka juu
Sent using Jamii Forums mobile app
hiv Lissu kitaaluma ni nan vile?Bilioni duu,halafu tokea namjua Lissu yeye ni Kesi tu.
acha watiwe adabu ili wajifunze, wanafikiri kila kitu ni kutumia tu miguvuSijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai🙂
Ni tamko toka juu ataipta tuIvi huyo Polisi ataitoa wapi hiyo Bilioni moja.
Na kama hana hiyo hela hao mawakili watafanyaje.