Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawakili wanajitokeza kuonesha mshikamano wao.

Polisi wafanye kazi zao kwa kuelewa mipaka ya kazi zao.

Polisi si chombo cha kudhalilisha raia. Ikiwa mwanasheria, tena maarufu mwenye jina kubwa nchini na nje ya nchi, anafanyiwa hivyo jee wenzangu na mie?
 
Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
1. Unayo hoja hapa ila hujaiwasilisha vizuri. Kimaadili ya kazi Lissu kumwakilisha Fatma kwenye kesi inayotokana na kesi ambayo Fatma ni mwanasheria wa Lissu inaweza leta shida za mgongano wa kimaslahi, ushahidi, kuondoa 'privilege' ya kisheria kati ya wakili na mteja wake ambayo inaweza kuwaweka wote kwenye kapu moja.

2. Lissu kumwakilisha Fatma kwenye hii kesi inaweza leta picha mbaya kuwa Lissu anawalipizia kisasi au anaungana na Fatma kuwakomoa Polisi kwa kuwa wamemuweka ndani na kumpiga 'tait'. Kesi zenye dhana ya kukomoana huwa na matatizo ya kimaadili na hazina mwisho mzuri.

3. Kuwakilishwa na jopo la wanasheria zaidi ya kumi katika kesi ya namna hii ni wazi kuwa kuna lengo la kupata 'kiki'. Hii inapunguza ladha na mantiki ya kesi kwa umma na jamii.
 
Wengine hapa wanaongea kiushabiki. Hapa kiliopo ni utii wa katiba na sheria. "No one is above the law". Tanzania ilipokubali mfumo wa demokrasia ilikuwa pia ikubali kubadilisha sheria na katiba ya nchi. Hatuwezi kuburuzwa au kusumbuliwa na polisi ovyo. Hapakuwa na sababu askari polisi kumvuta Bi. Fatma Karume. Kusema kwa mdomo kunatosha wala haikuwa na haja ya kumtisha. Mimi naona iwe ni funzo kwa askari wengine pia.
 
Wakina Lisu baada ya kuuvuruga upinzani uliokua una- gradually growing sasa wanaenda politisize muhimili muhimu wa mahakama. Mwenye macho aambiwi tazama. Hatari hii inaonekana waziwazi.
 
Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?

Kuna sheria zake za kukamatwa kiisawasawa mkuu
Kwa mfano upigwe dole utajiskiaje? au kwakua ni polisi basi itabidi uwe mpole au[emoji3]
We kauka tu tuone hili movie linaendeleaje[emoji3]
 
Amekosea kudai bilion1
Angedai mil10 tu[emoji3]hizo zingelipwa lkn Bilion duuuhh[emoji1321]
 
Polisi sio kazi yao kuwalazimisha watu kupanda gari pindi wakitoka mahakamani iweje wamfukuze Fatma wakati alikuwa hajamaliza kazi yake?

Mbali na kulazishwa alivutwa na mkono kama vle ye ndo mtuhumiwa
Tatizo kila mmoja anataka aonekane anafanya kazil
Labda alijua nae atateuliwa assistant IGp[emoji3]
Sasa movie linaanza mkuu
 
Huyo askari Sasa hivi trip za chooni zitakuwa zimechenji na hawezi kutoa vigumu au vilaini ni upepo tu (yusufu, pius mbuuu ) na mafuta mafuta chezea lissu weye
 
Mawakili wanajitokeza kuonesha mshikamano wao.

Polisi wafanye kazi zao kwa kuelewa mipaka ya kazi zao.

Polisi si chombo cha kudhalilisha raia. Ikiwa mwanasheria, tena maarufu mwenye jina kubwa nchini na nje ya nchi, anafanyiwa hivyo jee wenzangu na mie?
Ifikie mahala lazima mtambue mshikamano na uwakilishi ni vitu viwili tofauti, any way ni mitazamo tu kwani ukubwa wa pua sio wingi wa kamasi
Tusubiri matokeo ya hiyo kesi ndo tutajua ni mshikamano au kutokujiamini kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom