Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Mtoto, hii nchi inaendeshwa kwa misingi ya kisheria,sheria zetu hazikuacha kitu cha kujiamulia tu..unaweza kujiamulia tu lini ulale na mke wako na lini usi.. Ila sio kukamata watu!
 
niongezewe hapo kwenye list nitakuwa wakili wa 30 sitadai hata senti tano.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119] [emoji119]
 
Kesi mbaya kwa wanaopenda kushikashoka maungo ya watu aka dungadunga au polisi ccm wanapenda udhalilishaji wa kijinsia unashika mwanamke utafikiri maimuna wa kimboka lazima ukutane na gharika
Polisi wanaruhusiwa kutumia reasonable force kwa mtu ye yote anayekaidi kutii amri halali aliyopewa na jeshi. Hiyo ya kumshika shika huyo Fatuma was a very reasonable force. Wangeweza kutumia even more force kama kumwagia maji ya washa washa na bado ingekuwa still reasonable force.
 
Polisi wanaruhusiwa kutumia reasonable force kwa mtu ye yote anayekaidi kutii amri halali aliyopewa na jeshi. Hiyo ya kumshika shika huyo Fatuma was a very reasonable force. Wangeweza kutumia even more force kama kumwagia maji ya washa washa na bado ingekuwa still reasonable force.
Alikaidi Amri gani? yy alikuwa mahakamani polisi kwa kutaka sifa wakaamua kumfukuza huku wakimwamuru apande kwenye gari aondoke wakati alikuwa hajamaliza kazi zake.
 
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.

Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja

Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.

My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
TTLS sasa inatumika kupambana na serikali. Polisi wale walitumia a very reasonable force kumwondoa Fatuma pale kwenye viungo vya mahakama ya Kisutu alipotaka kufanyia press conference yake yenye mwelekeo wa uanaharakati wa kisiasa. Alipewa amri na polisi ya maneno kutofanya press na kuondoka sehemu ile akakaidi. Ikabidi polisi kadhaa wakamuondoe pale kwa nguvu waliyopewa kwa mjibu wa sheria kwa wanaokaidi amri ya jeshi. Polisi wale wakamzonga na kumlazimisha aingie kwenye gari. Nguvu iliyotumika kumlazimisha kuingia kwenye gari ilikuwa ya kawaida tu na infact ilikuwa ndogo kuliko ile waliyoitumia kumlazimisha Lissu kuingia kwenye gari lake na kumwondoa pale kwenye viwanja vya bunge.
 
Siasa kuingia kwenye tasnia ya sheria ni hatari sana
 
JAMANI NAOMBA KUJUZWA IVI MWAKILI WOTE HAO NI LAZIMA KILA MMOJA ATOE HOJA ZAKE WANAPOKUWA MAHAKANI ?
 
TTLS sasa inatumika kupambana na serikali. Polisi wale walitumia a very reasonable force kumwondoa Fatuma pale kwenye viungo vya mahakama ya Kisutu alipotaka kufanyia press conference yake yenye mwelekeo wa uanaharakati wa kisiasa. Alipewa amri na polisi ya maneno kutofanya press na kuondoka sehemu ile akakaidi. Ikabidi polisi kadhaa wakamuondoe pale kwa nguvu waliyopewa kwa mjibu wa sheria kwa wanaokaidi amri ya jeshi. Polisi wale wakamzonga na kumlazimisha aingie kwenye gari. Nguvu iliyotumika kumlazimisha kuingia kwenye gari ilikuwa ya kawaida tu na infact ilikuwa ndogo kuliko ile waliyoitumia kumlazimisha Lissu kuingia kwenye gari lake na kumwondoa pale kwenye viwanja vya bunge.
Acha hizo acha mikwara na propaganda zenu, yaani kumshitaki polisi mmoja aliyevunja sheria ni kupambana na Serikali? nguvu waliyopewa polisi kwa mjibu wa sheria ni pale inapotokea fujo kubwa si visingizio vya mahakamani kisutu eti kulikuwa na uarakati, polisiccm kwenda kibiti wanaogopa sana na hata waliopo huko wanaishi kwa uoga lakini wakisikia Lisu wanajazana mahakamani utadhani ni mkapa na Kikwete wamevuliwa kinga na kufikishwa mahakamani kwa makosa mbalimbali
 
Polisi wengi wamekuwa na roho za ajabu kinyume na kipindi cha Kikwete ambapo polisi waliacha Tabia ya kuwabambikia kesi wapinzani hata mikutano ya chadema waliilinda bila tatizo.
 
Mzee wa Miga naona sasa Siasa na mambo ya msingi ya Nchi hii yamemshinda kageukia na anazidi kukomaa na tuvitu vya tutoto na vya kufikilika.
kweli uyu jamaa ni mwanasheria wa kukariri na sio learned budy!!
 
Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona kuna hukumu zinasomwa na majaji watatu mpaka watano, hapo unasemaje?
 
JAMANI NAOMBA KUJUZWA IVI MWAKILI WOTE HAO NI LAZIMA KILA MMOJA ATOE HOJA ZAKE WANAPOKUWA MAHAKANI ?
hakuna kitu kama hiko, ni viherehere vyao tu, wanaleta siasa katika taaluma ya sheria. Ni hatari sana
 
Back
Top Bottom