izzo
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 2,812
- 6,409
Siku hizi chadema makao makuu yamehama kutoka ufipa mpaka kwenye viwanja vya mahakama kila nikijaribu kumzoom Lissu namuona kama harmorapa wa kwenye siasa ambae yupo radhi kujitoa ufahamu na kuzivua nguo akili zake kwa ajili ya kukaa front page kwenye magazeti
Hata siku moja sito mshauri ndugu yangu asome sheria kama wanasheria wanaitwa wasomi ni aina ya Lissu
Hata siku moja sito mshauri ndugu yangu asome sheria kama wanasheria wanaitwa wasomi ni aina ya Lissu