Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

Tanzania kuna mambo yanachanganya sana......

Zote kesi za kiuni hizi zimesababishwa na kutumia nguvu bila kutumia akili ......

Matokeo yake ndio haya tunashuhudia vituko toka pande zote sio serikali sio wapinzani......

Hivi kweli kipaumbele chetu ni kesi za kuvutana mabega?

Hivi serikali ya viwanda itapatikana kwa kupoteza rasilimali za nchi kwenye kesi za kiuni kama hizi..

Kulikuwa na haja gani ya kuwa na kesi za Lissu ,Mdee, sijui Mbowe, Bulaya, Kafulila na wengine zaidi ya 10 ndani ya miaka miwili ya utawala wako.........

Ukiangalia kesi zote zinafanana na zinatumia kodi ya nchi.. .....

Kipaumbele cha Rais wa wanyonge ninini hasa?... .....

Kwanini hizi pesa tusiwape mawakili wetu wapambane kwenye kesi za wahujumu uchumi kana ambavyo tunakabiliwa na kesi nzito ya IPTL?....
Mkuu na mimi nilidhani namna nzuri ni kuwaita hawa resourceful watu pamoja ili kusaidia nchi kwa pamoja.Ila ninachoona ni kushindana ambako kama taifa naona tunaendelea na tutaendelea kupoteza rasilimali badala ya at least kuokoa kwa sehemu fulani. Busara inahitajika sana sana kwa maoni yangu.
 
Iv kuna ulazima gan kwa watu ku comment ! Kama huna jambo la msingi la kuchangia kaa kimya!!
Ukitaka kujua jinsi gani sheria itakulinda hakuna budi kushitakiwa kwa mtu yeyete atakaye kiuka sheria.
Hawa ndio wataalamu wa sheria, kabla ya kufungua madai walisha kaa na kujadili haya mnayo yasema na kuona kuna haki na sababu ya kufungua kesi ya madai.
Kujibu au kuchangia kimhemko sio kujua kujua Sheria! Achen mahakama iseme kama ni sawa au sio sawa. Kule kuna haki sio kama huku nje. Mabavu tu! Acha wanyooshwe wanaojifanya Mungu watu wako juu ya sheria .
 
Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka mawakili wangapi kwa mfano
 
Rais wa chama cha wanasheria nchini na mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ataongoza jopo la mawakili 29 watakaomtetea Wakili Fatma Karume Katika Kesi Yake Ya Kushikwa Mwili Wake Bila Ya Ridhaa, Kuvutwa Kwa Nguvu Na Kusababishiwa Madhara Katika Bega Lake.
Katika Kesi Hiyo Iliyofunguliwa Mahakama Kuu Ya Tanzania, Bi.Fatma Anamdai Fidia Ya Shilingi Bilioni Moja, Inspekta Eugen Mwampondela Wa Kituo Kikuu Cha Polisi DSM.
Kesi Itakapoanza Kusikilizwa, Mtuhumiwa Atatakiwa Kuwepo Kizambani Kujieleza Na Kujibu Maswali.
Kwa Afrika yetu hii huwezi shindana na dola,dola ina nguvu kuliko sheria!Huyo Fatma bora atulie tu asitafute shida!

Sikiliza Toka Kwangu!
 
Yaani polisi kukushika bega unaandaa mawakili 29? Ni upumbavu na ulofa ulopitiliza
Hi hadi wapate adabu manjagu!! hadi raha!! Nitafurahi atakapokuwa kizimbani na upande mwingine kuna yule mwenye spidi ya CHitaah aka Lisu
 
polisi wakaguliwe vyeti jamani! tunajua walio halali ni div 4 au 0
 
Hii kitu tamu kuisubiri kiukweli. Wanoko hawa kitawashuka tu.
 
Kwa hali hii inaonyesha vijana wa kitanzania na wasomi mmekosa vya kufanya kesi kama hiyo mawakili 29 na inaonyesha ni jinsi gani kuwa mawakili hawajiamini na usomi wao. Wasilete kisingizio cha mshikamano bali ni kutokujiamini

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ujumbe kwa serikali kuwa watu wameamua kupambana nayo kwa njia yoyote iwayo -ukiwapeleka mahakamani na wao watakupeleka pia yaana stule ya jaza ujazwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kama aisee...ndo mawakili 29 kweli..mbona sasa inakuwa kama kukomoana....mawakili 29 kesi ya kushikwa kwa nguvu na ingetokea kabakwa...sii TLS yote ingeamia mahakamani.....tunapinga kiluchotokea lkn hawa mawakili nao isionekane wanatumia uwakili wao kwa personal gains

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom