apply
Member
- Jul 30, 2017
- 64
- 33
Yamkini alikuwa anatafuta kick ya kupandishwa cheo maana siku hizi kila mtu na style yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Omo kilo 50 Maji boozer 10Siku hizi chadema makao makuu yamehama kutoka ufipa mpaka kwenye viwanja vya mahakama kila nikijaribu kumzoom Lissu namuona kama harmorapa wa kwenye siasa ambae yupo radhi kujitoa ufahamu na kuzivua nguo akili zake kwa ajili ya kukaa front page kwenye magazeti
Hata siku moja sito mshauri ndugu yangu asome sheria kama wanasheria wanaitwa wasomi ni aina ya Lissu
Kama mapolisiMawakili wa Tanzania wamebadilika kuwa wanasiasa... so sad!
Jibu ni fupi na dogo sana; Mahakamani sio sehemu ya kufanya mikutano ya aina yoyote ile, kelele za aina yoyote hazitakiwiRais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Mmezoeya kuonea wasiojielewa sasa leo mmeuvagaa mkenge.Abuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
hahahahahahah nimecheka sana umenikumbusha bush lawyer mmoja kwenye ugomvi wa vitalu vya migodihao mawakili wapigane hii kesi irushwe live na sie ma bush lawyer tupate vi techniques vya kutambia mjini
maana tusha nyanyaswa sana, ni muda wa kutamba na sie
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Kumbe hii ndio kazi ya chama cha wanasheria nchini....!!! TLS.. chini ya rais wake huyu L.ok..!!Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM. Fatma Karume amshtaki Polisi aliyemzonga Mahakamani, adai fidia ya bilioni moja
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
My Take
Cross Examination za Tundu Lissu hazijawahi kumuacha askari salama
Lisu kanifungua macho,kanifanya nimejua sheria,kanifanya mimi kujua hakizangu hata kama sijaenda mahakamani.Bilioni duu,halafu tokea namjua Lissu yeye ni Kesi tu.
Ndugu yangu hayo mambo ya sheria hawatumii msuriAbuse of proffession....Hivi polisi wakiamua kuwakamata ile kisawasawa watakuwa wazima kweli?
Hakuna cha kumnasua hapo inabidi huyo askari akampigie magoti binti KarumeNimekaa chonjo nione jinsi "system" itakavyomnasua kijana wake!
Watakwambia hapakuwepo na wpSijui kwa nini vilaza wale hawakupeleka maWP kumshikashika mama mwenzao? mbali na kumshikashika na ''kumtengua bega'', kumtoa ''afisa wa mahakama'' kwenye eneo lake la kazi na ''kumzuia kutimiza wajibu wake'' kwa style ile ni kosa la jinai🙂
Kiki mnatafuta nyinyi kina tukale lumumbaNa muda wanao,mawakili watafuta kiki.
Umeonaeeeee?umeshapanic tayari. taratibu tu tutaelewana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh, "abuse of proffession"??????????
Elimu zenu watu wa lumumba mnazijua wenyewe
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Amwombe msamaha mbele ya vyombo vya habariMwanamke, anapaswa kuguswa na askari mwanamke, ikiwa ni pamoja na kukaguliwa mwilini, sio polisi mwanaume. Hiyo ni sawa na kumchungulia bafuni. Amwombe tu msamaha nje ya Mahakama yule mama atamsamehe ni muungwana sana Mama yule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kiongozi hadi uhuru kamili upatikaneniongezewe hapo kwenye list nitakuwa wakili wa 30 sitadai hata senti tano.
Litakuwa fundisho kubwa sana maana wamezoea kutenda mambo kimazoeaHapakuwa na sababu polisi kuhamaki na kumshika mtu ambaye hafanyi kosa kisheria.Pamoja na kuwa hawezi kulipa ,ila kuna funzo tutapata.Kila la kheri Fatma