Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

kesi muwabambikie nyie, upelelezi haukamiliki miaka 5.TLS wakawatetee, ni rahisi kuwaambia watende haki hao mahabusu hawatakuwepo
 
Mkuu, TLS hawahusiki na utetezi wa kesi hizi mahakamani. Hao wanaojitokeza ni kihereher chao tu cha kutaka umaarufu kisiasa na kibiashara. Soko la uwakili ni gumu sana, na ukizingatia taaluma ya uwakili hairuhusu matangazo ya kibiashara, sasa kumeibuka na aina ya mawakili wasiojiamini katika kazi zao kushadadia kesi zenye umaarufu kwenye umma au za watu maarufu, tena bila malipo kabisa. Wakiambiwa kutetea maskini wanakataa na hawafanyi hivyo mpaka walazimishwe kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.
Wanaenda hadi mahakamani kuuza sura na ukiwauliza wanachotetea sidhani hata wanakifahamu, zaidi ya kutafuta kiki na kuwapa kiki 'wateja wao' feki.
Kwa kifupi tasnia ya sheria imevamiwa na wanasheria uchwara wanaoingiza siasa kwenye taaluma ya sheria. Wengi ya hawa wanasheria ni walio katika siasa au wanaotamani kuingia katika siasa, na pia wanasheria wapya/wachanga ambao hawajui hata miiko na maadili ya taaluma yao. Mawakili wazoefu na wanaojiamini hawafanyi ujinga kama huu.
 
Kama TLS inajtiolea kwenda kumtetea mtu ambaye tayari ni privileged, Fatuma Karume ni bilionea na ni mtoto wa Raisi hiyo peke yake inampa kinga kwa namna moja au nyingine!

Sasa kwa nini kama tls msiwekeze hizo nguvu kutetea Watanzania wengi wanaosota Rumande miaka na miaka bila ya kufikishwa Mahakamani?

Isitoshe Tundu Lisu keshakutana nao wengi huko, Fatuma Karume hawezi kulala Sero achilia mbali hata kukamatwa tu, ...
Wewe unaelewa maana ya solidarity? Unaelewa kama Fatuma Karume ni mwanachama wa TLS? Unazijuwa haki za mwamachama wa TLS?

Je unajuwa ni kwa nini Tundu Lisu ni wakili mahiri lakini anatetewa na jopo la mawakili 18? Nenda kwa madaktari uone daktari mwenzao akiwa anaumwa serious hutibiwa na jopo la madaktari wangapi.
 
Kwan serikali si ina wana sheria wake .. iwatumie kutete maskini.
 
ccm kwanini mnawatesa masikini ??
kwanini hamsikilizi kesi za wanyonge ??
Mkuu, hawa mawakili kuliko kujazana 'kutetea' kesi moja tena kwa mtu mwenye uwezo wa kujitetea mwenyewe kwanini wasiende kuwatetea hao wanyonge unaowasema?
 
Mkuu, TLS hawahusiki na utetezi wa kesi hizi mahakamani. Hao wanaojitokeza ni kihereher chao tu cha kutaka umaarufu kisiasa na kibiashara. Soko la uwakili ni gumu sana, na ukizingatia taaluma ya uwakili hairuhusu matangazo ya kibiashara, sasa kumeibuka na aina ya mawakili wasiojiamini katika kazi zao kushadadia kesi zenye umaarufu kwenye umma au za watu maarufu, tena bila malipo kabisa. Wakiambiwa kutetea maskini wanakataa na hawafanyi hivyo mpaka walazimishwe kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa.
Wanaenda hadi mahakamani kuuza sura na ukiwauliza wanachotetea sidhani hata wanakifahamu, zaidi ya kutafuta kiki na kuwapa kiki 'wateja wao' feki.
Kwa kifupi tasnia ya sheria imevamiwa na wanasheria uchwara wanaoingiza siasa kwenye taaluma ya sheria. Wengi ya hawa wanasheria ni walio katika siasa au wanaotamani kuingia katika siasa, na pia wanasheria wapya/wachanga ambao hawajui hata miiko na maadili ya taaluma yao. Mawakili wazoefu na wanaojiamini hawafanyi ujinga kama huu.
Albert Msando ni wakili mzoefu tu lkn unaonaga lifestyle yake au hata humjui?
 
Wewe Kilaza unaelewa maana ya solidarity? Unaelewa kama Fatuma Karume ni mwanachama wa TLS? Unazijuwa haki za mwamachama wa TLS?

Je unajuwa ni kwa nini Tundu Lisu ni wakili mahiri lakini anatetewa na jopo la mawakili 18? Nenda kwa madaktari uone daktari mwenzao akiwa anaumwa serious hutibiwa na jopo la madaktari wangapi.

Hivi ukiwa liccm akili huwa zinajaa mafunza?
.
Kiongozi usikurupuke. unataka kutuambia hao mawakili wametumwa na TLS? Huijui TLS wewe, iache kama ilivyo. kwa taarifa yako TLS haina utaratibu wa kumtetea mahakamani mwanachama wake pindi anapopata kesi.
 
Kama TLS inajtiolea kwenda kumtetea mtu ambaye tayari ni privileged, Fatuma Karume ni bilionea na ni mtoto wa Raisi hiyo peke yake inampa kinga kwa namna moja au nyingine!

Sasa kwa nini kama tls msiwekeze hizo nguvu kutetea Watanzania wengi wanaosota Rumande miaka na miaka bila ya kufikishwa Mahakamani?

Isitoshe Tundu Lisu keshakutana nao wengi huko, Fatuma Karume hawezi kulala Jela achilia mbali hata kukamatwa tu, ...

Kwani hao Masikini wanaoteseka rumande miaka bila kufikishwa Mahakamani nani kawaweka huko na nani hataki kuwafikisha Mahakamani Mpaka muombe Msaada wa TLS na Tundu Lissu ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Albert Msando ni wakili mzoefu tu lkn unaonaga lifestyle yake au hata humjui?
Hiyo ni lifestyle yake, ana uhuru wa kufanya atakayo. Kwenye profession anaingia kama professional, anafuata vigezo maadili na masharti.
 
Mkuu, hawa mawakili kuliko kujazana 'kutetea' kesi moja tena kwa mtu mwenye uwezo wa kujitetea mwenyewe kwanini wasiende kuwatetea hao wanyonge unaowasema?
miccm ndio umejibu swali ??
 
Mkuu, hawa mawakili kuliko kujazana 'kutetea' kesi moja tena kwa mtu mwenye uwezo wa kujitetea mwenyewe kwanini wasiende kuwatetea hao wanyonge unaowasema?
Kazi ya kuwapa mawakili wa utetezi watu wasiokuwa na uwezo huo ni jukumu la serikali.

Sio kosa lako ni kwa sababu huna exposure hujawahi kutoka nje ya Tanganyika, pole.
 
Back
Top Bottom